hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
Exactly indeed [emoji119][emoji119][emoji16]Yani kichwa kimoja kinasumbua mataifa yote ya ulaya pamoja na marekani kweli putin ni genius
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Exactly indeed [emoji119][emoji119][emoji16]Yani kichwa kimoja kinasumbua mataifa yote ya ulaya pamoja na marekani kweli putin ni genius
[emoji706][emoji706][emoji706] garbagesipat picha Putin akifer ujinga wake huu , dunia itakuja kumuona km rais kituko kuwai kutokea na dunia itasahau yote mazur aliyoyafanya kwa Urusi
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] hii vita Raha tutaona mengi mwaka huuSababu kuu mbili za kutoruhusu ngano kutoka ni hizi ambazo Urusi imerudia mara kadhaa kufafanua. Hata jana wamejibu tena.
1.Ngano mamilioni ya Tani za ngano kutoka Ukraine yalikuwa yanasafirishwa kinyemela kwenda nchi za Ulaya kufidia gharama ya msaada na silaha ambazo wamekuwa wakiisaidia Ukraine. Mrusi anasema ni uongo mkubwa na uzushi kwa nchi za magharibi kuudanganya ulimwengu kuwa ngano inaenda kwenye nchi zenye njaa ambazo zipo kusini, Afrika na Asia wakati zinakwenda Ulaya na wenye uhitaji wa hizo ngano haziwafikii. Lengo kuu ni kufidia gharama za wanayoiita ni msaada kwa Ukraine.
Ukweli ni kuwa ngano ya Ukraine ilikuwa ikiporwa tuu na haya mataifa bila kulipa chochote.
2.Urusi imesema bandari zote za Ukraine huko black sea zilitegwa mabomu mengi sana ya chini ya bahari.. Na baadhi ya mikanda ya mabomu yale ilikatika na yamesambaa black sea yote kuelekea hadi Mediterranean.. Kumbuka hadi uturuki walianza kuyavua.. Hivyo hakuna meli ya kiraia inayoweza kusogea au kutia nanga kwenye bandari hizo. Meli zaidi ya 75 zimezuiliwa na Ukraine yenyewe zisisogee maeneo hayo(meli za mizigo).
Suala la kuisafisha bandari na bahari lina endelea ingawa Odessa bado kabisa.
2.Urusi ina mamilioni ya Tani za ngano kuliko Ukraine na imezuia kusafirishwa nje ya nchi mpaka kuanzia mwezi juni au September baada ya mavuno tena. Urusi inasema inahakikisha usalama wa chakula wa watu wake kwanza.
Lakini imekataa kata kata ngano yake isiuzwe kwa mataifa adui.
Vikwazo walivyowekewa vinazuia makampuni mengi ya meli kusafirishwa bidhaa kutoka urusi kwenda nchi nyingine ila wametoa unafuu kwa meli zinazopeleka bidhaa Ulaya na Marekani tuu.. Eg gas, oil, nafaka na ngano. Urusi imekataa huo upuuzi ndio Maana inasema waondoe kwanza baadhi ya vikwazo ambavyo vinawatesa nchi maskini wasipate ahueni kutoka urusi Bali wao tuu.
Muhimu muhimu zaidi ni MBOLEA. DUNIA IKIWEMO MAREKANI WANATEGEMEA MBOLEA KUTOKA URUSI NA MISIMU YA KILIMO NDIO IMEANZA.. MEDVEDEV KASISITIZA MBOLEA YA URUSI INAYOTEGEMEWA DUNIA NZIMA HAITOTOKA KWENDA KWA NCHI ADUI KAMWE. NA AKASEMA HIZO NCHI BILA MBOLEA YA URUSI HAWAWEZI KULIMA AU KUZALISHA CHOCHOTE ZAIDI YA JUISI YA MAGUGU.
KUMBUKA TANZANIA TUNATEGEMEA MBOLEA YA URUSI PAMOJA NA NGANO KWA ZAIDI YA ASILIMIA 70.hatuna mgogoro na urusi ila Marekani na Ulaya wanaziwekea sana vizuizi na vipingamizi kampuni za usafirishaji zozote zinazotoa bidhaa kutoka urusi.
[emoji16][emoji16][emoji16] as if vikwazo wanavyo muwekea Putin sio tatizoPutin anawekewa vikwazo lukuki ila yeye akiminya sehemu moja tu mashoga wanayoyoma.
Vita wanapigania Russia na Ukraine, halafu njaa Ina wakumba wao , [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Yaani hawa Mbwa wameanza kutoa mlio wa njaa [emoji23][emoji23] Putin hakuna kutoa hata punje ya chakula