Marekani yaikamata ndege ya Rais Maduro wa Venezuela

Udikteta wa baadhi ya viongozi husababishwa na marekani wenyewe. Marekani wakiona kiongozi wa nchi unaegemea upande ambao wao hawautaki wanafanya njama ya kukuangusha kwa kupandikiza viongozi wa upinzani juu yako. Wakishindwa kukuangusha wanaanza kukutuhumu hufuati demokrasia na kukufitinisha na wananchi wako kwa kukuwekea vikwazo vya kuumiza wananchi wako.
Mwisho wa picha kiongozi anaamua kuhakikisha anasambaratisha watu wote wanaotishia uongozi wake kuondoa ushawishi wa marekani na hapo udikteta ndiyo hutokea. Marekani wenyewe wanataka either ufuate sera na matakwa yao au wakuwekee vikwazo na uonekane dikteta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…