Marekani yabamizwa mapigo mawili matakatifu, onyo tu hilo

Marekani yabamizwa mapigo mawili matakatifu, onyo tu hilo

Matukio mawili ya kutisha yametokea nchini Marekani, dunia nzima imeyashuhudia na kuyasikia lakini imepigwa na butwaa na kukaa kimya, kama imemwagiwa maji ya baridi.

Ni vipigo viwili tofauti kutoka kwa Muumba wetu. Damu za watu hazimwagwi bure.


Hii Florida:

View: https://youtube.com/shorts/7hp_SGD64Vw?si=UuiLKfdQ7xXDNRYl

Florida ni kituo kikubwa cha matajiri wa Kizayuni kwenda kula bata. Hata Netanyau, kakimbia vita yupo huko.

Na hii ni North Carolina:


View: https://youtu.be/OQ2rX1M4CMc?si=9r-ueKAJhFSQFNq7

North Carolina ni kituo kikubwa cha kuunda zana za kivita zinazotumika kuangamiza watu duniani.

Unazeeka kama mwehu
 
Hiyo ni kazi ya HAARP project, hakuna cha pigo la Mungu wala nini!...
Ni kuelekea kwenye NEW WORLD ORDER
 
Matukio mawili ya kutisha yametokea nchini Marekani, dunia nzima imeyashuhudia na kuyasikia lakini imepigwa na butwaa na kukaa kimya, kama imemwagiwa maji ya baridi.

Ni vipigo viwili tofauti kutoka kwa Muumba wetu. Damu za watu hazimwagwi bure.


Hii Florida:

View: https://youtube.com/shorts/7hp_SGD64Vw?si=UuiLKfdQ7xXDNRYl

Florida ni kituo kikubwa cha matajiri wa Kizayuni kwenda kula bata. Hata Netanyau, kakimbia vita yupo huko.

Na hii ni North Carolina:


View: https://youtu.be/OQ2rX1M4CMc?si=9r-ueKAJhFSQFNq7

North Carolina ni kituo kikubwa cha kuunda zana za kivita zinazotumika kuangamiza watu duniani.

Kwa USA mtasubiri sana
 
Hizi Natural ni Disasters kama Climate Change zinachangiwa na Human activities.

Lak8ni kwa Mtu aliyelewa Dini atasema ni Allah.

Unaona jinsi allahu alivyo mkatili kwa kuwapiga isivyo haki watu wa Florida. Kwa sababu kama ni madhambi binadamu wote tumefanya mengi. sasa kwa nini huyu allahu anawapa kichapo watu wa jimbo moja huko marekani?
 
Unaona jinsi allahu alivyo mkatili kwa kuwapiga isivyo haki watu wa Florida. Kwa sababu kama ni madhambi binadamu wote tumefanya mengi. sasa kwa nini huyu allahu anawapa kichapo watu wa jimbo moja huko marekani?
Huyo Allahu ndo nani?......hahahahah
 
Haya majanga yakiwakumba wengi wanakaa na kufikiri na kurudi kwa Muumba wao, kama ilivyowakumba September 11. Na hili mtasikia wanvyorudi, makundi kwa makundi.

Uislam kwa sasa utatokea Magharibi.
Wee waache tu, wanatakiwa kusilimu.
 
Punguza hasira, umechanganya mambo mpaka haueleweki. Kunywa maji, shusha pumzi, jamba kidogo, halafu andika moja moja. Uzi upo tu huu hauendi mahala kwengine.

Usiwe na kiherehere.

Jibu hoja, kule DRC watoto, wanawake na wazee wanavyoteseka hao siyo watu hivi kwamba allahu aendelee kunyamaza kimya kana kwamba wanaokufa kule ni kuku na si binadamu aliye waumba kwa mfanowe?
Ina maana waarabu ndo watu na nusu kuwazidi mamia wanaoendelea kufa kule sudan?
 
Punguza hasira, umechanganya mambo mpaka haueleweki. Kunywa maji, shusha pumzi, jamba kidogo, halafu andika moja moja. Uzi upo tu huu hauendi mahala kwengine.

Usiwe na kiherehere.
🤣🤣🤣 tatzo afya ya akili just comment ilikuwa aina aja ya kujibu vbaya ni kuelimishana tu kwa maneno ya hkima lakn kama ndy umeona kujibu ivo ss tunaishi nayo
 
Kwani wewe Muumba wako nani?Mimi nafahamu Mwenyezi Mungu ni mmoja tu. Soma:

Qur'an 30:33 Na yakiwapata watu matatizo na misukosuko wanamuomba Mola wao, hali ya kumtakasia, Awaondolee mashaka, na Anapowarehemu na Akawaondolea mashaka, punde si punde linatoka pote la watu kati yao wakarudi kwenye ushirikina mara nyingine wakamuabudu mwingine pamoja na Mwenyezi Mungu.
Ndo huyo anaewapelekea mafuriko waamerika??
 
Back
Top Bottom