Marekani yaanza kulalamika vita vyake na Houth. Yasema haijawahi kupigana vita kama hivyo tangu vita vya pili vya dunia

Marekani yaanza kulalamika vita vyake na Houth. Yasema haijawahi kupigana vita kama hivyo tangu vita vya pili vya dunia

Hilo linawezekana kwa sababu Houth wameshaanza kutumia droni za baharini na Marekani haina teknolojia ya kuzizuia mpaka sasa.
kama wame anza mbona hatuja sikia damage yoyote au hawajui kulenga shabaha ilipo target?
 
kama wame anza mbona hatuja sikia damage yoyote au hawajui kulenga shabaha ilipo target?
Meli ya mizigo ina mali za mabilioni iko njiani kuzama na wewe hujaona tatizo.
Makampuni makini ya usafirishaji hayataki kubahatisha kupita karibu na Houth.wamechagua kuongeza gharma za usafirishaji kwa kuchukua njia ndefu sana ya kuizunguka Afrika.
 
Kwa hiyo Vice Adm. Brad Cooper ndio Marekani na ndio marekani wanamtegemea anachokisema ndio ukweli
 
mzee acha kujitekenya ayo mameli ya kimarekani yapo apo redsea hatuja wahi sikia hata moja imezamishwa mna tegea za kiraia ndo zinashambuliwa hao houthi hawana tofauti na kijibwa koko cha kwa mtogole
Lengo lao sio izo meli za marekani kumbuka
 
Nakuuliza tena Taifa la Marekani liko vitani na Houthi? Unajua Marekani ni mwanachama wa NATO? Unajua sera ya NATO inasemaje kama mwanachama mmoja akiwa vitani? NARUDIA TENA JE MAREKANI IKO VITANI NA HOUTHI? NA LINI MAREKANI AME DECLARE WAR AGAINST HOUTHI?
Hiyo sheria ya nato inasemaje kama mwanachama wao ndio chanzo cha vita? Marekani Red sea anatafuta nn?
 
Hiyo sheria ya nato inasemaje kama mwanachama wao ndio chanzo cha vita? Marekani Red sea anatafuta nn?
Anamaanisha kwa sheria za nato mwanachama akiingia vitan nato wote wanatakiwa wasupport.. point yake ni kuwa marekan hajatangaza vita na houth.. marekan alitangaza vita na libya kumuondoa Ghadafi na Nato wakaingia same to Sadam..

Marekan akitangaza vita na Houth asubuh tu utaona jet fighter za Us, Uk, germany na wengi wote no question ask..

Kwa kukuelewesha vita ya The so called UN/Nato dhidi ya kumuondoa ghadafi ni marekan (presidaa obama ) ndo alitangaza kwa kisingizio anaua raia wa libya so marekan anaenda kulinda wa raia wa libya..

Na akaingia akatangaza no fly zone kwenye space ya libya.. imagine rais anapigwa ban kwenye anga lake akiwa ndan sembuse hao Houth ambao wana attack kila meli kuanzia za us, euro. Za Asia.. so marekan akitangaza vita na Houth ni rais kupata sopoti and it will be an esy war.. atampiga tokea saudi tokea baharini tokea yemen upande wa govt..

So bila kujali Nan ana haki maana wote wanamakosa (houth and us na wenzie) maana watakaoumia ni raia wa kawaida wa yemen. nchi yenyewe tayari ina vita mwaka wa kumi huu ..

Ila Houth hayuko same league na Us ..
 
Anamaanisha kwa sheria za nato mwanachama akiingia vitan nato wote wanatakiwa wasupport.. point yake ni kuwa marekan hajatangaza vita na houth.. marekan alitangaza vita na libya kumuondoa Ghadafi na Nato wakaingia same to Sadam..

Marekan akitangaza vita na Houth asubuh tu utaona jet fighter za Us, Uk, germany na wengi wote no question ask..

Kwa kukuelewesha vita ya The so called UN/Nato dhidi ya kumuondoa ghadafi ni marekan (presidaa obama ) ndo alitangaza kwa kisingizio anaua raia wa libya so marekan anaenda kulinda wa raia wa libya..

Na akaingia akatangaza no fly zone kwenye space ya libya.. imagine rais anapigwa ban kwenye anga lake akiwa ndan sembuse hao Houth ambao wana attack kila meli kuanzia za us, euro. Za Asia.. so marekan akitangaza vita na Houth ni rais kupata sopoti and it will be an esy war.. atampiga tokea saudi tokea baharini tokea yemen upande wa govt..

So bila kujali Nan ana haki maana wote wanamakosa (houth and us na wenzie) maana watakaoumia ni raia wa kawaida wa yemen. nchi yenyewe tayari ina vita mwaka wa kumi huu ..

Ila Houth hayuko same league na Us ..
Unadhani kwanini hatangazi? Hakuna biashara itafanyika middle east bahari zote zitafungwa na iran na Mrusi uchumi wa dunia utayumba saudia mafuta yote yatiwa kiberiti kiufupi itakua ni vurugu middle yote
 
Unadhani kwanini hatangazi? Hakuna biashara itafanyika middle east bahari zote zitafungwa na iran na Mrusi uchumi wa dunia utayumba saudia mafuta yote yatiwa kiberiti kiufupi itakua ni vurugu middle yote
Huo ndio ukweli wenyewe
 
Back
Top Bottom