Marekani yaanza kutumia 'soft power' yake kuzuia moto wa kukataa ushoga kushika kasi Afrika

Marekani yaanza kutumia 'soft power' yake kuzuia moto wa kukataa ushoga kushika kasi Afrika

Andiko konki sana hili. Mi nichangie kwenye point yako ya Mwisho hapo.

Unaambiwa hakuna Mkatoliki zaidi ya Papa. Kwaiyo papa akilainika, kanisa Katoliki la bongo linazinguaje?

Dini ya Mzungu ni useless kwetu Africa. Haina tija wala msaada wowote kwetu zaidi yakututishia Jehanam, kutufisadi sadaka na kipato chetu, kutumbaza nakutufanya Ndondocha wa wazungu. Rejea Colonialism process, bila dini kuwalainisha waafrica, wallah jamii zetu zilikuwa na mbinu kibao zakuwashinda nyang'au hawa, tungekuwa good sana to time.

Niishie hapo mkuu.

Sent from my TECNO CX Air using JamiiForums mobile app
Papa ni kiongozi wa Kanisa Katoliki, lakini hakuna maana kwamba kila atakalosema hata kama lipo kinyume na maadili, lazima lifuatwe na makanisa mengine yote ya Katoliki duniani.

Mengi ya haya madai yenu mnayoleta mmeyaegemeza kihisia zaidi, hamna uthibitisho wa kueleweka, au kama unao ushahidi hilo unalosema lilishawahi kutokea kabla, hebu tuwekee hapa tuuone Papa yupi aliwahi kusema lifanyike jambo la kufanana na hilo na likafanyika.
 
Mataifa mengi ya magharibi yana support hivyo vitendo vya ushoga, sijajua kwa nini mleta mada umeamua kukomaa na wamarekani peke yao, ungetakiwa uguse na kule kwa wengine ambao nao wana balozi zao hapa Tanzania.
Kuna njia(model) katika kudeal na kuanalyse mambo inaitwa SMART

1. S inasimama badala ya "SPECIFIC"
Kwamba unapodeal na Issue be specific.

Huwezi kuwa Jack of everything, Ukisema uwe broad ktk kitu utaandika volumes humu, maana huwezi kuandikia nchi zote za Ulaya, America, Asia etc.

Bali unachagua moja ambayo wewe binafsi unahisi ina impact zaidi, au ambayo unaielewa zaidi. Kisha mtu mwingine naye ataandikia nchi nyingine au kitu kingine
 
Kuna mashoga wangapi mtaani kwenu?

Kuna shida ngapi zinazowakumba nyie wote as a whole mtaani kwenu?

Mwanangu akiwa shoga ni hiari yake and I might disown him. That's it. No more, no less. ILa kutumia nguvu zote as if hilo ndo jambo la msingi zaidi kwenye community yangu ni upumbavu.
Kwa nini umdisown mtoto wako akiwa shoga kama unadhani ushoga siyo issue?
 
Kama Putin anapinga ushoga kwa nini 2018 hakufanya kama Qatar?
Nchi za Kiarabu ndio zinazofahamika kwa msimamo mkali dhidi ya Ushoga

Urusi ni nchi ya kizungu na ina tamaduni nyingi tu za kizungu kama vile kunywa pombe, wanawake kuvaa nusu uchi, kutoa mimba, kuzaa nje ya ndoa

Sema hivi sasa ndio inajifanya kuwa na misimamo ya nchi za kiarabu ili kuwavutia Waarabu na Waafrika kuwa ina utamaduni kama wa kwao, baada ya marafiki zake wa upande wa kizungu kumkataa kutokana na uvamizi wa Ukraine

Kombe la Dunia lililofanyika Urusi ushoga, pombr, ngono vilikuwa vikifanyika na hakukuwa na kizuizi chochote

Vita ya Ukraine ilipobamba moto, na Putin kutafuta justification na kuungwa mkono na mataifa ya kiarabu na Afrika, akajifanya nae anamsimo mkali dhidi ya ushoga ili kuwachota akili

Nchi za Kiarabu kama Egypt na Saudia, UAE, Morocco zina sheria kali kuhusu ushoga na ni marafiki dam dam na Marekani

kusambaza ushoga Afrika haijawahi kuwa agenda namba 1 ya Marekani hakuna maslahi kiuchumi itakayopata kutokana na hilo
Na Hata huo ushoga wenyewe haukubaliki na Marekani yote, chama cha Republican sio pro ushoga


Tanzania hatujaruhusu Ushoga na ni rafiki wa Marekani, vivyo hivyo Kenya, na nchi nyinginezo
Ulitaka aruhusu ushoga?
 
Wanawake hawaezi kufanya maamuzi magumu au kupambania chochote??
Mbona sasa hivi unatawaliwa na Rais, spika wa bunge, mkuu wa uhamiaji, na mawaziri kibao ambao wote ni wanawake na nchi inaenda vizuri tu??
Kuna mwanamke jeshini ambaye vitani hukaa Frontline uwanja wa Mapambano?
 
Kama Putin anapinga ushoga kwa nini 2018 hakufanya kama Qatar?
Nchi za Kiarabu ndio zinazofahamika kwa msimamo mkali dhidi ya Ushoga

Urusi ni nchi ya kizungu na ina tamaduni nyingi tu za kizungu kama vile kunywa pombe, wanawake kuvaa nusu uchi, kutoa mimba, kuzaa nje ya ndoa

Sema hivi sasa ndio inajifanya kuwa na misimamo ya nchi za kiarabu ili kuwavutia Waarabu na Waafrika kuwa ina utamaduni kama wa kwao, baada ya marafiki zake wa upande wa kizungu kumkataa kutokana na uvamizi wa Ukraine

Kombe la Dunia lililofanyika Urusi ushoga, pombr, ngono vilikuwa vikifanyika na hakukuwa na kizuizi chochote

Vita ya Ukraine ilipobamba moto, na Putin kutafuta justification na kuungwa mkono na mataifa ya kiarabu na Afrika, akajifanya nae anamsimo mkali dhidi ya ushoga ili kuwachota akili

Nchi za Kiarabu kama Egypt na Saudia, UAE, Morocco zina sheria kali kuhusu ushoga na ni marafiki dam dam na Marekani

kusambaza ushoga Afrika haijawahi kuwa agenda namba 1 ya Marekani hakuna maslahi kiuchumi itakayopata kutokana na hilo
Na Hata huo ushoga wenyewe haukubaliki na Marekani yote, chama cha Republican sio pro ushoga


Tanzania hatujaruhusu Ushoga na ni rafiki wa Marekani, vivyo hivyo Kenya, na nchi nyinginezo

Mzee unaongopa urusi haijawai pitisha wala kuruhusu ushoga ! ila ilikua na torelence kiasi fulani!
Hii ni long way kabla hata ya vita na western wengine walikua wanajaribu kuisakama urusi jaribu kusikiliza interview zake za nyuma
 
Mkuu 'Missile', huwa una mada fikirishi sana unapoamua kuziibua, ukiondoa ile ya siku nyingi inayohusu dini.

Na uzuri ni kwamba huwa unatumia muda kuzipangilia vizuri mada zako kwa mtiririko unaoeleweka.

Katika hili la Marekani na 'soft power' yake, kwa bahati mbaya umejikita sehemu moja tu ya ushoga', ambayo kwa kweli ni sehemu tu ya mihangaiko anayoikabiri Mmarekani wakati huu.

Swala zima ni 'geopolitical', kuliko swala la ushoga pekee. Huyu amekuwa kinara, mwendeshaji wa dunia yenye mtindo wa 'unipolar', sasa anaona umwamba huo unatishiwa; kwanza kwa Urusi kuvamia Ukraine, jambo ambalo pia ulikuwa ni juhudi za kuongeza umwamba wake ambao umeshtukiwa na kutishwa na huyo aliyekuwa amelengwa kudhoofishwa, Urusi. Matokeo ya haya yote, dunia inaenda kwenye mtindo mwingine tena, kutoka 'Unipolar, kwenda kwenye 'multipolar'.

Sitataka kuandika kirefu hapa lakini ngoja nikupe vidokezo fulani vya kuunga mkono mada yako:
1. Tanzania ni juzi juzi tu, imefanya jambo la kipekee kabisa ambalo hatujawahi kulifanya tokea nchi yetu ipate uhuru.Kwa mara ya kwanza tumejificha vichakani na kutopiga kura kwenye Azimio ndani ya Umoja wa Mataifa; kwa kuogopa kuwaudhi wakubwa; matokeo yake ndiyo hiyo zawadi ya mama Makamu wa Rais kuja kututembelea

2. Umeyasikia waliyoyasema wakubwa katika mkutano wao California, ule wa Merikebu za Australia zinazotazamiwa kuanza kuundwa kwenye nchi hiyo hivi karibuni kwa msaada wa Marekani na Uingereza?

Wanasema hivi: "China represents challenge to "World Order" (Rishi Sunak).
Akaendelea kueleza kuwa "China is a country with fundamentally Different Values to Ours".

Ujue maana ya haya maneno ni nini. Hawa wanapigana juu chini kuhakikisha dunia inakuwa na 'values' zao.
Kwa hiyo sasa wanahaha kila mahala kuhakikisha 'values' hizo zinalindwa, ikiwa ni pamoja na huku kwetu.

3. Kurusi kwenye swala hili la ushoga ulilolipa kipaumbele, na pengine ukiongezea na wazungu kuporwa ardhi yao; hivi uliwahi kujiuliza ni sababu zipi hasa Zimbabwe wanaendelea kuwekewa vikwazo vya kiuchumi hadi leo, hata baada ya Mugabe kuondoka?

Mkuu, 'Missile', haya mambo tuyape uzito unaostahili. Hata kama kuna swala la Ushoga linawasumbua, lakini ni lazima tutambue wazi kuwa ni ukoloni tu unarudi kwa njia tofauti.
Upo vizuri upstairs,

Bt tujikite kth HOJA ya USHOGA ambayo ni mtambuka,

Mungu asijeichoma Nchi yetu ikabaki majivu.
 
Kuna njia(model) katika kudeal na kuanalyse mambo inaitwa SMART

1. S inasimama badala ya "SPECIFIC"
Kwamba unapodeal na Issue be specific.

Huwezi kuwa Jack of everything, Ukisema uwe broad ktk kitu utaandika volumes humu, maana huwezi kuandikia nchi zote za Ulaya, America, Asia etc.

Bali unachagua moja ambayo wewe binafsi unahisi ina impact zaidi, au ambayo unaielewa zaidi. Kisha mtu mwingine naye ataandikia nchi nyingine au kitu kingine
Kuwa specific kwenye jambo specific hakuna shida, lakini kuwa specific kwenye jambo la jumla kwangu sioni kama ni sahihi.

Ingetakiwa umguse huyo mmarekani, muingereza, mfaransa, na mjerumani atleast ili kuleta uwiano sahihi kwenye mada yako.

Lakini kufanya hiki ulichofanya, ni kama vile una ajenda ya siri kwa mmarekani, na inawezekana unataka kueneza chuki dhidi yao kwasababu zako binafsi [Mashariki ya Kati].
 
Kuwa specific kwenye jambo specific hakuna shida, lakini kuwa specific kwenye jambo la jumla kwangu sioni kama ni sahihi.

Ingetakiwa umguse huyo mmarekani, muingereza, mfaransa, na mjerumani atleast ili kuleta uwiano sahihi kwenye mada yako.

Lakini kufanya hiki ulichofanya, ni kama vile una ajenda ya siri kwa mmarekani, na inawezekana unataka kueneza chuki dhidi yao kwasababu zako binafsi [Mashariki ya Kati].
Tukubali kutokubaliana

Kwa taarifa yako, historically waliyoyafanya waingereza , na wafaransa huko mashariki ya kati ndani ya miaka 200 iliyopita, marekani ni chekechea.
 
Lakini ushoga upo Afrika kwa mda mrefu sana hasa kwa mwambao wa Afrika mashariki
Bado hauko open, ila wazungu wanataka kuunormalize, yaani toto lako la kiume likuletee basaha wake nyumbani halafu likwambie "daddy this is my fiance"
 
Kuna wazungu wachache bado wana akiliView attachment 2550948
Kuna wazungu ambao bado wana strong religious beliefs na hivyo hawataki haya mambo, na wengine wana wasiwasi mkubwa kuhusu maadili kwa watoto wao ikiwa mitaala ya shule inawekewa vitu vinavyotambua haki za mashoga. Swala lilopo inaonekana kwamba wanaosukuma hii ajenda wana nguvu kubwa ya ushawishi na fedha na pia ushawishi wa kisiasa na kimaamuzi kupitia chama cha democrats hivyo kuwa na uwezo wa kupenyeza haya mambo kwenye sheria za nchi.​
 
Why the energy you talk about is only meant to us and not to those motherfu--rs Europeans who never sleep to make sure we are succumbed to their incestuous filthy homosexuality??.

Hatutaacha kupiga kelele hadi pale wao watakapoacha campaign zao za kutulazimisha kwa blackmail ya kutotupa misaada hadi tumeruhusu Ushoga, Ushoga ni kiwango cha juu miongoni mwa ushetani, Historia katika vitabu vya dini inaonyesha kuna Qaumu imepata kuangamizwa YOTE kwasabu ya Ushoga, tutakuwa ni wajinga bali wapumbavu na mazuzu kutojifunza hiyo historia halafu tujekuhukumiwa kijinga.
Sikubaliani na hilo kupigakelele wakati kuongelea ushoga kila siku ndio mnalipromote kwe jamii ambazo zilikua hazijawa exposed kwenye hizo issue kwanza mtu anaefuatilia na kuongelea ushoga kila mara na wasi wasi nae mambo mengine kwa tamaduni za kiafrika sio ya kuyapa airtime kabisa.
 
Sikubaliani na hilo kupigakelele wakati kuongelea ushoga kila siku ndio mnalipromote kwe jamii ambazo zilikua hazijawa exposed kwenye hizo issue kwanza mtu anaefuatilia na kuongelea ushoga kila mara na wasi wasi nae mambo mengine kwa tamaduni za kiafrika sio ya kuyapa airtime kabisa.


Kuupigia kelele ushoga kwani imekujaje??, ni hao waunga mkono Ushoga ndio wamekuwa wa mwanzo kuutangaza kwa gharama zote mbaya zaidi wamekuwa wakituwekea masharti ya kuukubali ushoga ili watupe misaada, viongozi wao wa kisiasa wanatangaza kuwa ushoga ni moja ya haki za binadamu na sio uhalifu wkihulka, mafundisho ya kutambua ushoga yalianza kuingizwa kwenye vitabu vya shule za awali nk, sasa katika mazingira hayo mtu mwema unawezaje kukaa kimya kupinga ushoga ilihali wao mashoga wanaupa ushoga airtime ??

Mashoga kutumia airtime kuutangaza na kuuhamasisha Ushoga ni halali ila sisi kutumia airtime kuupinga iwe haramu??!!
 
Kwa nini umdisown mtoto wako akiwa shoga kama unadhani ushoga siyo issue?

Again, I don't condone ushoga ila nina tatizo na nguvu inayotumika kupambana na hili jambo.

Mkuu nikuulize kuna mashoga wangapi mtaani kwako? Afu niambie lini mlipata maji na umeme wa uhakika kama hadi leo mnapewa misaada ya ujenzi wa vyoo vya shule na mashirika ya kimataifa.

In the words of the great t blj msome chini hapa labda utaelewa cause I couldn't say it better:

Wazungu ni intelligent sana , wanajua wanachofanya , wameshasoma mindset zetu, kwamba ukitujaza ujinga tutaspend decades kuujadili , ni kama vile mbwa unavyompa fupa alilambe , hapati ladha na atapoteza muda wake wakati wewe unafanya yako.

Namamini hii kasi ya wao kuutangaza na kuukubali ushoga huko kwao , ni njia ya kutu provoke , tutatumia.muda na nguvu nyingi kupimga na kujadili huku wao wakisonga mbele zaidi ,

Tim cook , ni shoga lakini apple na Nike wanategemea kichwa chake kwa maendeleo ya kampuni
 
Sikubaliani na hilo kupigakelele wakati kuongelea ushoga kila siku ndio mnalipromote kwe jamii ambazo zilikua hazijawa exposed kwenye hizo issue kwanza mtu anaefuatilia na kuongelea ushoga kila mara na wasi wasi nae mambo mengine kwa tamaduni za kiafrika sio ya kuyapa airtime kabisa.

Asante kaka. I couldn't agree more.
 
Back
Top Bottom