Marekani yafunga njia zote zilizokuwa zinatumiwa na Russia kwa kulipa madeni yake

Marekani yafunga njia zote zilizokuwa zinatumiwa na Russia kwa kulipa madeni yake

Watammalizaje sasa wakati wenyewe hawawezi kuthubutu kusogeza pua zao uwanja wa mapambano! Waliombwa waweke air free zone WAKAGWAYA! Wanaishia kupeleka silaha tu ambazo mara nyingi urusi huziharibu hata kabla hazijatumika!
Hivi nini kingetokea Kama US&NATO wangeweka No Fly Zone?
 
Kipimo cha kitaalamu hutumia kigezo cha thamani ya pesa ya nchi husika! Maana ndio dira ya uchumi wa nchi. Kabla ya vita dola 1=ruble 82, lakini sasa dola 1=ruble 55!! Haihitaji kwenda shule kujua ni nani anapanda na ni nani anaporomoka!
Kama ndiyo hivyo basi Mozambique ni tajiri kuliko Tanzania maana pesa Yao Ina thamani kuliko TSH
 
Mnajadili haya wala hamna habari na mikopo ambayo inachukulia na Bi mkubwa. Zingatieni ushauri wa Adunje Ndugayi.
mikopo ya bongo hawaioni washakata tamaa,ila waulize kuhusu Russia watakushukia abcd zote za kuporomoka kwa uchumi na kijeshi.
 
Siy wote ni wauza nyanya kama wewe!! Ukweli ni kwamba Marekani imechanganyikiwa, na haijui cha kufanya!! Waliweka vikwazo vya kiuchumi wakidhani uchumi wa urusi utaporomoka ghafla kinyume chake uchumi ukawa na nguvu na pesa yake ikawa na nguvu kuliko hata wakati wa kabla ya vita!! Hivi hata kwa akili ya kawaida kuzuia wawekezaji raia bwa marekani wasilipwe pesa zao wanazoidai urusi ni kitu chenye tija au??
Ignorant people are astounded to see the artificial appreciation of the Russian currency obviously not knowing that in the next one month the currency will begin to plummet again.
 
Dunia inajifunza mengi sana kupitia huu mgogoro, miaka michache ijayo Urusi na China wanaweza kuwa mbadala wa vitu vingi sana hapa duniani badala ya Marekani.
Hii Russia ambayo haina ata kiwanda wala barabara ya msaada Tanzania? ndugu ulishawahi kufika Russia ukawaona na kuishi nao?
 
Ignorant people are astounded to see the artificial appreciation of the Russian currency obviously not knowing that in the next one month the currency will begin to plummet again.
Bank of Russia wenyewe washasema pia.
 
Hii Russia ambayo haina ata kiwanda wala barabara ya msaada Tanzania? ndugu ulishawahi kufika Russia ukawaona na kuishi nao?
Russia hamna kitu. Mimi kama Annunaki wa Tz sijawahi kunufaika na chochote kutoka Urusi. Ajabu Warusi wa JF wanavimba kwl kwl
 
Back
Top Bottom