Marekani yaanza kutumia 'soft power' yake kuzuia moto wa kukataa ushoga kushika kasi Afrika

Marekani yaanza kutumia 'soft power' yake kuzuia moto wa kukataa ushoga kushika kasi Afrika

Putin ni dikteta mjanja mjanja, anayejua kucheza na matukio ya wakati.
Wakati anaingia madarakani alikuwa Atheist, akagundua dini itampa jukwaa na urahisi katika ku connect na base kubwa ya raia akaanza kujifanyisha Mkristo mfia dini hadi akabatizwa.
Urusi ilikuwa inanyemelewa na vi-nchi vya Ulaya Magharibi kwa kuligwaya linchi lile kubwa. Kila wakiangalia jinsi ya kulidhibiti inawawia vigumu, hata kwa msaada wa godfadha wao mkuu. Mpango wao wa kuisambaratisha federasheni ukastukiwa, sasa hawana la kufanya.
Putin ni mzalendo wa nchi yake.
 
Ushoga ni propaganda ya watu wachache walioamua kuandamana kupinga ujio wa Kamala Harris
 
Baada ya kuanguka na kusambaratika kwa USSR kama kuna Taifa la kuitoa dunia kutoka unipolar ya Marekani kwenda multipolar ni China. Russia hadi hii vita iishe itakuwa imechoka na hata ule uchumi wake kidogo sawa na jimbo la Texas utakuwa mahututi zaidi kwa sababu sasa hataweza tena kupata faida katika mafuta kwa Ulaya kama hapo zamani.
Mkuu 'Missile', huwa una mada fikirishi sana unapoamua kuziibua, ukiondoa ile ya siku nyingi inayohusu dini.

Na uzuri ni kwamba huwa unatumia muda kuzipangilia vizuri mada zako kwa mtiririko unaoeleweka.

Katika hili la Marekani na 'soft power' yake, kwa bahati mbaya umejikita sehemu moja tu ya ushoga', ambayo kwa kweli ni sehemu tu ya mihangaiko anayoikabiri Mmarekani wakati huu.

Swala zima ni 'geopolitical', kuliko swala la ushoga pekee. Huyu amekuwa kinara, mwendeshaji wa dunia yenye mtindo wa 'unipolar', sasa anaona umwamba huo unatishiwa; kwanza kwa Urusi kuvamia Ukraine, jambo ambalo pia ulikuwa ni juhudi za kuongeza umwamba wake ambao umeshtukiwa na kutishwa na huyo aliyekuwa amelengwa kudhoofishwa, Urusi. Matokeo ya haya yote, dunia inaenda kwenye mtindo mwingine tena, kutoka 'Unipolar, kwenda kwenye 'multipolar'.

Sitataka kuandika kirefu hapa lakini ngoja nikupe vidokezo fulani vya kuunga mkono mada yako:
1. Tanzania ni juzi juzi tu, imefanya jambo la kipekee kabisa ambalo hatujawahi kulifanya tokea nchi yetu ipate uhuru.Kwa mara ya kwanza tumejificha vichakani na kutopiga kura kwenye Azimio ndani ya Umoja wa Mataifa; kwa kuogopa kuwaudhi wakubwa; matokeo yake ndiyo hiyo zawadi ya mama Makamu wa Rais kuja kututembelea

2. Umeyasikia waliyoyasema wakubwa katika mkutano wao California, ule wa Merikebu za Australia zinazotazamiwa kuanza kuundwa kwenye nchi hiyo hivi karibuni kwa msaada wa Marekani na Uingereza?

Wanasema hivi: "China represents challenge to "World Order" (Rishi Sunak).
Akaendelea kueleza kuwa "China is a country with fundamentally Different Values to Ours".

Ujue maana ya haya maneno ni nini. Hawa wanapigana juu chini kuhakikisha dunia inakuwa na 'values' zao.
Kwa hiyo sasa wanahaha kila mahala kuhakikisha 'values' hizo zinalindwa, ikiwa ni pamoja na huku kwetu.

3. Kurusi kwenye swala hili la ushoga ulilolipa kipaumbele, na pengine ukiongezea na wazungu kuporwa ardhi yao; hivi uliwahi kujiuliza ni sababu zipi hasa Zimbabwe wanaendelea kuwekewa vikwazo vya kiuchumi hadi leo, hata baada ya Mugabe kuondoka?

Mkuu, 'Missile', haya mambo tuyape uzito unaostahili. Hata kama kuna swala la Ushoga linawasumbua, lakini ni lazima tutambue wazi kuwa ni ukoloni tu unarudi kwa njia tofauti.
 
Western values ni demokrasia pana ya vyama vingi, freedom of speech, utawala wa sheria, private property rights, soko huria na kuheshimu haki za binadamu wote, ni kipi kati ya hizi values ni mbaya na tusingezihataji hapa kwetu??
Mkuu 'Missile', huwa una mada fikirishi sana unapoamua kuziibua, ukiondoa ile ya siku nyingi inayohusu dini.

Na uzuri ni kwamba huwa unatumia muda kuzipangilia vizuri mada zako kwa mtiririko unaoeleweka.

Katika hili la Marekani na 'soft power' yake, kwa bahati mbaya umejikita sehemu moja tu ya ushoga', ambayo kwa kweli ni sehemu tu ya mihangaiko anayoikabiri Mmarekani wakati huu.

Swala zima ni 'geopolitical', kuliko swala la ushoga pekee. Huyu amekuwa kinara, mwendeshaji wa dunia yenye mtindo wa 'unipolar', sasa anaona umwamba huo unatishiwa; kwanza kwa Urusi kuvamia Ukraine, jambo ambalo pia ulikuwa ni juhudi za kuongeza umwamba wake ambao umeshtukiwa na kutishwa na huyo aliyekuwa amelengwa kudhoofishwa, Urusi. Matokeo ya haya yote, dunia inaenda kwenye mtindo mwingine tena, kutoka 'Unipolar, kwenda kwenye 'multipolar'.

Sitataka kuandika kirefu hapa lakini ngoja nikupe vidokezo fulani vya kuunga mkono mada yako:
1. Tanzania ni juzi juzi tu, imefanya jambo la kipekee kabisa ambalo hatujawahi kulifanya tokea nchi yetu ipate uhuru.Kwa mara ya kwanza tumejificha vichakani na kutopiga kura kwenye Azimio ndani ya Umoja wa Mataifa; kwa kuogopa kuwaudhi wakubwa; matokeo yake ndiyo hiyo zawadi ya mama Makamu wa Rais kuja kututembelea

2. Umeyasikia waliyoyasema wakubwa katika mkutano wao California, ule wa Merikebu za Australia zinazotazamiwa kuanza kuundwa kwenye nchi hiyo hivi karibuni kwa msaada wa Marekani na Uingereza?

Wanasema hivi: "China represents challenge to "World Order" (Rishi Sunak).
Akaendelea kueleza kuwa "China is a country with fundamentally Different Values to Ours".

Ujue maana ya haya maneno ni nini. Hawa wanapigana juu chini kuhakikisha dunia inakuwa na 'values' zao.
Kwa hiyo sasa wanahaha kila mahala kuhakikisha 'values' hizo zinalindwa, ikiwa ni pamoja na huku kwetu.

3. Kurusi kwenye swala hili la ushoga ulilolipa kipaumbele, na pengine ukiongezea na wazungu kuporwa ardhi yao; hivi uliwahi kujiuliza ni sababu zipi hasa Zimbabwe wanaendelea kuwekewa vikwazo vya kiuchumi hadi leo, hata baada ya Mugabe kuondoka?

Mkuu, 'Missile', haya mambo tuyape uzito unaostahili. Hata kama kuna swala la Ushoga linawasumbua, lakini ni lazima tutambue wazi kuwa ni ukoloni tu unarudi kwa njia tofauti.
 
Baada ya kuanguka na kusambaratika kwa USSR kama kuna Taifa la kuitoa dunia kutoka unipolar ya Marekani kwenda multipolar ni China. Russia hadi hii vita iishe itakuwa imechoka na hata ule uchumi wake kidogo sawa na jimbo la Texas utakuwa mahututi zaidi kwa sababu sasa hataweza tena kupata faida katika mafuta kwa Ulaya kama hapo zamani.
Dharula ilikuwa ni usalama wa nchi, hayo ya uchumi mbona ni rahisi sana. Vi-nchi kama Uingereza , Ujerumani, Ufaransa unadhani vitaingia kwa mrusi miaka kadhaa michache baada ya vita?

Urusi inayo potential kubwa sana kiuchumi miaka ijayo.
 
Western values ni demokrasia pana ya vyama vingi, freedom of speech, utawala wa sheria, private property rights, soko huria na kuheshimu haki za binadamu wote, ni kipi kati ya hizi values ni mbaya na tusingezihataji hapa kwetu??
Haya yote unayaona yanavyokwenda siku hizi, au hujafuatilia vizuri mwenendo wa nchi hizo hasa baada ya uijio wa Trump?
Umeona jinsi Mahakama kuu nayo inavyofanya vitu vyake huko?

Angalia vizuri, inawezekana hujasoma alama zao zinavyokwenda vizuri kuhusu 'values' hizo.
 
Demokrasia ina misingi yake ambayo ni universal, huwezi tu ukajibunia takataka zozote za kimfumo ukazipachaka jina la demokrasia kwa sababu unapenda kuonekana au kusikika hivyo.
Hata kule Korea Kaskazini kwa Kidukua anopowapingia hadi raia wake mtindo wa kunyoa nywele wanajiita Democratic Republic[emoji1787], ila huo ni mzaha tu au kukosa akili. China ni party dictatorship.
Ukiwasikiliza China, utasikia na wao wakisema neno hilo "Demokrasia" kwa namna yao wenyewe.
Kwa mfano, hivi karibuni, walipokuwa wakimsimika Xi na Waziri Mkuu wao mpya Li Gang; walisema wanachokipigania wao kwamba" To work hard to build a prosperous, strong, DEMOCRATIC, civilized, harmonious and great morden SOCIALIST country."
Bila shaka wewe "demokrasia" unayoilenga hapa ni ile ile tuliyokaririshwa na hao hao wanaoendelea kuipigania iwe hivyo kama wanavyoitaka wao duniani kote.
 
Nisaidiwe kidogo! Nini agenda iliyo nyuma ya ushoga?
Marekani na nchi za Ulaya wanafaidika nini na ushoga kiasi kwamba watumie gharama kubwa kuusambaza, kuulinda, na kuuhudumia?

Nitashukuru nikipatiwa jawabu mujarabu.
Nafikiri wanalindwa kama anavyolindwa albino,zamani vilema walikuwa wanatupwa lkn baada ya elimu kwa jamii hiyo hali haikuwepo tena, lkn hili la ushoga naona ngozi nyeupe wamekuwa wakali sana kwa mtu anayegusa haki zao, yaan ni bora umnyanyase mfungwa utakavyo lkn hawawezi kukusema au kuwa wakali hivyo.
 
Demokrasia ina misingi yake ambayo ni universal, huwezi tu ukajibunia takataka zozote za kimfumo ukazipachaka jina la demokrasia kwa sababu unapenda kuonekana au kusikika hivyo.
Hata kule Korea Kaskazini kwa Kidukua anopowapingia hadi raia wake mtindo wa kunyoa nywele wanajiita Democratic Republic[emoji1787], ila huo ni mzaha tu au kukosa akili. China ni party dictatorship.
Mkuu, hiyo "democrasia" 'universal' wanayoipigania walioibuni ienee duniani kote haiwezekani, na imekwishafikia kikomo chake, hata huko huko katika nchi hizo wanaojitangaza kuhodhi mfumo huo.
 
Kwa uongozi tulionao ambao tunaambiwa anashauriwa na watu wajinga sana na mwenyewe either anawaamini au hawezi kupembua si ajabu huyo VP wa Biden akaja na mikataba ya kusaini.
 
Nchi huwa zinasambararika kutokea ndani kwa migogoro yao wenyewe ya ndani na hivyo ndivyo Urusi itakavyosambaratika, kama vile USSR ilivyosambaratika. Hakuna nchi yeyote ya Ulaya au US ina mawazo hayo duni kama ya kwenu mlioshiba conspiracies hasi dhidi ya West.
Katika karne hizi sio rahisi kuisambaratisha nchi kwa uvamizi, USSR ililipata somo hilo Afghanistan mwaka 1979-1989, Marekani ililipata somo hilo Vietnam na Urusi inalipata somo hilo hapo Ukraine sasa hivi. Kama kuna watu wazuri kujifunza kupitia historia ni West.
Urusi ilikuwa inanyemelewa na vi-nchi vya Ulaya Magharibi kwa kuligwaya linchi lile kubwa. Kila wakiangalia jinsi ya kulidhibiti inawawia vigumu, hata kwa msaada wa godfadha wao mkuu. Mpango wao wa kuisambaratisha federasheni ukastukiwa, sasa hawana la kufanya.
Putin ni mzalendo wa nchi yake.
 
Ni ujinga kufikiri Marekani hawahitaji kufanya biashara nyingine wamekalia kufikiria mashoga tu. Kwanza hata Marekani mashoga majimbo mengi wanakataliwa tofauti tu ni kwamba kisheria wanalindwa na katiba. Pili Marekani anashindana na China tusipoteze muda badala ya kuliona hilo kuanza kufikiria mashoga badala yake tuangalie miradi yetu.

Huu ni wakati magari yanaenda kuwa ya umeme na madini yapo Africa sisi tunafikiria mashoga.
Tunafikilia yote ila la mashoga wakiendelea tunahamia kuwaua
 
Hata DRC, Angola, Tanzania, CAR n.k zimekuwa na potential za kiuchumi kwa zaidi ya miaka 60 sasa. Urusi uchumi wake utaendelea kwenda mwendo wa konokono hivyo kwa sababu ya utawala na "values".
Nenda kajifunze sababu za Oligarchs wa Urusi kukimbizia pesa zao West na wanasayansi wake wengi pia kwenda West.
Dharula ilikuwa ni usalama wa nchi, hayo ya uchumi mbona ni rahisi sana. Vi-nchi kama Uingereza , Ujerumani, Ufaransa unadhani vitaingia kwa mrusi miaka kadhaa michache baada ya vita?

Urusi inayo potential kubwa sana kiuchumi miaka ijayo.
 
Nchi huwa zinasambararika kutokea ndani kwa migogoro yao wenyewe ya ndani na hivyo ndivyo Urusi itakavyosambaratika, kama vile USSR ilivyosambaratika. Hakuna nchi yeyote ya Ulaya au US ina mawazo hayo duni kama ya kwenu mlioshiba conspiracies hasi dhidi ya West.
Katika karne hizi sio rahisi kuisambaratisha nchi kwa uvamizi, USSR ililipata somo hilo Afghanistan mwaka 1979-1989, Marekani ililipata somo hilo Vietnam na Urusi inalipata somo hilo hapo Ukraine sasa hivi. Kama kuna watu wazuri kujifunza kupitia historia ni West.
Sijaiona 'Iraq' kwenye orodha hiyo, hata Libya huwezi kusema ilisambaratika kutokana na wenyewe nchi mwao.

Kiufupi ni kwamba unajaribu tu kutetea jambo lisilo rahisi kulitetea.

Hawa wanatumia mbilioni ya pesa kuhujumu wengine, halafu leo useme nchi haiwezi kusambaratika kwa sababu zinazotokea nje ya nchi? Hujui hawa wanatumia vikundi vilivyomo ndani kuanza kuhujumu nchi nzima?

Urusi wana bahati sana kwamba waliugundua mchezo kungali mapema sana.
 
Nini kinakufanya useme demokrasia imefikia kikomo chake??
Pia demokrasia haikubuniwa, iliibuka na ku develop baada ya watu kuona shida za uimla.
Mkuu, hiyo "democrasia" 'universal' wanayoipigania walioibuni ienee duniani kote haiwezekani, na imekwishafikia kikomo chake, hata huko huko katika nchi hizo wanaojitangaza kuhodhi mfumo huo.
 
papa naye ameanza kutoa lugha za kuwaandaa kisaikolojia waumini kupitia kanisa hilo kuiona culture ya kishoga kama ni ya kawaida tu.
Nina imani na kanisa katoliki la Tanzania, naamini litakuwa macho kwelikweli, kama wakishindwa basi bora wajitoe waanzishe Kanisa la Kweli la Yesu Kristo.


Inawezekanaje wakatoliki wa Tanzania wajitenge na Papa na waanzishe kanisa lao linalopinga ushoga??!
 
Hata DRC, Angola, Tanzania, CAR n.k zimekuwa na potential za kiuchumi kwa zaidi ya miaka 60 sasa. Urusi uchumi wake utaendelea kwenda mwendo wa konokono hivyo kwa sababu ya utawala na "values".
Nenda kajifunze sababu za Oligarchs wa Urusi kukimbizia pesa zao West na wanasayansi wake wengi pia kwenda West.
Hii ni "dua" tu isiyokuwa na msingi wowote.
Baada ya vita mrusi anajenga uchumi wake, tena kwenye mazingira tofauti kabisa ambayo si 'unipolar' tena, yasiyotawaliwa na hao wanaotaka kuitawala dunia milele.
 
Nini kinakufanya useme demokrasia imefikia kikomo chake??
Pia demokrasia haikubuniwa, iliibuka na ku develop baada ya watu kuona shida za uimla.
Wewe huoni huko kunakosemekana kuna 'demokrasia'?
Kama "iliibuka huko", basi waache kuhimiza na kulazimisha wengine wafuate wanavyotaka wao. Acha wakati ukifika na huko kwingine "itaibuka", ya nini kulazimishana?
 
Back
Top Bottom