Marekani yabamizwa mapigo mawili matakatifu, onyo tu hilo

SubhAllah
 
Matetemeko yanayotokea bara la asia na kuua watu ni damu za wapi hua zinalipwa?
 
Haya majanga yakiwakumba wengi wanakaa na kufikiri na kurudi kwa Muumba wao, kama ilivyowakumba September 11. Na hili mtasikia wanvyorudi, makundi kwa makundi.

Uislam kwa sasa utatokea Magharibi.
Kumbe September 11 osama bin laden ndiyo ka alah kenu kalichopanga kulipua pale WTC. Asante kwa kutujuza.
 
Unaacha kuwahurumia wapuuzi wenzio huko Gaza hawana msosi,unahangaika na USA?
 
ka allah kao kachongo jicho la kuangalia congo hana. Ni chongo kabaki na jicho la kuangalia waarabu tu. Hahahaaaaa akana uwezo wa kuona nje ya waarabu
 
Watu wa dini wana tatizo kubwa sana. Matukio ya kawaida wanapenda kuhusisha na Mungu. Hawana uwezo wa kufikiri nje fikra za kidini.
 
Na yale mafuriko ya Dubai yalikuwa onyo la nini!? Huko si ndo mji wenu mtakatifu ulipo kwahiyo mlikuwa mnapewa onyo nyinyi mahujaji au!? Na mauaji ya kukanyagana mahujaji pia huwa ni onyo la nini vile!?
Ni onyo waache ugaidi
 
Nilipokua mdogo nilitamani sana kwenda marekani, lakin kadri umri unakwenda ndio naelewa huu is this shit, waovu sana wale jamaa us kwenyewe watu wanapotea mno hadi watoto very evil country
 
Acha kutudanganya wewe bibi.

Majanga ya asili hayo wewe unasema ni mungu?
 
Hahaha dah 😅

Utahisi ni mara ya kwanza US kukumbwa na hizi ishu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…