Marekani yaanza kutumia 'soft power' yake kuzuia moto wa kukataa ushoga kushika kasi Afrika

Marekani yaanza kutumia 'soft power' yake kuzuia moto wa kukataa ushoga kushika kasi Afrika

Mimi nasubiri siku Rais wa Zanzibar Dk. Hussein Mwinyi akipinga hadharani ushoga maana hata wabara hujifunzia ushoga Zanzibar. Hivi mmesahai msemo, "yakhe ushalipiwa?"
 
Nabii Rolinga aliyetabiri kifo Cha Magu miezi kadhaa kabla ya Kutokea,

Ametoka na kutabiri kuwa kiongozi yeyote wa ukanda huu ya Africa mashariki atakayepitisha USHOGA ktk SHERIA za Nchi,

HATOMALIZA TERM YAKE YA UONGOZI.

Tusubiri.
 
Ukifanikiwa kumfanya Mwanaume kuwa shoga, umeitawala Dunia,

Shoga hawezi fanya uamuzi wowote wa kijasiri kiume kupambania chochote, shoga ni kama mwanamke tu.

Africa na watu waamini Mungu tukatae Kwa nguvu zote mambo haya.

Serikali ikiamua yaeza kuwapunguza na kuwaondoa mashoga mitaani na waume wanaofanya vitendo hivyo ,inawezekana.
 
Urusi nayo ni shetani tu. Urusi ni kati ya nchi zinazoruhusu na kutambua biashara za umalaya.

Afrika kwenye hili tusimame imara. USHOGA HAPANA. Mashoga hapa Tanzania, hata kabla ya hizi jitihada za sasa za kutaka kuhalalisha, walikuwepo na wameendelea kuwepo. Hata nyakati za kale, hata kabla ya Kristo, walikuwepo. Walikuwa wakifanya huo uchafu wao kama wanavyofanya waovu wengine katika mambo mengine. Wamekuwa wakifanya kwa kificho kwa sababu wanajua kuwa ni uovu. Ibakie hivyo hivyo.

Serikali au dini kuwatambua watu wa jinsia moja kuwa ni mume na mke ni uhayawani wa hali ya juu.

Hawa wanaokubali ndoa za jinsia moja, ina maana kuna siku tutashuhudia hata kuwepo kwa Rais shoga. Huyo shoga wake tutamwita first lady au first gentleman? Fikiria siku tutakapotangaziwa kuwa kuna ugeni mzito toka US, Rais anakuja kuitembelea Tanzania, ataongozana na first gentleman wake. Gentleman wa Rais atakutana na wanawake wa Tanzania ili kuona namna ya kuwasaidia wanawake wenzake!!!
 
Urusi nayo ni shetani tu. Urusi ni kati ya nchi zinazoruhusu na kutambua biashara za umalaya.

Afrika kwenye hili tusimame imara. USHOGA HAPANA. Mashoga hapa Tanzania, hata kabla ya hizi jitihada za sasa za kutaka kuhalalisha, walikuwepo na wameendelea kuwepo. Hata nyakati za kale, hata kabla ya Kristo, walikuwepo. Walikuwa wakifanya huo uchafu wao kama wanavyofanya waovu wengine katika mambo mengine. Wamekuwa wakifanya kwa kificho kwa sababu wanajua kuwa ni uovu. Ibakie hivyo hivyo.

Serikali au dini kuwatambua watu wa jinsia moja kuwa ni mume na mke ni uhayawani wa hali ya juu.

Hawa wanaokubali ndoa za jinsia moja, ina maana kuna siku tutashuhudia hata kuwepo kwa Rais shoga. Huyo shoga wake tutamwita first lady au first gentleman? Fikiria siku tutakapotangaziwa kuwa kuna ugeni mzito toka US, Rais anakuja kuitembelea Tanzania, ataongozana na first gentleman wake. Gentleman wa Rais atakutana na wanawake wa Tanzania ili kuona namna ya kuwasaidia wanawake wenzake!!!
Tunakoelekea tutakuwa vipande viwili,

Wacha Mungu dhidi ya waabudu shetani wazi wazi.

Mifumo kujitahidi kuinua na Kuhalalisha USHETANI, Nia ni kuondoa watu wenye kuamini juu ya uwepo wa Mungu.

Hawatofanikiwa kama Bado tunaishi tunaomuhofu Mungu.
 
Nimesema Kila siku, Kama Bunge letu hili pamoja na kwamba Lina vilaza wengi, ila kama hawatakuja na Mpango madhubuti wa kulinda watoto dhidi ya Ushoga , tumekwishaaa !!.

Hivi Juma Lokole, anapost video za Shoga mwenziee akikata mauno, alafu TCRA IPO???? SERIKALI IPO?? BUNGE LIPO???




Ombeni sana Nchi isiongozwe na !!!!!!
Mtamalizia wenyewe
Sasa wale wapumbavu ulishaona wanaongea lolote lenye maana?
 
Tuwe macho
Mkuu 'Missile', huwa una mada fikirishi sana unapoamua kuziibua, ukiondoa ile ya siku nyingi inayohusu dini.

Na uzuri ni kwamba huwa unatumia muda kuzipangilia vizuri mada zako kwa mtiririko unaoeleweka.

Katika hili la Marekani na 'soft power' yake, kwa bahati mbaya umejikita sehemu moja tu ya ushoga', ambayo kwa kweli ni sehemu tu ya mihangaiko anayoikabiri Mmarekani wakati huu.

Swala zima ni 'geopolitical', kuliko swala la ushoga pekee. Huyu amekuwa kinara, mwendeshaji wa dunia yenye mtindo wa 'unipolar', sasa anaona umwamba huo unatishiwa; kwanza kwa Urusi kuvamia Ukraine, jambo ambalo pia ulikuwa ni juhudi za kuongeza umwamba wake ambao umeshtukiwa na kutishwa na huyo aliyekuwa amelengwa kudhoofishwa, Urusi. Matokeo ya haya yote, dunia inaenda kwenye mtindo mwingine tena, kutoka 'Unipolar, kwenda kwenye 'multipolar'.

Sitataka kuandika kirefu hapa lakini ngoja nikupe vidokezo fulani vya kuunga mkono mada yako:
1. Tanzania ni juzi juzi tu, imefanya jambo la kipekee kabisa ambalo hatujawahi kulifanya tokea nchi yetu ipate uhuru.Kwa mara ya kwanza tumejificha vichakani na kutopiga kura kwenye Azimio ndani ya Umoja wa Mataifa; kwa kuogopa kuwaudhi wakubwa; matokeo yake ndiyo hiyo zawadi ya mama Makamu wa Rais kuja kututembelea

2. Umeyasikia waliyoyasema wakubwa katika mkutano wao California, ule wa Merikebu za Australia zinazotazamiwa kuanza kuundwa kwenye nchi hiyo hivi karibuni kwa msaada wa Marekani na Uingereza?

Wanasema hivi: "China represents challenge to "World Order" (Rishi Sunak).
Akaendelea kueleza kuwa "China is a country with fundamentally Different Values to Ours".

Ujue maana ya haya maneno ni nini. Hawa wanapigana juu chini kuhakikisha dunia inakuwa na 'values' zao.
Kwa hiyo sasa wanahaha kila mahala kuhakikisha 'values' hizo zinalindwa, ikiwa ni pamoja na huku kwetu.

3. Kurusi kwenye swala hili la ushoga ulilolipa kipaumbele, na pengine ukiongezea na wazungu kuporwa ardhi yao; hivi uliwahi kujiuliza ni sababu zipi hasa Zimbabwe wanaendelea kuwekewa vikwazo vya kiuchumi hadi leo, hata baada ya Mugabe kuondoka?

Mkuu, 'Missile', haya mambo tuyape uzito unaostahili. Hata kama kuna swala la Ushoga linawasumbua, lakini ni lazima tutambue wazi kuwa ni ukoloni tu unarudi kwa njia tofauti.
 
TCRA inatakiwa ifutwe kabisa, katika nchi za kidemokrasia hakutakiwi kuwe na vyombo vya ku censor free speech.
Nimesema Kila siku, Kama Bunge letu hili pamoja na kwamba Lina vilaza wengi, ila kama hawatakuja na Mpango madhubuti wa kulinda watoto dhidi ya Ushoga , tumekwishaaa !!.

Hivi Juma Lokole, anapost video za Shoga mwenziee akikata mauno, alafu TCRA IPO???? SERIKALI IPO?? BUNGE LIPO???




Ombeni sana Nchi isiongozwe na !!!!!!
Mtamalizia wenyewe
 
Hawa farasi wa polisi waligoma kuvuka rainbow iliyochorwa kwenye zebra crossing
Yaani Kamala eti aje atushawishi
Kwa tamaa ya hizo hela za mikopo naona mtapewa bure na Mwi... atazipokea
Screenshot_20230313_162936_Instagram.jpg
 
Nisaidiwe kidogo! Nini agenda iliyo nyuma ya ushoga?
Marekani na nchi za Ulaya wanafaidika nini na ushoga kiasi kwamba watumie gharama kubwa kuusambaza, kuulinda, na kuuhudumia?

Nitashukuru nikipatiwa jawabu mujarabu.
LOOooooh!

Umeuliza swali la msingi sana, na ninajuwa hakuna mwenye jibu atakayekujibu.

Hilo swala la ushoga ni sehemu ndogo tu inayotumiwa na hao jamaa, kwa mgongo wa kulinda maslahi yao mapana zaidi.
Wao wanasema kupigania 'values' zao, ikiwa ni pamoja na 'shoga' (haki za binaadam za makundi mbalimbali); lakini jambo muhimu zaidi wanalolipigania ni kuendelea kuitawala dunia kwa misingi ya tamaduni zao.

Sasa hivi tishio kubwa linalowakabili ni Mchina, na sasa likaingia na swala na Ukraine. Kwa pamoja, haya yanavuruga mipango yao ya kuendelea kuiendesha dunia katika sura wanayoishikilia wao. Mchina, Mrusi, India, Iran na nchi nyingi nyingine zinatishia hali hiyo wanayoitaka wao.

Hebu nipe maoni yako juu ya jibu hili.
 
Sahihi, mleta uzi kaandika porojo nyingi sana.
Kama Putin anapinga ushoga kwa nini 2018 hakufanya kama Qatar?
Nchi za Kiarabu ndio zinazofahamika kwa msimamo mkali dhidi ya Ushoga

Urusi ni nchi ya kizungu na ina tamaduni nyingi tu za kizungu kama vile kunywa pombe, wanawake kuvaa nusu uchi, kutoa mimba, kuzaa nje ya ndoa

Sema hivi sasa ndio inajifanya kuwa na misimamo ya nchi za kiarabu ili kuwavutia Waarabu na Waafrika kuwa ina utamaduni kama wa kwao, baada ya marafiki zake wa upande wa kizungu kumkataa kutokana na uvamizi wa Ukraine

Kombe la Dunia lililofanyika Urusi ushoga, pombr, ngono vilikuwa vikifanyika na hakukuwa na kizuizi chochote

Vita ya Ukraine ilipobamba moto, na Putin kutafuta justification na kuungwa mkono na mataifa ya kiarabu na Afrika, akajifanya nae anamsimo mkali dhidi ya ushoga ili kuwachota akili

Nchi za Kiarabu kama Egypt na Saudia, UAE, Morocco zina sheria kali kuhusu ushoga na ni marafiki dam dam na Marekani

kusambaza ushoga Afrika haijawahi kuwa agenda namba 1 ya Marekani hakuna maslahi kiuchumi itakayopata kutokana na hilo
Na Hata huo ushoga wenyewe haukubaliki na Marekani yote, chama cha Republican sio pro ushoga


Tanzania hatujaruhusu Ushoga na ni rafiki wa Marekani, vivyo hivyo Kenya, na nchi nyinginezo
 
TCRA inatakiwa ifutwe kabisa, katika nchi za kidemokrasia hakutakiwi kuwe na vyombo vya ku censor free speech.
Ukiwasikiliza China, utasikia na wao wakisema neno hilo "Demokrasia" kwa namna yao wenyewe.
Kwa mfano, hivi karibuni, walipokuwa wakimsimika Xi na Waziri Mkuu wao mpya Li Gang; walisema wanachokipigania wao kwamba" To work hard to build a prosperous, strong, DEMOCRATIC, civilized, harmonious and great morden SOCIALIST country."
Bila shaka wewe "demokrasia" unayoilenga hapa ni ile ile tuliyokaririshwa na hao hao wanaoendelea kuipigania iwe hivyo kama wanavyoitaka wao duniani kote.
 
Akili za Mu Africa zimekaa kuwaza na kujihusisha na vitu vidogo vidogo tu visivyoumiza kichwa.
Mu Africa anapenda petty issues.
Ni ujinga kufikiri Marekani hawahitaji kufanya biashara nyingine wamekalia kufikiria mashoga tu. Kwanza hata Marekani mashoga majimbo mengi wanakataliwa tofauti tu ni kwamba kisheria wanalindwa na katiba. Pili Marekani anashindana na China tusipoteze muda badala ya kuliona hilo kuanza kufikiria mashoga badala yake tuangalie miradi yetu.

Huu ni wakati magari yanaenda kuwa ya umeme na madini yapo Africa sisi tunafikiria mashoga.
 
Putin ni dikteta mjanja mjanja, anayejua kucheza na matukio ya wakati.
Wakati anaingia madarakani alikuwa Atheist, akagundua dini itampa jukwaa na urahisi katika ku connect na base kubwa ya raia akaanza kujifanyisha Mkristo mfia dini hadi akabatizwa.
We jamaa mpumbavu sana,humjui Putin wewe acha kudandia mambo hovyo,ona aibu yako hii sasa
 
LOOooooh!

Umeuliza swali la msingi sana, na ninajuwa hakuna mwenye jibu atakayekujibu.

Hilo swala la ushoga ni sehemu ndogo tu inayotumiwa na hao jamaa, kwa mgongo wa kulinda maslahi yao mapana zaidi.
Wao wanasema kupigania 'values' zao, ikiwa ni pamoja na 'shoga' (haki za binaadam za makundi mbalimbali); lakini jambo muhimu zaidi wanalolipigania ni kuendelea kuitawala dunia kwa misingi ya tamaduni zao.

Sasa hivi tishio kubwa linalowakabili ni Mchina, na sasa likaingia na swala na Ukraine. Kwa pamoja, haya yanavuruga mipango yao ya kuendelea kuiendesha dunia katika sura wanayoishikilia wao. Mchina, Mrusi, India, Iran na nchi nyingi nyingine zinatishia hali hiyo wanayoitaka wao.

Hebu nipe maoni yako juu ya jibu hili.
Nashukuru Mkuu #Kalamu, kwa ufafanuzi mujarabu.
 
Tunakoelekea tutakuwa vipande viwili,

Wacha Mungu dhidi ya waabudu shetani wazi wazi.

Mifumo kujitahidi kuinua na Kuhalalisha USHETANI, Nia ni kuondoa watu wenye kuamini juu ya uwepo wa Mungu.

Hawatofanikiwa kama Bado tunaishi tunaomuhofu Mungu.
Maoni yako haya yamenipa wazo, na kuzua swali:
Hivi itakuwaje mashoga wetu waliopo hapa wakipewa mkoa wao mmoja wapo, bila ya kuchanganyika na watu wengine; halafu tuende kuwasalimia huko mkoani kwao baada ya miaka 80 au zaidi hivi, tutawakuta akina nani mkoani humo?
Huenda swali langu lisieleweke kirahisi. Hapana, huko mikoa tunayobaki sisi tusio mashoga pasizalishwe mashoga zaidi; kama utakuwa bado hukunielewa maana yangu.
 
Marekani wala Ulaya hawasambazi ushoga.
Ushoga upo kwenye jamii zote tangu enzi na enzi. Vitabu vya dini kubwa viliandika mambo ya ushoga kabla hata waandisha wake wengi hawajafika kwenye ardhi za wazungu.
Nisaidiwe kidogo! Nini agenda iliyo nyuma ya ushoga?
Marekani na nchi za Ulaya wanafaidika nini na ushoga kiasi kwamba watumie gharama kubwa kuusambaza, kuulinda, na kuuhudumia?

Nitashukuru nikipatiwa jawabu mujarabu.
 
Nabii kanjanja tu huyo, atabiri lini Tanzania itapata katiba mpya au itaondokana na umaskini.
Nabii Rolinga aliyetabiri kifo Cha Magu miezi kadhaa kabla ya Kutokea,

Ametoka na kutabiri kuwa kiongozi yeyote wa ukanda huu ya Africa mashariki atakayepitisha USHOGA ktk SHERIA za Nchi,

HATOMALIZA TERM YAKE YA UONGOZI.

Tusubiri.
 
Hapa utaumana na Wakotiliki vibaya sana, huwa wanasimama na Papa kwa lolote atakalosema[emoji16]
Ujio wa Popee congo lazima umepitisha ujumbe Kwa viongozi wa makanisa hayo Africa kuwalainisha wakubali USHETANI huo.

Popee huyo ndo mtawala underground wa westerners akimtumia merekano,

Nchi hii wamekwama. Putino aungwe mkono.
 
Wanawake hawaezi kufanya maamuzi magumu au kupambania chochote??
Mbona sasa hivi unatawaliwa na Rais, spika wa bunge, mkuu wa uhamiaji, na mawaziri kibao ambao wote ni wanawake na nchi inaenda vizuri tu??
Ukifanikiwa kumfanya Mwanaume kuwa shoga, umeitawala Dunia,

Shoga hawezi fanya uamuzi wowote wa kijasiri kiume kupambania chochote, shoga ni kama mwanamke tu.

Africa na watu waamini Mungu tukatae Kwa nguvu zote mambo haya.

Serikali ikiamua yaeza kuwapunguza na kuwaondoa mashoga mitaani na waume wanaofanya vitendo hivyo ,inawezekana.
 
Back
Top Bottom