Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,370
- 14,929
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nami nasubiri jibu mkuu,Nisaidiwe kidogo! Nini agenda iliyo nyuma ya ushoga?
Marekani na nchi za Ulaya wanafaidika nini na ushoga kiasi kwamba watumie gharama kubwa kuusambaza, kuulinda, na kuuhudumia?
Nitashukuru nikipatiwa jawabu mujarabu.
Kwa hiyo hapa unasema kwamba China, India, Brazil, na nchi yoyote itakayotaka kuendelea ni lazima ikubali 'values' za Magharibi? Bila hivyo hapatakuwepo na maendeleo? Chumi zao hazitakuwa nzuri?
Hiyo China mbana tayari wanaiona kuwa tishio kwa 'values' zao; imekuwaje kama mchina anaendelea kiuchumi lakini bado ni tishio kwa hizo 'values' zinazomwezesha kuwa tishio?
Kwa nini sasa wanatafuta njia za kumdhibiti?
Katika makosa Marekani na binamu zake watajutia miaka mingi ijayo, ni pamoja na kuzifanya Russia na China kuwa na urafiki wa karibu sana.
Jua halijazama, Iran na Saudia nao wanajadili kumaliza tofauti zao. It's like someone has decoded satan's code.
Utaliwa tako wewe au mwanao kama sio leo keshoPorojo tu hizi.
Ukweli ni kwamba mabadiliko haya hayawezi tena kuzuiwa kwa mabavu ya nchi chache zilizojipa unyampala wa kuichunga dunia wapendavyo wao.Katika makosa Marekani na binamu zake watajutia miaka mingi ijayo, ni pamoja na kuzifanya Russia na China kuwa na urafiki wa karibu sana.
Jua halijazama, Iran na Saudia nao wanajadili kumaliza tofauti zao. It's like someone has decoded satan's code.
Kama Martin Luther aliweza kujitoa kwenye Ukatoliki baada ya kutofautiana nao mambo fulani fulani ya kitheologia basi hata hapa TZ iwapo wakatoliki wataona kanisa mama linakwenda kinyume cha Injili ya kweli ya Yesu Kristo linaweza kujitenga.
Japo waanglican wa TZ hawajajitenga, lakini Waanglicana wa TZ na Afrika kiujumla wamekataa katakata kukubaliana na Ajenda ya ushoga inayopigiwa chapuo na kanisa la Anglican la uingereza
Utanifanya nikupuuze kwa mipasho kama hii isiyokuwa na mantiki yoyote.Nimekuambia Urusi haiwezi kuendelea zaidi ya hapo ilipofikia sasa chini ya aina ya udikteta walio nao kwa sasa
Naona tatizo lako linaanzia hapa, kudhani kwamba bila uwepo wa mitaji toka Magharibi, nchi nyingine haziwezi kuendelea. Huku ndiko kukariri kunakofanya watu wapoteze fahamu.Maendeleo pia yanahitaji order, utaasisi na predictability . Udikteta wa chama huko China unaweza kuweka mazingira hayo. Hiyo ina maana kwamba mtu anayetaka kuwekeza au kufanya biashara China kuna mambo mengi sana anaweza kuyatabiri na kuweka katika mipango yake jinsi ya kudeal na risks zinazoweza kujitokeza, hii ni kwa sababu haitegemwi Xi Jinping ataamka tu na kutoa matamko au maamuzi kiholela
Kwa hiyo, kwa kufanya biashara hiyo Saudi Arabia imekuwa nchi inayofuata 'values' za Magaharibi; na kwa maana hiyo Saudi watapata maendeleo zaidi ya Urusi wanaotkataa kuendeshwa na Magharibi?Wiki hii tu Saudi Arabia imetangaza kununua ndege 78 za Boeing 787 kwa dolla billion 37 ambalo ni dili kubwa zaidi kuwahi kufanywa duniani katika biashara ya ndege, wewe endelea tu kuota ndoto za mchana. Hata hiyo China huko inachokitafuta huko Urusi ni gesi kwa bei ya kutupa tu, soko la thamani kubwa zaidi la bidhaa za China ni US na EU.
Akikuonesha nipigwe ban.Nioneshe ni wapi Papa katetea ushoga.
Kwa hiyo, kwa kufanya biashara hiyo Saudi Arabia imekuwa nchi inayofuata 'values' za Magaharibi; na kwa maana hiyo Saudi watapata maendeleo zaidi ya Urusi wanaotkataa kuendeshwa na Magharibi?
Hivi mbona ni kama unachanganya mambo kiasi hiki sasa?
Shwari vipi?Kusema ukweli
North America wala hawana time na ushoga ni sisi tu ndio tunakuza hiyo agenda.
Watazama. Movie ndio wanapiga kelele na huo ushoga wakati kwa ground katika nchi zao mambo ni tofauti kabisa
SAWA kabisa, kwa sababu sasa nimekufahamu vizuri zaidi kuliko nilivyowahi kukufahamu humu JF na vijibu vyako vya ajabu ajabu mara nyingi.Nimekupuuza.
I don't condone ushoga ila nguvu ambayo miafrika inatumia kupinga hili swala ni sawa na kuua nzi kwa nyundo.
Viongozi ya Afrika pamoja na udhalimu wao wote imejua ikipinga ushoga tu hadharani miafrika inasahau kila kitu na kuwaunga mkono. Hii ni kutafuta cheap popularity and miafrika fall for it.
Kuna mambo mengi sana ya msingi yanayogusa maisha ya kila mtu ila watu hawatumii nguvu kuyapazia sauti kama ambayo wanapazia sauti ushoga jambo linalogusa wachache mno. Kwa akili hizi Afrika bado sana.
Pamoja na shida tulizonazo basi tusiongeze shida zingine, hizi tulizonazo zinatosha, kama ushoga ni raha basi wasitulazimishe raha hiyo bali wabaki na raha yao hukohuko kwao, isitoshe ni lini jambo zuri mtu akalazishwa kulichukua??.
Shida tulizonazo zinatutosha hatutaki shida zingine za kishenzi.