Marekani yaishutumu Urusi kutumia Chakula Kama silaha ya kivita Ukraine

Marekani yaishutumu Urusi kutumia Chakula Kama silaha ya kivita Ukraine

Maneno hayo ya secretary wa US- Antony blinken yanakuja baada ya Russia kushikilia moja kwa moja miji ya bandari na viwanda ya Odesa na mariupol.

Russia ilizuia usafirishaji wa bidhaa za Chakula na mazao kwa kile kilichodaiwa kua Chakula na mazao hayo yamekua yakienda kwenye maghala ya nchi za maadui wa russia.

Badala yake Russia ilisema kuanzia sasa Russia ndie atakua mgawaji na msambazaji mkuu wa Chakula hicho kwa nchi marafiki, na nchi maadui akiwemo Ukraine na baadhi ya nchi za nchi za ulaya Sasa watalazimika kununua Chakula hicho kutokea KREMLIN-MOSCOW kwa pesa cash ya Kirusi,yaani RUBO.

Secretary Antony blinken alisema "Russia WAMEAMUA kutumia Chakula Kama silaha ya kivita kwa kushikilia na kuzuia mamilioni ya Tani za ngano na mafuta ya alizeti zisisafirishwe kwa nchi zinazoitegemea Ukraine moja kwa moja kwa Chakula"

"Hii haikubaliki, na huu Ni uhalifu dhid ya maisha ya binadamu. Duniani nzima pamoja na umoja wa mataifa inapaswa kusimama na kulaani vitendo hivi maana vinakwenda kuumiza hata wasiohusika Moja kwa Moja"

"Kuna wazee,akina mama na watoto walioko Ukraine,ulaya na nchi tegemezi kwa chakula Cha ukraine wanakwenda kuathirika na baa la njaa kwa sababu Russia kaamua kushikilia Chakula Kama silaha yake ya kivita. Hii haikubaliki. Huu sio ubindamu. Huu Ni uhalifu wa kivita"

Chanzo: Al Jazeera englishView attachment 2232774

Sent using Jamii Forums mobile app
Marekani, anapiga kelele tu. Kama ana 'viazi' vyote viwili, kwanini asiliamshe direct kwa Mrusi?
 
Russia wamemjibu Katibu mkuu wa umoja wa mataifa na mkurugenzi wa WFP kwamba wakitaka bandari zifunguliwe wapate chakula,

Wajitafakari kwanza Suala vikwazo vya kiuchumi alivyowekewa Russia tangu mwanZo wa operation hii,

Ni nin wao walifanya Kama viongozi wa mihimili mikuu ya uongozi ndani ya umoja wa mataifa

Source: reutersView attachment 2232884

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe vikwazo vinamuumiza barabara enheee... Chezea mabeberu wewe. Hii vita ikienda miezi 6 Russia atasalimu amri maana gharama kubwa anazotumia kwenye vita plus vikwazo kila kona hawezi kuvumilia.

Ogopa sana kitu kinachoitwa vikwazo. Sie tunadhani vikwazo ni jambo jepesi tu ila aliyewekewa vikwazo ndo anajua hasara zake.
 
Ukiona hivyo ujue kipigo kimemwingia Barabara [emoji1][emoji1][emoji1]
Wangekimbia kwenye mapambano ya kuiteka Kiev?

Russia ni nchi ya Africa iliyochangamka tu hana maajabu.

USSR iliyokuwa imara kabisa na tishio kwa dunia lakini ilisambaratishwa na Marekani itakuwa Russia hii kibogoyo?

Marekani hawezi kuingia vita ya moja kwa moja kama hana maslahi nayo ya moja kwa moja. Russia ni miezi mitatu sasa anapambana na Ukraine sasa anaweza anaweza kuhimili mziki wa Marekani hata kwa wiki moja tu? Ni kujidanganya kukubwa kabisa.
 
Kwasababu KREMLIN sio USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe kweli ni shabiki maandazi. Hivi nguvu iliyokuwa nayo USSR unailinganisha na hii ya Russia?

Kama Marekani aliweza kuiangisha USSR unadhani anashindwa kuisambaratisha hii Russia dhaifu isiyo na dira yoyote inachokitafuta?

Marekani anaangalia maslahi yake ya moja kwa moja kama yanazuiliwa hapo ndo utamjua Mmarekani ni mtu wa aina gani.

Kama Urusi ana nguvu hiyo aende akaisambaratishe USA igawanyike kama yeye USSR alivyosambaratishwa. Acha kumlingalisha kaka wa dunia na vitu vya ajabu.
 
Wangekimbia kwenye mapambano ya kuiteka Kiev?

Russia ni nchi ya Africa iliyochangamka tu hana maajabu.

USSR iliyokuwa imara kabisa na tishio kwa dunia lakini ilisambaratishwa na Marekani itakuwa Russia hii kibogoyo?

Marekani hawezi kuingia vita ya moja kwa moja kama hana maslahi nayo ya moja kwa moja. Russia ni miezi mitatu sasa anapambana na Ukraine sasa anaweza anaweza kuhimili mziki wa Marekani hata kwa wiki moja tu? Ni kujidanganya kukubwa kabisa.
Sawa anapambana na Ukraine, utakuwa bwege Kama huju walio nyuma ya Ukraine Mpaka useme "Russia ni miezi mitatu sasa anapambana na Ukraine sasa anaweza anaweza kuhimili mziki wa Marekani hata kwa wiki moja tu? Ni kujidanganya kukubwa kabisa"
 
Wangekimbia kwenye mapambano ya kuiteka Kiev?

Russia ni nchi ya Africa iliyochangamka tu hana maajabu.

USSR iliyokuwa imara kabisa na tishio kwa dunia lakini ilisambaratishwa na Marekani itakuwa Russia hii kibogoyo?

Marekani hawezi kuingia vita ya moja kwa moja kama hana maslahi nayo ya moja kwa moja. Russia ni miezi mitatu sasa anapambana na Ukraine sasa anaweza anaweza kuhimili mziki wa Marekani hata kwa wiki moja tu? Ni kujidanganya kukubwa kabisa.
Soma vizuri ulichoandika Kisha uandike Tena vizuri
 
Wangekimbia kwenye mapambano ya kuiteka Kiev?

Russia ni nchi ya Africa iliyochangamka tu hana maajabu.

USSR iliyokuwa imara kabisa na tishio kwa dunia lakini ilisambaratishwa na Marekani itakuwa Russia hii kibogoyo?

Marekani hawezi kuingia vita ya moja kwa moja kama hana maslahi nayo ya moja kwa moja. Russia ni miezi mitatu sasa anapambana na Ukraine sasa anaweza anaweza kuhimili mziki wa Marekani hata kwa wiki moja tu? Ni kujidanganya kukubwa kabisa.
🤣🤣🤣🤣 Marekani kavuliwa pichu kwenye hii vita. Ana ubabe wa kwenye makalatasi, sasahivi ameishia kubweka tu kama mbwa koko
 
Wangekimbia kwenye mapambano ya kuiteka Kiev?

Russia ni nchi ya Africa iliyochangamka tu hana maajabu.

USSR iliyokuwa imara kabisa na tishio kwa dunia lakini ilisambaratishwa na Marekani itakuwa Russia hii kibogoyo?

Marekani hawezi kuingia vita ya moja kwa moja kama hana maslahi nayo ya moja kwa moja. Russia ni miezi mitatu sasa anapambana na Ukraine sasa anaweza anaweza kuhimili mziki wa Marekani hata kwa wiki moja tu? Ni kujidanganya kukubwa kabisa.
Tukiwaaambie hamna akili mnakuja mmefuraaa..hahaha..hv ww sokwee mtu..mpaka leo unajua russia anapigana na ukraine?? Ww ni ngederee wa kibiti tuu..huelew kitu..ebu kanye ukalalee huko..ukiamka kesho kakojoe..huku haukuwez
 
Wewe kweli ni shabiki maandazi. Hivi nguvu iliyokuwa nayo USSR unailinganisha na hii ya Russia?

Kama Marekani aliweza kuiangisha USSR unadhani anashindwa kuisambaratisha hii Russia dhaifu isiyo na dira yoyote inachokitafuta?

Marekani anaangalia maslahi yake ya moja kwa moja kama yanazuiliwa hapo ndo utamjua Mmarekani ni mtu wa aina gani.

Kama Urusi ana nguvu hiyo aende akaisambaratishe USA igawanyike kama yeye USSR alivyosambaratishwa. Acha kumlingalisha kaka wa dunia na vitu vya ajabu.
Unavyoandika kwa hisia utadhani ni raia wa USA anaeijua nchi yake, kumbe ni kakijana tu jobless kakitanzania kalikojichokea na maisha huko Namtumbo. Kameungaunga kakapata TECNO basi ujuaji mwingi
 
Zele siku hizi simsikii kwa media nahisi anakesha analewa tu Mara ya mwisho nilimuona macho mekundu Kama alikuwa analia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji2958][emoji2958][emoji2958][emoji2958]Shiiii.... usimcheke sana zuzu Zelensky kwani umesahau kuwa tz pia tunaye zuzu Zelensky wetu yupo anatengeneza muvi na kutembeza bakuli kwa mabeberu wa NATO
 
Wewe kweli ni shabiki maandazi. Hivi nguvu iliyokuwa nayo USSR unailinganisha na hii ya Russia?

Kama Marekani aliweza kuiangisha USSR unadhani anashindwa kuisambaratisha hii Russia dhaifu isiyo na dira yoyote inachokitafuta?

Marekani anaangalia maslahi yake ya moja kwa moja kama yanazuiliwa hapo ndo utamjua Mmarekani ni mtu wa aina gani.

Kama Urusi ana nguvu hiyo aende akaisambaratishe USA igawanyike kama yeye USSR alivyosambaratishwa. Acha kumlingalisha kaka wa dunia na vitu vya ajabu.
Kama anaweza anangojea nn!!?
Kama maslahi yake hayatishiwi anaeka vikwazo vya nini!!!??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe vikwazo vinamuumiza barabara enheee... Chezea mabeberu wewe. Hii vita ikienda miezi 6 Russia atasalimu amri maana gharama kubwa anazotumia kwenye vita plus vikwazo kila kona hawezi kuvumilia.

Ogopa sana kitu kinachoitwa vikwazo. Sie tunadhani vikwazo ni jambo jepesi tu ila aliyewekewa vikwazo ndo anajua hasara zake.
Sasa mbona alieweka vikwazo ndie analalamika njaa inataka kumuua?[emoji848]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom