Marekani yabamizwa mapigo mawili matakatifu, onyo tu hilo

Marekani yabamizwa mapigo mawili matakatifu, onyo tu hilo

Niione nuru kwa makobazi.....hawa tunashinda nao tunawaona mambo yao halafu ndo tuione nuru kupitia hawa makobazi kweli........labda siku nikiamua kuanza kufuga majini nitawafata
Utaiona nuru kupitia Muumba wako.

Hata huyo unaemwita kobazi, ana muabusu Mwenyezi Myungu mmoja.

Watu wenye kiburi kama wewe walikuwepo wengi sana, wala wewe huwapati kwa kila kitu,m na wameufyata na kutubu. Na wewe tunaamini kuna siku utatubu, au kwa kupenda au kwa kutokupenda.

IIkiwa unachosoma hiuelewei, basi hata pich huoni? Au unafikiroi huu uzi wa nini? Ni wa wale wenye viburi kuliko wewe. si unawaona? Au hujapata fundisho hapo?
 
Utaiona nuru kupitia Muumba wako.

Hata huyo unaemwita kobazi, ana muabusu Mwenyezi Myungu mmoja.

Watu wenye kiburi kama wewe walikuwepo wengi sana, wala wewe huwapati kwa kila kitu,m na wameufyata na kutubu. Na wewe tunaamini kuna siku utatubu, au kwa kupenda au kwa kutokupenda.

IIkiwa unachosoma hiuelewei, basi hata pich huoni? Au unafikiroi huu uzi wa nini? Ni wa wale wenye viburi kuliko wewe. si unawaona? Au hujapata fundisho hapo?

Mie nimeielewa ile adhabu ya dubei na yemen,,,,,bado hamjaiona nuru pamoja na majini yenu?? Au bado mnangoja waliberali wanaowahifadhi huko wawaonyeshe nuru??
 
Hii n janga kama janga zngne kama ya jangwan kpnd chamvua aiusian 🤣🤣🤣 bongo dah alaf mtu kama uyu anakuja kutuamnisha n Allah anafanya yake kisa waarabu wanachapka vp bhana Congo yy Allah ajaona uku kwa Wa Africa wakiuliwa?
Punguza hasira, umechanganya mambo mpaka haueleweki. Kunywa maji, shusha pumzi, jamba kidogo, halafu andika moja moja. Uzi upo tu huu hauendi mahala kwengine.

Usiwe na kiherehere.
 
Mie nimeielewa ile adhabu ya dubei na yemen,,,,,bado hamjaiona nuru pamoja na majini yenu?? Au bado mnangoja waliberali wanaowahifadhi huko wawaonyeshe nuru??
Usiwe na hofu na hayo, wewe jitazame kwanza, halafu itazame hii mada. Umeielewa au haijakuingia bado?
 
Usiwe na hofu na hayo, wewe jitazame kwanza, halafu itazame hii mada. Umeielewa au haijakuingia bado?
Kuielewa inamaanisha nianze kumuelewa kobazi,,,,,,mababu zangu wamenikataza kumuelewa kobazi anaesitiriwa na makafiri
 
Kama Allah anauwezo mbona hawatetei hao wafuasi wake wanaouwawa kama Kuku?!
Sasa awatete vipi zaidi ya hivi? Au huna macho?

Unafikiri kama hawalindwi na Muumba wetu kingebaki kitu Ghaza? Labda huijuwi Ghaza na hujuwi maana ya bomu la kilo 2,000.
 
Kuielewa inamaanisha nianze kumuelewa kobazi,,,,,,mababu zangu wamenikataza kumuelewa kobazi anaesitiriwa na makafiri
Ma shaa Allah, ushawahi kuona viatu vya Yesu? Japo ja picha za kuchora?
 
Bibi uwe unashirikisha ubongo japo kidogo, kwa hiyo ile dhoruba iliyopiga dubai hapa majuzi na kuleta mafuriko hadi boti zikawa zinapita mitaani nako wamejaa mayahudi?
 
Bibi uwe unashirikisha ubongo japo kidogo, kwa hiyo ile dhoruba iliyopiga dubai hapa majuzi na kuleta mafuriko hadi boti zikawa zinapita mitaani nako wamejaa mayahudi?
Kumbe huelewi, kuwa Dubai imekuja ile baada ya mazayuni kupewa uraia Dubai? Jisomee kama ulikuwa huelewi:


Usichanganye mayahudi na mazayuni, juwa kuwatenganisha.

Hao unafikiri Hitrer na Wazungu wote wanawakataa huko kwao kwanini? Kila wanapoenda hao ni balaa linawaandama, kwa sababu wao ni watu wa kuwaletea wenzao mabalaa tu.
 
Nimeona viatu vya babu yangu hivyo vinatosha,,,sina shida na kobazi lolote la mashariki ya kati
Babu yako hajawahi kuwa na viatu, labda useme kobazi za matairi aka makata mbuga.
 
Babu yako hajawahi kuwa na viatu, labda useme kobazi za matairi aka makata mbuga.
Kwani hata matairi enzi hizo aliyatoa wapi,,hata hayo hayakuwepo,,,nimeliona kobazi lake la ngozi ya mbuzi na soli ya mbao
 
Matukio mawili ya kutisha yametokea nchini Marekani, dunia nzima imeyashuhudia na kuyasikia lakini imepigwa na butwaa na kukaa kimya, kama imemwagiwa maji ya baridi.

Ni vipigo viwili tofauti kutoka kwa Muumba wetu. Damu za watu hazimwagwi bure.


Hii Florida:

View: https://youtube.com/shorts/7hp_SGD64Vw?si=UuiLKfdQ7xXDNRYl

Florida ni kituo kikubwa cha matajiri wa Kizayuni kwenda kula bata. Hata Netanyau, kakimbia vita yupo huko.

Na hii ni North Carolina:


View: https://youtu.be/OQ2rX1M4CMc?si=9r-ueKAJhFSQFNq7

North Carolina ni kituo kikubwa cha kuunda zana za kivita zinazotumika kuangamiza watu duniani.

Ingekaa kimya hata wewe usingejua. Kabla hata ya vipigo walishaona kupitia utabiri wa hali ya hewa, na maafa yanatangazwa si kama kwetu Tz ingekuwa Siri na pengine WaTz kupotezwa na bibie rais kwa kuweka ukweli hadharani.
 
Back
Top Bottom