Marekani yaikamata ndege ya Rais Maduro wa Venezuela

Marekani yaikamata ndege ya Rais Maduro wa Venezuela

Dunia lazima iwe na Kiranja Mkuu; Marekeni ndo Kiranja wa Dunia,Ulaya was ni viranja wadogo wadogo.
 
Kila baada ya muda fulani nchi ya Marekani huwa inafanya mambo ambayo yanazidi kuishushia hadhi nchi hiyo.

Mambo hayo ni yale inayoyapinga kufanywa na wenzake.

Inaua sana kila nchi lakini wengine wakifanya hivyo huitwa magaidi.

Leo imeteka ndege ya raisi mzima wa nchi ya Venezuela kisingizio kikiwa ndege hiyo ilipatikana kimakosa.
---
The United States has seized Venezuela President Nicolas Maduro’s airplane after determining that its acquisition was in violation of US sanctions, among other criminal issues. The US flew the aircraft to Florida on Monday, according to two US officials.

It’s the latest development in what has long been a frosty relationship between the US and Venezuela, and its seizure in the Dominican Republic marks an escalation as the US continues to investigate what it regards as corrupt practices by Venezuela’s government.

The plane has been described by officials as Venezuela’s equivalent to Air Force One and it has been pictured in previous state visits by Maduro around the world.

“This sends a message all the way up to the top,” one of the US officials told CNN. “Seizing the foreign head of state’s plane is unheard-of for criminal matters. We’re sending a clear message here that no one is above the law, no one is above the reach of US sanctions.”

In a statement, Attorney General Merrick Garland said that “the Justice Department seized an aircraft we allege was illegally purchased for $13 million through a shell company and smuggled out of the United States for use by Nicolás Maduro and his cronies.”

The plane was purchased from a company in Florida, the Justice Department said, and was illegally exported in April 2023 from the United States to Venezuela through the Caribbean.

The plane, which is a Dassault Falcon 900EX, has since been used to fly “almost exclusively to and from a military base in Venezuela,” the Justice Department said, and has been used for Maduro’s international travels.

CNN has reached out to the Venezuelan Government and the US State Department for comment.

The situation in Venezuela has had implications for US politics as millions flee the country, many of whom have chosen to migrate to the US-Mexico border.

For years, US officials have sought to disrupt the flow of billions of dollars to the regime. Homeland Security Investigations — the second largest investigative agency in the federal government — has seized dozens of luxury vehicles, among other assets, heading to Venezuela.

“The plane was seized in violation of US sanctions with Venezuela and other criminal matters that we’re still looking at regarding this aircraft,” Anthony Salisbury,
Special Agent in Charge, Homeland Security Investigations told CNN.

The plane had been in the Dominican Republic in recent months. US officials didn’t disclose why, but it presented an opportunity for US officials to seize the aircraft.
Multiple federal agencies were involved in the seizure, including Homeland Security Investigations; Commerce agents, the Bureau of Industry and Security; and the Justice Department.

US officials worked closely with the Dominican Republic, which notified Venezuela of the seizure, according to one of the US officials.

One of the next steps, upon arriving to the US, will be pursuing forfeiture, meaning the Venezuelan government has a chance to petition for it, and collecting evidence from the aircraft.

The US recently placed pressure on the Venezuelan government to “immediately” release specific data regarding its presidential election, citing concerns about the credibility of strongman leader Maduro’s victory.

Earlier this year, the US reimposed sanctions on Venezuela’s oil and gas sector in response to the Maduro government’s failure to allow “an inclusive and competitive election” to take place.

After the controversial reelection of Maduro on July 28, Venezuela suspended commercial flights to and from the Dominican Republic.

Federal agencies, including HSI, have long been going after the Venezuelan government over corruption concerns. Over recent years, HSI has disrupted $2 billion worth of the Venezuelan government’s illicit proceeds or resources, including judgements, seizures, liquidation of bank accounts, according to one of the US officials.

In March 2020, the US Department of Justice charged Maduro, together with 14 current and former Venezuelan officials, with narco-terrorism, drug trafficking and corruption.

“For more than 20 years, Maduro and a number of high-ranking colleagues allegedly conspired with [Colombian left-wing guerrillaa] the FARC, causing tons of cocaine to enter and devastate American communities.,” then-Attorney General William Barr said at the time.

The State Department’s Bureau of International Narcotics and Law Enforcement Affairs has offered a reward of up to $15 million for information leading to Maduro’s arrest or conviction.

In 2017, two nephews of Maduro’s wife Cilia Flores were sentenced to 18 years in prison by a federal court in New York City for trying to smuggle up to 800 kilograms of cocaine into the United States on a private jet; the two were later released by the United States in a prisoners’ exchange in 2022.

“We see these officials and the Maduro regime basically fleecing the Venezuelan people for their own gain,” the US official said. “You have people who can’t even afford a loaf of bread there and then you have the president of Venezuela jetting around in a high-class private jet.”

Poor economic conditions, food shortages and limited access to health care have pushed more than 7.7 million people to flee Venezuela, marking the largest displacement in the Western Hemisphere.

US seizes Venezuela President Nicolas Maduro’s airplane in the Dominican Republic


CNN

HUELEWI KIINGEREZA. LEO KAMA KAWAIDA UMEKURUPUKA NA HII ID YAKO KAMA UNAVYOKURUPUKA NA ILE ID YAKO NYINGINE. JIPIGE PIGE KIFUA SEMA "MIMI NI KILAZA PRO"

BADO HUJASEMA DOGO. IDs ZAKO ZOTE ZINAKWAMA.
 
Shida waiba kura na washinda maporini wakati wa uchaguzi lazima wamtetee Mwizi mwenzao.

Wamarekani wakamate na mali za majizi na wateka watu walioko TZ.

Mashujaa wenu ni akina Putin ambao wanaona madaraka yao ni ya maisha.
 
Nipo zangu Kyela, ninachojua kuhusu USA ni kile ninachoona kwenye TV.

Sina cha u pro wowote. Mtu kaanzisha uzi na kunukuu source ya habari ila alichoandika na kilicho kwenye source ni vitu 2 tofauti. Kwahiyo kurekebisha ndio kumenifanya pro USA?
Ugonile
 
1725344930780.png


Marekani imekamata ndege ya Rais wa Venezuela Nicolas Maduro, ikidai ilinunuliwa kinyume cha sheria kwa kiasi cha $13m (£9.8m) na kutoroshwa nje ya nchi.

Kulingana na wizara ya sheria ya Marekani, ndege hiyo aina ya Falcon 900EX ilikamatwa katika Jamhuri ya Dominika na kuhamishiwa jimbo la Florida nchini Marekani.

Haijulikani ni jinsi gani na lini ndege hiyo iliishia katika Jamhuri ya Dominika. Data ya ufuatiliaji ilionesha ikiondoka kwenye uwanja wa ndege wa La Isabela karibu na mji mkuu Santo Domingo siku ya Jumatatu, na kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Fort Lauderdale huko Florida baadaye.

Venezuela imeshutumu unyakuzi huo, ikisema kuwa ni sawa na kitendo cha "uharamia".
Katika taarifa, serikali ya Venezuela ilisema "inahifadhi haki ya kuchukua hatua zozote za kisheria kurekebisha uharibifu huu kwa taifa".

Maafisa wa Marekani walisema ndege hiyo ilikamatwa kwa tuhuma za ukiukaji wa udhibiti wa mauzo ya nje na sheria za vikwazo vya Marekani.

Waliongeza kuwa uchunguzi uligundua kuwa watu wanaohusishwa na Bw Maduro walidaiwa kutumia kampuni ya shell ya Caribbean kuficha kuhusika kwao katika ununuzi haramu wa ndege hiyo kutoka kwa kampuni iliyoko Florida mwishoni mwa 2022 na mapema 2023.

Ndege hiyo kisha ilisafirishwa kinyume cha sheria kutoka Marekani hadi Venezuela kupitia Karibiani mwezi Aprili 2023.

Hoja ya maafisa wa Marekani kwamba mauzo ya ndege hiyo ni kinyume na vikwazo vya Marekani haiwezi kuwa na uzito mkubwa kwa Rais Maduro, ambaye mara kwa mara amekuwa akiishutumu Marekani kwa kuingilia masuala ya ndani ya nchi yake.

BBC Swahili
 
Kama ni ndoto ya kila mtu kuishi huko ww mbona hujaenda kuishi huko badala yake upo huku unapingwa vumbi?
Yaani unachukua matamanio yako unawahusisha na watu wengine?
Acha uongo wewe, kwa hiyo wewe ndio unajifanya kupenda vumbi.
 
Marekani inaingilia sana mambo ya ndani ya Venezuela kwa tamaa ya mali.Akina Maduro wako kila nchi inayoitwa ya kidemokrasia.
Nchi ya kidemokrasia tena iwe na akina Maduro kivipi..😛😛😛
 
This is blatant theft on the part of the US government,there is no other way to describe it.But the US government is used to this sort of behaviour.It is stealing Syrian oil and Iraq oil right now as we speak,confiscated more than US $300 million of Russia assets and funds and more.By the way this is not the first time the US is stealing a Venezuelan plane,it also stole a Boeing 747-300M cargo plane in 2022.
 
Tatizo uwezo wako duni. Wewe ndiyo umekuwa brainwashed kama wale ambao huwa wanajilipua wakiamini wanawakomesha wanaowaua kumbe wao nfio wanakuwa wa kwanza kufa, na kuna wakati wanakufa pekee yao bila ya hao waliofaka wafe nao.

Ninachojua kwa uhakika wa 100%, wamarekani au hao wazungu wa Ulaya Magharibi, are not 100% perfect but are a hundrwd time much better than most African, Arab and Asian governments.
Unavijua visiwa vinavyoitwa Marshall Islands??
USA na EU wamekuwa wakifanya test za nuke weapons na biological weapons kwa watu wa hivyo visiwa.
Yani watu wa Marshall islands wamegeuzwa kuwa lab rats hadi sasa.
USA and Westerners are the MOST DANGEROUS HUMANS TO BE FEARED.
Mkuu huna unalojua hujui mambo mengi kubali uelimishwe.
Unamjua Julian Assange!?
Alitoa documentary za uvamizi wa kimakosa wa USA nchini Iraq na mauaji ya makusudi ya jeshi la USA kwa raia na waandishi wa habari Iraq.
It means Iraq was falsely accused and invaded.
MKuu tulia uelimishwe.
 
Dini inahusikaje hapo? Venezuela wao ni dini gani kwani? Bila shaka wewe ndiye una ushabiki wa kidini na ndio maana umewaza hivyo,

Maduro alishinda uchaguzi,US ndio ana create ili ionekane uchaguzi haukua wa haki ili yatokee machafuko coz kuanzia utawala wa Hugo Chavez mpaka Nicolas Maduro wamekataa kua kwenye position ili kuwatumikia US,

Umeiongelea CCM hapo,sasa hao US mbona wapo kimya? mbona hawashupazi shingo kama wanavyoshupaza shingo huko Venezuela? ndio ujue kua US anafanya kila kitu kwa maslahi yake wala sio eti kutetea demokrasia,

Kwani kuna viongozi wangapi hasa Africa wapo madarakana toka kitambo tu ila US yupo kimya? Hapo Rwanda uchaguzi hua haulalamikiwi?

Alidai Iraq wana silaha za WMD akavamia na kuua watu,eti anapeleka demokrasia,hizo Silaha mpaka leo hawakuzipata,mpaka Tony Blair alisema kua We were wrong,

Huko Libya leo hii kuna maisha mazuri? Alivamia Afghanistani akaua watu,leo hii Afghanistan kuna Demokrasia? kuna maisha mazuri? Machafuko ya huko DRC yanatengenezwa makusudi kabisa kwa maslaha ya Westeners,Hakuna mzungu atakayekupa maisha mazuri au kukuletea demokrasia,

Toka usingizini ili ujue Dunia inaendaje,usijadili mambo muhimu ya kidunia kwa ushabiki kama vile unajadili Simba na Yanga.
Huyo jamaa akili yake ni stagnant.
Hakuna kitu mtaongea mtaelewana achana naye.
 
Kuna ujinga kwa baadhi ya members humu kufikiri kuwa marekani anajali kuhusu sijui demokrasia na human rights na takataka zake kwa mataifa mengine wanakosea sana.

Marekani huyu anaye ilalamikia China na kuiwekea vikwazo sababu ni nini ? Anasema China inatesa na kuua waislam wa Uyghurs.

Lakini ndio marekani huyu huyu ambaye anazidi kushusha mizigo kwa mizigo ya makombora kwa Israel kuua wapalestina ambao majority ni Muslim kama angekuwa anajali sijui hiyo demokrasia Israel isingeendelea kufanya kile afanyacho miaka na miaka, asingekuwa rafiki wa Saudia, Rwanda............

Marekani anacho tazama siku zote ni maslahi yake sio kingine.

Iraq ana silaha za maangamizi tukamvamia haya Urusi, China, North Korea, Iran wanazo na wanazifanyia mazoezi vile watakavyo waende sasa wakamvamie mmoja wao
 
Hata Marekani sio nchi ya kidemokirasia na ndio maana Trump alilalamika kuibiwa kura.
Au anajifanya hajaliona lile tukio la kufanyika vurugu ofisi za the capitol!?
 
Kuna ujinga kwa baadhi ya members humu kufikiri kuwa marekani anajali kuhusu sijui demokrasia na human rights na takataka zake kwa mataifa mengine wanakosea sana.

Marekani huyu anaye ilalamikia China na kuiwekea vikwazo sababu ni nini ? Anasema China inatesa na kuua waislam wa Uyghurs.

Lakini ndio marekani huyu huyu ambaye anazidi kushusha mizigo kwa mizigo ya makombora kwa Israel kuua wapalestina ambao majority ni Muslim kama angekuwa a ajali sijui hiyo demokrasia Israel isingeendelea kufanya kile afanyacho miaka na miaka, isingekuwa rafiki wa Saudia, Rwanda............

Marekani anacho tazama siku zote ni maslahi yake sio kingine.

Iraq ana silaha za maangamizi tukamvamia haya Urusi, China, North Korea, Iran wanazo na wanazifanyia mazoezi vile watakavyo waende sasa wakamvamie mmoja wao
Huwa wanavamiwa wanyonge tu.
Hao uliowataja kuwavamia uagane na nyonga.
 
Unafahamu vizuri Kiingereza? Mbona hujaeleza kwa nini USA imechukua uamuzi huo?

Utawala wa kidikteta wa Maduro umewafanya wananchi zaidi ya milioni moja kuwa wakimbizi. Kutokana na ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu unaofanywa na Serikali ya Maduro, USA iliamua kuiwekea vikwazo Venezuela. Lakini zikafanyika njama za kukwepa vikwazo, na kampuni moja ya US ikaamua kufanya biashara na Venezuela. Hivyo ilichofanya USA ni sahihi kabisa kwani ni sehemu ya kuhakikisha maamuzi ya kuiwekea vikwazo vya biashara Venezuela yanaheshimiwa.

Katika uhalisia, pamoja na mapungufu ya hapa na pale, USA na nchi za Ulaya Magharibi, ndiyo mataifa pekee yanayotegemewa kuwa walinzi wa wananchi wote wanaoonewa na kudhulumiwa na tawala dhalimu Duniani. Ndiyo maana wakimbizi wenye uwezo, wanaokimbia tawala dhalimu, kuanzia mataifa ya Kiarabu, Afrika, Asia na Ulaya Mashariki, wanakimbilia kwenye mataifa hayo. Waarabu wanaoonewa na waarabu wenzao huwezi kusikia wanakimbilia kwa waarabu wenzao, wote wanakimbilia Ulaya, labda wakose uwezo wa kufika huko.
Akikujibu n tag mkuu
 
Back
Top Bottom