Marekani yaikamata ndege ya Rais Maduro wa Venezuela

Marekani yaikamata ndege ya Rais Maduro wa Venezuela

Maduro alishinda uchaguzi kwa 51% dhidi ya mpinzani wake mkuu Edmundo Gonzalez aliyepata kura 44%

Kwa akili yako US anafanya yote hayo kwa kuwapenda Wavenezuela? Na vipi sanction wakati wa utawala wa Hugo Chavez?

US hua anaangalia maslahi yake tu,

Wewe unayeendeshwa na mahaba nuie huwezi kuelewa hivi vitu zaidi ya ushabiki wa kijinga.
USA huwa haangalii maslahi yake bali ya mataikuni wachache sana ambao wanamiliki makampuni ya mafuta na viwanda vya siraha
 
Hii comment yako umeiandika kama vile umekatwa kichwa,

Watu kama wewe mmeshakua Brainwashed,hata mfahamishwe vipi,hamuwezi kukubaliana na ukweli halisi,

Machafuko mengi Duniani sababu kuu ni hao hao ambao wewe eti unawaona ni watetezi!

What a Rubbish.
Tatizo uwezo wako duni. Wewe ndiyo umekuwa brainwashed kama wale ambao huwa wanajilipua wakiamini wanawakomesha wanaowaua kumbe wao nfio wanakuwa wa kwanza kufa, na kuna wakati wanakufa pekee yao bila ya hao waliofaka wafe nao.

Ninachojua kwa uhakika wa 100%, wamarekani au hao wazungu wa Ulaya Magharibi, are not 100% perfect but are a hundrwd time much better than most African, Arab and Asian governments.
 
Tatizo uwezo wako duni. Wewe ndiyo umekuwa brainwashed kama wale ambao huwa wanajilipua wakiamini wanawakomesha wanaowaua kumbe wao nfio wanakuwa wa kwanza kufa, na kuna wakati wanakufa pekee yao bila ya hao waliofaka wafe nao.

Ninachojua kwa uhakika wa 100%, wamarekani au hao wazungu wa Ulaya Magharibi, are not 100% perfect but are a hundrwd time much better than most African, Arab and Asian governments.
Yani kwa haya matapishi yasiyokua na kichwa wala miguu unayoyatapika hapa ndio uniambie mimi uwezo wangu mdogo na wewe ndio ujione mjuzi? Ama kweli hata vichaa hutuona sisi timamu ndio vichaa,

Jipe muda wa kufuatilia vitu kabla hujaropoka hapa,au rudi tu Instagram ukaendelee ku like mitindo ya nywele na Madera.
 
Maduro alishinda uchaguzi kwa 51% dhidi ya mpinzani wake mkuu Edmundo Gonzalez aliyepata kura 44%

Kwa akili yako US anafanya yote hayo kwa kuwapenda Wavenezuela? Na vipi sanction wakati wa utawala wa Hugo Chavez?

US hua anaangalia maslahi yake tu,

Wewe unayeendeshwa na mahaba nuie huwezi kuelewa hivi vitu zaidi ya ushabiki wa kijinga.
Hizo ni hadithi unazosikia toka kwa upande wa Maduro. Lakini watazamaji wa kimataifa, taasisi binafsi za ndani na na nje ya nchi, na yule mgombea wa upinzani, wote wanasema kuwa Maduro ameiba uchaguzi. Ndiyo maana kukatokea maandamano makubwa ya wananchi. Maduro akaamua kutumia polisi kulinda ushindi wake bandia. Akawafunga baadhi ya waandamanji, wengine zaidi ya milioni 1 wakakimbia nchi. Halafu kwa siri anaenda kununua ndege ya kifahari USA.

Venezuela Election:
Late on Monday, street protests were reported across the capital and all around the country.
Riot police clashed with protestors.
The results, which followed an election described by independent observers as the most arbitrary in recent years – even by the standards of the authoritarian regime founded by Maduro’s mentor and predecessor, Hugo Chávez.
After a six-hour delay in releasing the results prompted international concern, the government-controlled electoral authority claimed Maduro had won with 51.21% of votes compared with 44.2% for his rival, the former diplomat Edmundo González Urrutia

Edison Research, which conducts high-profile election polling in many countries, published an exit poll showing González had won 65% of the vote, while Maduro won 31%.
Later on Monday, Venezuela announced the expulsion of all diplomats from Argentina, Chile, Costa Rica, Peru, Panama, the Dominican Republic and Uruguay, and said it would withdraw its own representatives from those countries.
 
Kila baada ya muda fulani nchi ya Marekani huwa inafanya mambo ambayo yanazidi kuishushia hadhi nchi hiyo.

Mambo hayo ni yale inayoyapinga kufanywa na wenzake.

Inaua sana kila nchi lakini wengine wakifanya hivyo huitwa magaidi.

Leo imeteka ndege ya raisi mzima wa nchi ya Venezuela kisingizia kikiwa ndege hiyo inatumika vibaya.
---
The United States has seized Venezuela President Nicolas Maduro’s airplane after determining that its acquisition was in violation of US sanctions, among other criminal issues. The US flew the aircraft to Florida on Monday, according to two US officials.

It’s the latest development in what has long been a frosty relationship between the US and Venezuela, and its seizure in the Dominican Republic marks an escalation as the US continues to investigate what it regards as corrupt practices by Venezuela’s government.

The plane has been described by officials as Venezuela’s equivalent to Air Force One and it has been pictured in previous state visits by Maduro around the world.

“This sends a message all the way up to the top,” one of the US officials told CNN. “Seizing the foreign head of state’s plane is unheard-of for criminal matters. We’re sending a clear message here that no one is above the law, no one is above the reach of US sanctions.”

In a statement, Attorney General Merrick Garland said that “the Justice Department seized an aircraft we allege was illegally purchased for $13 million through a shell company and smuggled out of the United States for use by Nicolás Maduro and his cronies.”

The plane was purchased from a company in Florida, the Justice Department said, and was illegally exported in April 2023 from the United States to Venezuela through the Caribbean.

The plane, which is a Dassault Falcon 900EX, has since been used to fly “almost exclusively to and from a military base in Venezuela,” the Justice Department said, and has been used for Maduro’s international travels.

CNN has reached out to the Venezuelan Government and the US State Department for comment.

The situation in Venezuela has had implications for US politics as millions flee the country, many of whom have chosen to migrate to the US-Mexico border.

For years, US officials have sought to disrupt the flow of billions of dollars to the regime. Homeland Security Investigations — the second largest investigative agency in the federal government — has seized dozens of luxury vehicles, among other assets, heading to Venezuela.

“The plane was seized in violation of US sanctions with Venezuela and other criminal matters that we’re still looking at regarding this aircraft,” Anthony Salisbury,
Special Agent in Charge, Homeland Security Investigations told CNN.

The plane had been in the Dominican Republic in recent months. US officials didn’t disclose why, but it presented an opportunity for US officials to seize the aircraft.
Multiple federal agencies were involved in the seizure, including Homeland Security Investigations; Commerce agents, the Bureau of Industry and Security; and the Justice Department.

US officials worked closely with the Dominican Republic, which notified Venezuela of the seizure, according to one of the US officials.

One of the next steps, upon arriving to the US, will be pursuing forfeiture, meaning the Venezuelan government has a chance to petition for it, and collecting evidence from the aircraft.

The US recently placed pressure on the Venezuelan government to “immediately” release specific data regarding its presidential election, citing concerns about the credibility of strongman leader Maduro’s victory.

Earlier this year, the US reimposed sanctions on Venezuela’s oil and gas sector in response to the Maduro government’s failure to allow “an inclusive and competitive election” to take place.

After the controversial reelection of Maduro on July 28, Venezuela suspended commercial flights to and from the Dominican Republic.

Federal agencies, including HSI, have long been going after the Venezuelan government over corruption concerns. Over recent years, HSI has disrupted $2 billion worth of the Venezuelan government’s illicit proceeds or resources, including judgements, seizures, liquidation of bank accounts, according to one of the US officials.

In March 2020, the US Department of Justice charged Maduro, together with 14 current and former Venezuelan officials, with narco-terrorism, drug trafficking and corruption.

“For more than 20 years, Maduro and a number of high-ranking colleagues allegedly conspired with [Colombian left-wing guerrillaa] the FARC, causing tons of cocaine to enter and devastate American communities.,” then-Attorney General William Barr said at the time.

The State Department’s Bureau of International Narcotics and Law Enforcement Affairs has offered a reward of up to $15 million for information leading to Maduro’s arrest or conviction.

In 2017, two nephews of Maduro’s wife Cilia Flores were sentenced to 18 years in prison by a federal court in New York City for trying to smuggle up to 800 kilograms of cocaine into the United States on a private jet; the two were later released by the United States in a prisoners’ exchange in 2022.

“We see these officials and the Maduro regime basically fleecing the Venezuelan people for their own gain,” the US official said. “You have people who can’t even afford a loaf of bread there and then you have the president of Venezuela jetting around in a high-class private jet.”

Poor economic conditions, food shortages and limited access to health care have pushed more than 7.7 million people to flee Venezuela, marking the largest displacement in the Western Hemisphere.

US seizes Venezuela President Nicolas Maduro’s airplane in the Dominican Republic


CNN
An act of War
 
Yani kwa haya matapishi yasiyokua na kichwa wala miguu unayoyatapika hapa ndio uniambie mimi uwezo wangu mdogo na wewe ndio ujione mjuzi? Ama kweli hata vichaa hutuona sisi timamu ndio vichaa,

Jipe muda wa kufuatilia vitu kabla hujaropoka hapa,au rudi tu Instagram ukaendelee ku like mitindo ya nywele na Madera.
No time to argue with crippled minds.
 
Nicolaus Maduru ameshindwa kuvaa viatu vya mtangulizj wake Hugo Chavez. Ambaye alikuwa na mismamo isiyoyumbishwa na mabeberu. Maduro huu ni uchaguzi wake wa pili unaoiingiza nchi kwenye machafuko.
Baada ya uchaguzi kufanyika wiki chache zilizopita, na tume ya uchaguzi kumtangaza Maduro kama mshindi wa uchaguzi huo wananchi wa Venezuela kwa maelfu wabashinda mabarabarani wakipinga matokeo ya uchaguzi huo.
Kinachoyokea sasa nj marekani kuchochea Vurugu, Maandamano na fujo ili kumtoa Maduro madarakani ambaye ameshaapa kutokabidhi nchi kwa wahuni wanaoungwa mkono na beberu marekani.
 
Marekani hana haki yoyote ya kuweka vikwazo na kukamata mali za watu,acha ujinga
Msio na akili kila wakati mnakimbilia kutukana.

Tatizo uwezo wenu ni duni halafu mnaamini kuwa mna uelewa.

Huwezi kuiambia nchi yoyote ile kuwa eti haina mamlaka ya kuiwekea vikwazo nchi fulani kama kama ina sababu za msingi kufuatana na yale ambayo Taifa linayasimamia. Marekani imeweka vikwazo kwa nchi ya Venezuela kuwa hakuna kampuni, au mtu yeyote katika nchi yake anayeruhusiwa kufanya biashara na Venezuela, wewe unasema, haina mamlaka. Halafu bado unaamini una uelewa!! Kama Marekani ingeiambia Tanzania au Urusi isifanye biashara na Venezuela, hapo ungekuwa na hoja. Japo ina uwezo wa kusema kuwa nchi yoyote itakayofanya biashara na Venezuela, Marekani itaiwekea vikwazo. Maana yake itazuia makampuni ya nchini mwake kufanya biashara na nchi inayofanya biashara na Venezuela. Japo hilo halifanyiki mara nyingi.

Hata Tanzania, kama kuna sababu za msingi, kwa mfano wakati ule Malawi inaleta chokochoko dhidi ya nchi yetu, ingeweza kupitisha maamuzi kuwa tunaiwekea vikwazo Malawi. Maana yake hatununui na wala hatuuzi chochote Malawi. Na wala usingeweza kusema kuwa eti hatuna mamlaka ya kuiwekea vikwazo Malawi. Ukumbuke kuwa kwa nchi yenye mifumo ya utawala shirikishi, maamuzi hayo huwa ni maamuzi yaliyoridhiwa na mihimili ya utawala wa nchi kwa kuzingatia maslahi na tunu za Taifa.
 
I wish to be an American, https://jamii.app/JFUserGuide
 
Lakini tuna mlaumu kicheche(marekani) kwamba ni mgomvi na mbabe.........ila huyu kuku ( ndege ya maduro) alifata nini kwenye masikani ya kicheche (marekani) kwani huko Venezuela ndege hazina pa kwenda mpaka zije kwa kicheche (marekani)???
 
Nicolaus Maduru ameshindwa kuvaa viatu vya mtangulizj wake Hugo Chavez. Ambaye alikuwa na mismamo isiyoyumbishwa na mabeberu. Maduro huu ni uchaguzi wake wa pili unaoiingiza nchi kwenye machafuko.
Baada ya uchaguzi kufanyika wiki chache zilizopita, na tume ya uchaguzi kumtangaza Maduro kama mshindi wa uchaguzi huo wananchi wa Venezuela kwa maelfu wabashinda mabarabarani wakipinga matokeo ya uchaguzi huo.
Kinachoyokea sasa nj marekani kuchochea Vurugu, Maandamano na fujo ili kumtoa Maduro madarakani ambaye ameshaapa kutokabidhi nchi kwa wahuni wanaoungwa mkono na beberu marekani.
Naona unaitaja Marekani kabda kwa sababu ya nafasi yake katika Dunia.

Nchi za kwanza kulaani uhuni wa uliofanyika kwenye uchaguzi wa Venezuela, haikuwa Marekani, yalikuwa mataifa ya Amerika Kusini: Argentina, Chile, Panama, Costa Rica, Peru, Dominican Republic na Uruguay; na baadhi ya mataifa ya Ulaya yenye uhusiano wa karibu na nchi za Amerika Kusini, kama vile Spain.

Na Maduro kwa hasira, kaamua kuwafukuza mabalozi wote wa nchi hizo, eti kwa sababu walilaani uchaguzi uliomwingiza madarakani ulivyokuwa hovyo.

Kwa bahati mbaya sana, hayo mataifa jirani na Marekani, nchini mwao kukiwa hovyo, Marekani inaathiriwa sana maana ndiyo inayolazimika kubeba wakimbizi na wahamiaji wengi haramu. Na kwa sera zao za kuheshimu utu hawawezi kukwakata wanaokimbia kuokoa maisha yao.
 
Akina Maduro hao ni watu bogus kabisa ni watu wa kuiba kura tu ili watawale maisha huku hakuna cha maana wanachowafanyia wananchi wao.

Sasa nchi imejaa mafuta lakini ni nchi maskini ya kutupwa kwa sababu tu ya dikteta Maduro kutaka yeye ndiye atawale kinyume na matakwa ya wananchi wake. Bure kabisa.
Unaongea kama unapumuliwa kisogoni, wewe una uchungu sana na Venezuela kuliko hivi nchi yako ya dunia ya tatu , shit hole county inayokata umeme hadi wiki?
Ujitahidi kupunguza ujuaji
 
Back
Top Bottom