Marekani yabamizwa mapigo mawili matakatifu, onyo tu hilo

Marekani yabamizwa mapigo mawili matakatifu, onyo tu hilo

Mama/baba kila mwaka gulf of Mexico kuna hurricane tena zaidi ya moja so ni kawaida tu na washazoea usiunganishe matukio ya hali ya hewa na brainwashed mind thinking
 
Na lile tetemeko la Uturuki na ile Boxing Day Tsunami na ile Tsunami ya Japani na lile tetemeko la Iran na ille Typhoon iliyopiga Phillipines hayo yote ni maeneo wanayoishi Wazayuni?!
Mtu akiwa mfuasi wa allah akili zinamruka.
 
Kuna mfmda unaandika vitu ambavyo tunashindwa hata tusemaje, ila nilivoona juzi twitter waislam kwa waislam mnagombana kisa matawi ya dini nikajua
 
Acha kuchekesha watu wewe, kwamba wale watu wanaokwenda kuhiji huaga wamejiandaa na KUFA? Sasa mantiki ya sister Faiza kwamba Marekani imepigwa na Mungu halafu maelefu wanaokufa wakiwa HIJA isiwe Mungu? Kwanini hao tusiamini kama pia kile ni kipigo kutoka kwa Mungu?
Hata kikiwa kipigo lkn kipigo kizuri maana wamekufa wakiwa ktk ibada. Wengine wanakufa wakiwa ktk zinaaa
 
Matukio mawili ya kutisha yametokea nchini Marekani, dunia nzima imeyashuhudia na kuyasikia lakini imepigwa na butwaa na kukaa kimya, kama imemwagiwa maji ya baridi.

Ni vipigo viwili tofauti kutoka kwa Muumba wetu. Damu za watu hazimwagwi bure.


Hii Florida:

View: https://youtube.com/shorts/7hp_SGD64Vw?si=UuiLKfdQ7xXDNRYl

Florida ni kituo kikubwa cha matajiri wa Kizayuni kwenda kula bata. Hata Netanyau, kakimbia vita yupo huko.

Na hii ni North Carolina:


View: https://youtu.be/OQ2rX1M4CMc?si=9r-ueKAJhFSQFNq7

North Carolina ni kituo kikubwa cha kuunda zana za kivita zinazotumika kuangamiza watu duniani.

Mungu ataipiga lini Tanzania kwa sababu Kuna madhalinu ya CCM aka Bibi
 
Matukio mawili ya kutisha yametokea nchini Marekani, dunia nzima imeyashuhudia na kuyasikia lakini imepigwa na butwaa na kukaa kimya, kama imemwagiwa maji ya baridi.

Ni vipigo viwili tofauti kutoka kwa Muumba wetu. Damu za watu hazimwagwi bure.


Hii Florida:

View: https://youtube.com/shorts/7hp_SGD64Vw?si=UuiLKfdQ7xXDNRYl

Florida ni kituo kikubwa cha matajiri wa Kizayuni kwenda kula bata. Hata Netanyau, kakimbia vita yupo huko.

Na hii ni North Carolina:


View: https://youtu.be/OQ2rX1M4CMc?si=9r-ueKAJhFSQFNq7

North Carolina ni kituo kikubwa cha kuunda zana za kivita zinazotumika kuangamiza watu duniani.

Vipi yale mafuriko kule dubai na Yemen ,,walipewa adhabu na nani??
 
Unahangaika sana we ajuza!

Vimbunga eneo la kusini mwa Marekani ni majanga ya kila mara/ mwaka.

Hakuna cha muumba wala nini. Ni masuala ya hali ya hewa tu.
Ajuza akishiba alkasusu na tende akili yake inaamia makalioni,anabakia na akili ya kuvukia lami tu
 
Unahangaika sana we ajuza!

Vimbunga eneo la kusini mwa Marekani ni majanga ya kila mara/ mwaka.

Hakuna cha muumba wala nini. Ni masuala ya hali ya hewa tu.
Ndio maana napenda bato kati ya ngabu na fox studios shida hamtokei vipi tulianzieah weekend ?

FaizaFoxy
 
Matukio mawili ya kutisha yametokea nchini Marekani, dunia nzima imeyashuhudia na kuyasikia lakini imepigwa na butwaa na kukaa kimya, kama imemwagiwa maji ya baridi.

Ni vipigo viwili tofauti kutoka kwa Muumba wetu. Damu za watu hazimwagwi bure.


Hii Florida:

View: https://youtube.com/shorts/7hp_SGD64Vw?si=UuiLKfdQ7xXDNRYl

Florida ni kituo kikubwa cha matajiri wa Kizayuni kwenda kula bata. Hata Netanyau, kakimbia vita yupo huko.

Na hii ni North Carolina:


View: https://youtu.be/OQ2rX1M4CMc?si=9r-ueKAJhFSQFNq7

North Carolina ni kituo kikubwa cha kuunda zana za kivita zinazotumika kuangamiza watu duniani.

 
Lakini si wananchi walikuwa na taarifa kwamba kuna kimbunga hericane ,Kwa hiyo wakuhama wakahama vyakaokolewa vikaokolewa.
 
Historia ya maeneo hayo inasemaje ki hali ya hewa kwa miaka 30 iliyopita vimbunga na majanga kama hayo ni kawaida ama ndiyo mara ya kwanza?

Huyu bibi amekosa akili na maarifa. Hajui kuwa kuna maeneo kutokana na Plares za Dunia zilivyo, yapo prone kwa earthquakes na vimbunga. Nchi kama US, Iran, Japan, India, Mexico yapo kwenye maeneo ambako plates za Dunia hugawanyika au kuungana, na hivyo kusababisha maeneo hayo kuwa na matetemeko mengi makubwa na madogo ambayo yanasababishwa vimbunga vya mara kwa mara.
 
Matukio mawili ya kutisha yametokea nchini Marekani, dunia nzima imeyashuhudia na kuyasikia lakini imepigwa na butwaa na kukaa kimya, kama imemwagiwa maji ya baridi.

Ni vipigo viwili tofauti kutoka kwa Muumba wetu. Damu za watu hazimwagwi bure.


Hii Florida:

View: https://youtube.com/shorts/7hp_SGD64Vw?si=UuiLKfdQ7xXDNRYl

Florida ni kituo kikubwa cha matajiri wa Kizayuni kwenda kula bata. Hata Netanyau, kakimbia vita yupo huko.

Na hii ni North Carolina:


View: https://youtu.be/OQ2rX1M4CMc?si=9r-ueKAJhFSQFNq7

North Carolina ni kituo kikubwa cha kuunda zana za kivita zinazotumika kuangamiza watu duniani.

Mkiambiwa mna matatizo ya akili mnakataa.
Hizo ni natural calamities zinatokea all the time nchi mbali mbali duniani. Asia, africa, south america huwa yanawakuta sana.

Si kila kitu ni kujifanya advocate wa Mungu
 
Mkiambiwa mna matatizo ya akili mnakataa.
Hizo ni natural calamities zinatokea all the time nchi mbali mbali duniani. Asia, africa, south america huwa yanawakuta sana.

Si kila kitu ni kujifanya advocate wa Mungu
Huyu bibi anatakiwa kusaidiwa. Kuna sehemu kichwani hakupo sawa. Anaandika vitu vya ajabu, ambavyo hata mjinga wa wastani hawezi kuandika.
 
Kweli akili ya msikitini ni ya kipumbavu sana, mbona uturuki nchi ya kiislam tetemeko liliua maelfu ya watu kwahyo hao walikuwa wamemfanya nini mungu
 
Back
Top Bottom