Marekani yaishutumu Urusi kutumia Chakula Kama silaha ya kivita Ukraine

Marekani yaishutumu Urusi kutumia Chakula Kama silaha ya kivita Ukraine

Sababu kuu mbili za kutoruhusu ngano kutoka ni hizi ambazo Urusi imerudia mara kadhaa kufafanua. Hata jana wamejibu tena.
1.Ngano mamilioni ya Tani za ngano kutoka Ukraine yalikuwa yanasafirishwa kinyemela kwenda nchi za Ulaya kufidia gharama ya msaada na silaha ambazo wamekuwa wakiisaidia Ukraine. Mrusi anasema ni uongo mkubwa na uzushi kwa nchi za magharibi kuudanganya ulimwengu kuwa ngano inaenda kwenye nchi zenye njaa ambazo zipo kusini, Afrika na Asia wakati zinakwenda Ulaya na wenye uhitaji wa hizo ngano haziwafikii. Lengo kuu ni kufidia gharama za wanayoiita ni msaada kwa Ukraine.
Ukweli ni kuwa ngano ya Ukraine ilikuwa ikiporwa tuu na haya mataifa bila kulipa chochote.

2.Urusi imesema bandari zote za Ukraine huko black sea zilitegwa mabomu mengi sana ya chini ya bahari.. Na baadhi ya mikanda ya mabomu yale ilikatika na yamesambaa black sea yote kuelekea hadi Mediterranean.. Kumbuka hadi uturuki walianza kuyavua.. Hivyo hakuna meli ya kiraia inayoweza kusogea au kutia nanga kwenye bandari hizo. Meli zaidi ya 75 zimezuiliwa na Ukraine yenyewe zisisogee maeneo hayo(meli za mizigo).
Suala la kuisafisha bandari na bahari lina endelea ingawa Odessa bado kabisa.

2.Urusi ina mamilioni ya Tani za ngano kuliko Ukraine na imezuia kusafirishwa nje ya nchi mpaka kuanzia mwezi juni au September baada ya mavuno tena. Urusi inasema inahakikisha usalama wa chakula wa watu wake kwanza.
Lakini imekataa kata kata ngano yake isiuzwe kwa mataifa adui.
Vikwazo walivyowekewa vinazuia makampuni mengi ya meli kusafirishwa bidhaa kutoka urusi kwenda nchi nyingine ila wametoa unafuu kwa meli zinazopeleka bidhaa Ulaya na Marekani tuu.. Eg gas, oil, nafaka na ngano. Urusi imekataa huo upuuzi ndio Maana inasema waondoe kwanza baadhi ya vikwazo ambavyo vinawatesa nchi maskini wasipate ahueni kutoka urusi Bali wao tuu.

Muhimu muhimu zaidi ni MBOLEA. DUNIA IKIWEMO MAREKANI WANATEGEMEA MBOLEA KUTOKA URUSI NA MISIMU YA KILIMO NDIO IMEANZA.. MEDVEDEV KASISITIZA MBOLEA YA URUSI INAYOTEGEMEWA DUNIA NZIMA HAITOTOKA KWENDA KWA NCHI ADUI KAMWE. NA AKASEMA HIZO NCHI BILA MBOLEA YA URUSI HAWAWEZI KULIMA AU KUZALISHA CHOCHOTE ZAIDI YA JUISI YA MAGUGU.

KUMBUKA TANZANIA TUNATEGEMEA MBOLEA YA URUSI PAMOJA NA NGANO KWA ZAIDI YA ASILIMIA 70.hatuna mgogoro na urusi ila Marekani na Ulaya wanaziwekea sana vizuizi na vipingamizi kampuni za usafirishaji zozote zinazotoa bidhaa kutoka urusi.
Ukiandika mada yoyote kama hiyo yenye kuonyesha upuuzi wa nchi yetu ....malizia na
ccm ni mafiii ..laa siyo madayako itakuwa imekosa hisibati ya bakita.
 
... inaonesha Ukraine ni nchi muhimu sana kwa maisha ya binadamu duniani; hadi Tanzania tumeathirika na upungufu mkubwa ngano kutoka Ukraine. Dikteta siku zake zinahesabika; hawezi kuichezea dunia kwa kiwango hiki!
Ila Africa (Tz ikiwemo) yenye ardhi nzuri sana yenye rutuba kuwa tegemezi kwa ngano ya Ukraine ni aibu.

Bado tumelala.... Africa (including Tz) must wake up.
 
Wewe kweli ni shabiki maandazi. Hivi nguvu iliyokuwa nayo USSR unailinganisha na hii ya Russia?

Kama Marekani aliweza kuiangisha USSR unadhani anashindwa kuisambaratisha hii Russia dhaifu isiyo na dira yoyote inachokitafuta?

Marekani anaangalia maslahi yake ya moja kwa moja kama yanazuiliwa hapo ndo utamjua Mmarekani ni mtu wa aina gani.

Kama Urusi ana nguvu hiyo aende akaisambaratishe USA igawanyike kama yeye USSR alivyosambaratishwa. Acha kumlingalisha kaka wa dunia na vitu vya ajabu.
Aliangusha USSR KWA VITA AU TRICK KAMA HIZI CHA FITINA AMBAYO MRUSI KWA SASA KAKATAA UJINGA..... USA HATA KIDUKU ANAMTOSHA NI MWEMBWE TU CHEKI USA + NATO LAKINI WANAMSHINDWA RUSSIA
 
Boss wa WFP (World food programe) amemuomba Putin Kama anakweli ana moyo wa kibinadamu, afungue bandari hizo.

Maana WFP inategemea kulisha watu mil.125 ambapo 50% ya chakula kinategemewa kutoka Ukraine.

Kitendo Cha Russia kuzuia chakula hicho itasababisha watu zaidi ya milioni 62.5 kufa kwa njaa.

Source: reutersView attachment 2232880

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwan si tunaambiwa Russia anachezea kichapo kila kona? Juzi juzi tumeambiwa wanajeshi wake elfu ngapi sijui wameuawa. Sasa shida nn si wamalizie kumchapa chakula kisafirishwe?
 
BREAKING NEWS here in Moscow

After buying discounted oil from Russia, Indian government reduces petrol price by 9.5 rupees per litre

Diesel price has been reduced by 7 rupees per litre

Indian citizens are happy [emoji1635][emoji898] https://t.co/1Gif76ZpGc
Huyu chifu mafii wetu hizi habari hazioni ....kwanini tusinunue mafuta urusi ..
 
Mrusi amewashika pabaya hawa watu, bahati mbaya Mrusi kawekewa vikwazo haya mashirika ya kimataifa yameunga mkono kwa kukaa kimya badala ya kushinikiza mazungumzo ya pande mbili ya namna ya kumaliza vita ili utaratibu wa kawaida wa maisha yaendelee. Kwa upande wa Russia amejibu mashambulizi kama njia ya kuwafanya Marekani na washirika wake walegeze masharti anaonekana kama hana ubinadamu
 
Adui yako mwombee njaaa,ndo mana mwezi august au September Putin anataka kuongea na Afrika kama sikosei kumbe alishaliona hili la njaaa kitaambo.
Nahisi Africa ataivusha na janga hili.
Maswali ni meengi kama mchanga,hivi NATO hawakuliona hili mapema?
Sasa mkuu!Wewe ukisikia Putin ni kuu la majasusi,wewe unaelewa nini hapo?[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sababu kuu mbili za kutoruhusu ngano kutoka ni hizi ambazo Urusi imerudia mara kadhaa kufafanua. Hata jana wamejibu tena.
1.Ngano mamilioni ya Tani za ngano kutoka Ukraine yalikuwa yanasafirishwa kinyemela kwenda nchi za Ulaya kufidia gharama ya msaada na silaha ambazo wamekuwa wakiisaidia Ukraine. Mrusi anasema ni uongo mkubwa na uzushi kwa nchi za magharibi kuudanganya ulimwengu kuwa ngano inaenda kwenye nchi zenye njaa ambazo zipo kusini, Afrika na Asia wakati zinakwenda Ulaya na wenye uhitaji wa hizo ngano haziwafikii. Lengo kuu ni kufidia gharama za wanayoiita ni msaada kwa Ukraine.
Ukweli ni kuwa ngano ya Ukraine ilikuwa ikiporwa tuu na haya mataifa bila kulipa chochote.

2.Urusi imesema bandari zote za Ukraine huko black sea zilitegwa mabomu mengi sana ya chini ya bahari.. Na baadhi ya mikanda ya mabomu yale ilikatika na yamesambaa black sea yote kuelekea hadi Mediterranean.. Kumbuka hadi uturuki walianza kuyavua.. Hivyo hakuna meli ya kiraia inayoweza kusogea au kutia nanga kwenye bandari hizo. Meli zaidi ya 75 zimezuiliwa na Ukraine yenyewe zisisogee maeneo hayo(meli za mizigo).
Suala la kuisafisha bandari na bahari lina endelea ingawa Odessa bado kabisa.

2.Urusi ina mamilioni ya Tani za ngano kuliko Ukraine na imezuia kusafirishwa nje ya nchi mpaka kuanzia mwezi juni au September baada ya mavuno tena. Urusi inasema inahakikisha usalama wa chakula wa watu wake kwanza.
Lakini imekataa kata kata ngano yake isiuzwe kwa mataifa adui.
Vikwazo walivyowekewa vinazuia makampuni mengi ya meli kusafirishwa bidhaa kutoka urusi kwenda nchi nyingine ila wametoa unafuu kwa meli zinazopeleka bidhaa Ulaya na Marekani tuu.. Eg gas, oil, nafaka na ngano. Urusi imekataa huo upuuzi ndio Maana inasema waondoe kwanza baadhi ya vikwazo ambavyo vinawatesa nchi maskini wasipate ahueni kutoka urusi Bali wao tuu.

Muhimu muhimu zaidi ni MBOLEA. DUNIA IKIWEMO MAREKANI WANATEGEMEA MBOLEA KUTOKA URUSI NA MISIMU YA KILIMO NDIO IMEANZA.. MEDVEDEV KASISITIZA MBOLEA YA URUSI INAYOTEGEMEWA DUNIA NZIMA HAITOTOKA KWENDA KWA NCHI ADUI KAMWE. NA AKASEMA HIZO NCHI BILA MBOLEA YA URUSI HAWAWEZI KULIMA AU KUZALISHA CHOCHOTE ZAIDI YA JUISI YA MAGUGU.

KUMBUKA TANZANIA TUNATEGEMEA MBOLEA YA URUSI PAMOJA NA NGANO KWA ZAIDI YA ASILIMIA 70.hatuna mgogoro na urusi ila Marekani na Ulaya wanaziwekea sana vizuizi na vipingamizi kampuni za usafirishaji zozote zinazotoa bidhaa kutoka urusi.
Unajua sisi huku uswekeni hatujitambui kabisa,kunamijinga kila siku inafurahi vikwazo alivyowekewa Mrusi wakidhani anayepata maumovu ni Mrusi.Sasa angali mitaani huku kwetu jinsi malalamiko ya bei za mbolea na bidhaa nyingine kupanda yanavyo sukumiwa kwa serikali ya Sa100!.Tangu mwanzo mimi niliwaambia kuwa,hao magharibi hawakupaswa kuweka vikwazo kwa Mrusi bali wangeingia uwanja wa vita kama kweli wanajiamini.
 
Siyo kila ngano ni Ngano!

Tuna mbegu za hovyo sana.
... nchi hii imejaa vituo vya utafiti wa kilimo (Tanzania Agriculture Research Institutes - TARI's) akina Uyole, Naliendele, Morogoro, sijui wapi huko vikiongozwa na SUA. Ni jukumu lao kuja na mbegu bora kwa mazingira ya Tanzania.
 
[emoji2958][emoji2958][emoji2958][emoji2958]Shiiii.... usimcheke sana zuzu Zelensky kwani umesahau kuwa tz pia tunaye zuzu Zelensky wetu yupo anatengeneza muvi na kutembeza bakuli kwa mabeberu wa NATO
Usimtukane Raise wetu, mbona wewe umeshindwa kuwa rais kama una uwezo
 
[emoji2958][emoji2958][emoji2958][emoji2958]Shiiii.... usimcheke sana zuzu Zelensky kwani umesahau kuwa tz pia tunaye zuzu Zelensky wetu yupo anatengeneza muvi na kutembeza bakuli kwa mabeberu wa NATO
Usimtukane Raise wetu, mbona wewe umeshindwa kuwa rais kama una uwezo.
 
Maneno hayo ya secretary wa US- Antony blinken yanakuja baada ya Russia kushikilia moja kwa moja miji ya bandari na viwanda ya Odesa na mariupol.

Russia ilizuia usafirishaji wa bidhaa za Chakula na mazao kwa kile kilichodaiwa kua Chakula na mazao hayo yamekua yakienda kwenye maghala ya nchi za maadui wa russia.

Badala yake Russia ilisema kuanzia sasa Russia ndie atakua mgawaji na msambazaji mkuu wa Chakula hicho kwa nchi marafiki, na nchi maadui akiwemo Ukraine na baadhi ya nchi za nchi za ulaya Sasa watalazimika kununua Chakula hicho kutokea KREMLIN-MOSCOW kwa pesa cash ya Kirusi,yaani RUBO.

Secretary Antony blinken alisema "Russia WAMEAMUA kutumia Chakula Kama silaha ya kivita kwa kushikilia na kuzuia mamilioni ya Tani za ngano na mafuta ya alizeti zisisafirishwe kwa nchi zinazoitegemea Ukraine moja kwa moja kwa Chakula"

"Hii haikubaliki, na huu Ni uhalifu dhid ya maisha ya binadamu. Duniani nzima pamoja na umoja wa mataifa inapaswa kusimama na kulaani vitendo hivi maana vinakwenda kuumiza hata wasiohusika Moja kwa Moja"

"Kuna wazee,akina mama na watoto walioko Ukraine,ulaya na nchi tegemezi kwa chakula Cha ukraine wanakwenda kuathirika na baa la njaa kwa sababu Russia kaamua kushikilia Chakula Kama silaha yake ya kivita. Hii haikubaliki. Huu sio ubindamu. Huu Ni uhalifu wa kivita"

Chanzo: Al Jazeera englishView attachment 2232774

Sent using Jamii Forums mobile app
Watakula jeuri yao
 
Back
Top Bottom