Marekani yaishutumu Urusi kutumia Chakula Kama silaha ya kivita Ukraine

Marekani yaishutumu Urusi kutumia Chakula Kama silaha ya kivita Ukraine

Russia wamemjibu Katibu mkuu wa umoja wa mataifa na mkurugenzi wa WFP kwamba wakitaka bandari zifunguliwe wapate chakula,

Wajitafakari kwanza Suala vikwazo vya kiuchumi alivyowekewa Russia tangu mwanZo wa operation hii,

Ni nin wao walifanya Kama viongozi wa mihimili mikuu ya uongozi ndani ya umoja wa mataifa

Source: reuters
Screenshot_20220521-124947.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
... inaonesha Ukraine ni nchi muhimu sana kwa maisha ya binadamu duniani; hadi Tanzania tumeathirika na upungufu mkubwa ngano kutoka Ukraine. Dikteta siku zake zinahesabika; hawezi kuichezea dunia kwa kiwango hiki!
Kiufupi,
Ugomvi wa hawa jamaa wawili Ni hatari Sana kwenye USALAMA wa msosi dunia nzima, hasa ulaya wanaowategemea Sana hawa kwa ASILIMIA kubwa Sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna rais kilaza kama huyu kmmke, nchi kashaiharibu thn analeta ujinga wake
Je hakuliona hilo tokea mwanzo[emoji116][emoji116][emoji116]

Ukraine conflict can only be resolved through "diplomacy", Ukrainian President Volodymyr Zelenskyy says amid deadlock in negotiations between Kiev and Moscow https://t.co/NOkV2Ta6oi
Ukiona hivyo ujue kipigo kimemwingia Barabara 😄😄😄
 
... inaonesha Ukraine ni nchi muhimu sana kwa maisha ya binadamu duniani; hadi Tanzania tumeathirika na upungufu mkubwa ngano kutoka Ukraine. Dikteta siku zake zinahesabika; hawezi kuichezea dunia kwa kiwango hiki!
Kwenye ngano:
-ukraine anachangia 11.5% kwenye soko la dunia
-russia anachagia 16.8% kwenye soko la dunia.
Kiujumla Hawa wawili TU, wanachangia zaidi ya 28% ya ngano yote duniani.

Ukija kwenye mahindi,
-ukraine tu anachangia 17% ya mahindi yote kwenye soko la dunia.

Chanzo: DW-ujerumani
2022-05-21-13-03-54.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mapigo anayopiga Putin,ni yale mapigo yasiyoruhusiwa michezoni ila vitani tu.Yaani mapigo yakumlaza kaburini adui.Putin piga hizo mbwa koko mpaka zirudiwe na akili.
Adui yako mwombee njaaa,ndo mana mwezi august au September Putin anataka kuongea na Afrika kama sikosei kumbe alishaliona hili la njaaa kitaambo.
Nahisi Africa ataivusha na janga hili.
Maswali ni meengi kama mchanga,hivi NATO hawakuliona hili mapema?
 
Kwenye ngano:
-ukraine anachangia 11.5% kwenye soko la dunia
-russia anachagia 16.8% kwenye soko la dunia.
Kiujumla Hawa wawili TU, wanachangia zaidi ya 28% ya ngano yote duniani.

Ukija kwenye mahindi,
-ukraine tu anachangia 17% ya mahindi yote kwenye soko la dunia.

Chanzo: DW-ujerumaniView attachment 2232903

Sent using Jamii Forums mobile app
... very interesting! Hadi mahindi Ukraine ambayo kieneo ni ndogo inaipiku Tanzania? Sijui tunakosea wapi!
 
Back
Top Bottom