DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
- Thread starter
- #21
Russia wamemjibu Katibu mkuu wa umoja wa mataifa na mkurugenzi wa WFP kwamba wakitaka bandari zifunguliwe wapate chakula,
Wajitafakari kwanza Suala vikwazo vya kiuchumi alivyowekewa Russia tangu mwanZo wa operation hii,
Ni nin wao walifanya Kama viongozi wa mihimili mikuu ya uongozi ndani ya umoja wa mataifa
Source: reuters
Sent using Jamii Forums mobile app
Wajitafakari kwanza Suala vikwazo vya kiuchumi alivyowekewa Russia tangu mwanZo wa operation hii,
Ni nin wao walifanya Kama viongozi wa mihimili mikuu ya uongozi ndani ya umoja wa mataifa
Source: reuters
Sent using Jamii Forums mobile app