Marekani yabamizwa mapigo mawili matakatifu, onyo tu hilo

Marekani yabamizwa mapigo mawili matakatifu, onyo tu hilo

Matukio mawili ya kutisha yametokea nchini Marekani, dunia nzima imeyashuhudia na kuyasikia lakini imepigwa na butwaa na kukaa kimya, kama imemwagiwa maji ya baridi.

Ni vipigo viwili tofauti kutoka kwa Muumba wetu. Damu za watu hazimwagwi bure.


Hii Florida:

View: https://youtube.com/shorts/7hp_SGD64Vw?si=UuiLKfdQ7xXDNRYl

Florida ni kituo kikubwa cha matajiri wa Kizayuni kwenda kula bata. Hata Netanyau, kakimbia vita yupo huko.

Na hii ni North Carolina:


View: https://youtu.be/OQ2rX1M4CMc?si=9r-ueKAJhFSQFNq7

North Carolina ni kituo kikubwa cha kuunda zana za kivita zinazotumika kuangamiza watu duniani.

Chuki ya Muhammad kwa mayahudi imekuathiri sana.Mbona hayo majanga yanatokeaga hata huko kwa waarabu wenzio wee mzee!
 
Matukio mawili ya kutisha yametokea nchini Marekani, dunia nzima imeyashuhudia na kuyasikia lakini imepigwa na butwaa na kukaa kimya, kama imemwagiwa maji ya baridi.

Ni vipigo viwili tofauti kutoka kwa Muumba wetu. Damu za watu hazimwagwi bure.


Hii Florida:

View: https://youtube.com/shorts/7hp_SGD64Vw?si=UuiLKfdQ7xXDNRYl

Florida ni kituo kikubwa cha matajiri wa Kizayuni kwenda kula bata. Hata Netanyau, kakimbia vita yupo huko.

Na hii ni North Carolina:


View: https://youtu.be/OQ2rX1M4CMc?si=9r-ueKAJhFSQFNq7

North Carolina ni kituo kikubwa cha kuunda zana za kivita zinazotumika kuangamiza watu duniani.

Marekani lazima wamalizwe kabisa na Muumba wetu, shenzi sana hawa.
 
Yaani Faiza unapinga Kim kutolewa madarakani ila umeanzisha uzi kabisa kukejeli watu kufa Marekani na kimbunga?

Nimeshangaa sana
Marekani anapeleka silaha Israel/Ukreini kuua watu na yeye kwake wanapigana risasi km mbwa na majanga ya asili yanaua nchini kwake ndio lengo la uzi huu
 
Ungesema Mungu amekasrishwa na Big Polluters ambazo ni US China nk.
 
Ungesema Mungu amekasrishwa na Big Polluters ambazo ni US China nk.
Kwanini niseme hivyo? Hayo sema wewe. Ukweli upo wazi kabisa, mimi nasema hivi;

Florida ni sehemu ya kula bata mazayuni, hulijuwi hilo? :
1728986780751.png


Waambie wale bata vizuri. Hilo ni onyo tu, kutoka kwa Muumba wetu.
 
Kwanini niseme hivyo? Hayo sema wewe. Ukweli upo wazi kabisa, mimi nasema hivi;

Florida ni sehemu ya kula bata mazayuni, hulijuwi hilo? :
Na zile Typhoons za Asia zinazoua maelfu na Matetemeko ya Ardhi kule Uturuki? Na wale Allah anawaadhibu Wazayuni?!
 
Yaani Faiza unapinga Kim kutolewa madarakani ila umeanzisha uzi kabisa kukejeli watu kufa Marekani na kimbunga?

Nimeshangaa sana
Dini zinawehusha Watu kiupeo na maarifa, 2024 June na July Saudi Arabia kulitokea kimbunga kikali sana na china pia palikuwa na mafuriko hatari, inamaana hao pia ni pigo toka kwa mnyaazi mungu?

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Matukio mawili ya kutisha yametokea nchini Marekani, dunia nzima imeyashuhudia na kuyasikia lakini imepigwa na butwaa na kukaa kimya, kama imemwagiwa maji ya baridi.

Ni vipigo viwili tofauti kutoka kwa Muumba wetu. Damu za watu hazimwagwi bure.


Hii Florida:

View: https://youtube.com/shorts/7hp_SGD64Vw?si=UuiLKfdQ7xXDNRYl

Florida ni kituo kikubwa cha matajiri wa Kizayuni kwenda kula bata. Hata Netanyau, kakimbia vita yupo huko.

Na hii ni North Carolina:


View: https://youtu.be/OQ2rX1M4CMc?si=9r-ueKAJhFSQFNq7

North Carolina ni kituo kikubwa cha kuunda zana za kivita zinazotumika kuangamiza watu duniani.

Huko Canada umeambulia kukusanya ujinga mtupu kama huu?
 
Matukio mawili ya kutisha yametokea nchini Marekani, dunia nzima imeyashuhudia na kuyasikia lakini imepigwa na butwaa na kukaa kimya, kama imemwagiwa maji ya baridi.

Ni vipigo viwili tofauti kutoka kwa Muumba wetu. Damu za watu hazimwagwi bure.


Hii Florida:

View: https://youtube.com/shorts/7hp_SGD64Vw?si=UuiLKfdQ7xXDNRYl

Florida ni kituo kikubwa cha matajiri wa Kizayuni kwenda kula bata. Hata Netanyau, kakimbia vita yupo huko.

Na hii ni North Carolina:


View: https://youtu.be/OQ2rX1M4CMc?si=9r-ueKAJhFSQFNq7

North Carolina ni kituo kikubwa cha kuunda zana za kivita zinazotumika kuangamiza watu duniani.


Kwa hiyo vita vinavyotokea mashariki ya kati na kuua watu ambao hawana hatia, watu ambao hata hawajui nini maana ya serikali na hata hawajui kusema. Je hilo siyo pigo?
 
mungu wako wa ajabu sana, anaua watu alioumba kwa kuwapa maafa 😂😂

Kwani wewe Muumba wako nani?Mimi nafahamu Mwenyezi Mungu ni mmoja tu. Soma:

Qur'an 30:33 Na yakiwapata watu matatizo na misukosuko wanamuomba Mola wao, hali ya kumtakasia, Awaondolee mashaka, na Anapowarehemu na Akawaondolea mashaka, punde si punde linatoka pote la watu kati yao wakarudi kwenye ushirikina mara nyingine wakamuabudu mwingine pamoja na Mwenyezi Mungu.
 
Back
Top Bottom