Marekani yaishutumu Urusi kutumia Chakula Kama silaha ya kivita Ukraine

Marekani yaishutumu Urusi kutumia Chakula Kama silaha ya kivita Ukraine

Maneno hayo ya secretary wa US- Antony blinken yanakuja baada ya Russia kushikilia moja kwa moja miji ya bandari na viwanda ya Odesa na mariupol.

Russia ilizuia usafirishaji wa bidhaa za Chakula na mazao kwa kile kilichodaiwa kua Chakula na mazao hayo yamekua yakienda kwenye maghala ya nchi za maadui wa russia.

Badala yake Russia ilisema kuanzia sasa Russia ndie atakua mgawaji na msambazaji mkuu wa Chakula hicho kwa nchi marafiki, na nchi maadui akiwemo Ukraine na baadhi ya nchi za nchi za ulaya Sasa watalazimika kununua Chakula hicho kutokea KREMLIN-MOSCOW kwa pesa cash ya Kirusi,yaani RUBO.

Secretary Antony blinken alisema "Russia WAMEAMUA kutumia Chakula Kama silaha ya kivita kwa kushikilia na kuzuia mamilioni ya Tani za ngano na mafuta ya alizeti zisisafirishwe kwa nchi zinazoitegemea Ukraine moja kwa moja kwa Chakula"

"Hii haikubaliki, na huu Ni uhalifu dhid ya maisha ya binadamu. Duniani nzima pamoja na umoja wa mataifa inapaswa kusimama na kulaani vitendo hivi maana vinakwenda kuumiza hata wasiohusika Moja kwa Moja"

"Kuna wazee,akina mama na watoto walioko Ukraine,ulaya na nchi tegemezi kwa chakula Cha ukraine wanakwenda kuathirika na baa la njaa kwa sababu Russia kaamua kushikilia Chakula Kama silaha yake ya kivita. Hii haikubaliki. Huu sio ubindamu. Huu Ni uhalifu wa kivita"

Chanzo: Al Jazeera englishView attachment 2232774

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani hawa Mbwa wameanza kutoa mlio wa njaa [emoji23][emoji23] Putin hakuna kutoa hata punje ya chakula
 
Zele siku hizi simsikii kwa media nahisi anakesha analewa tu Mara ya mwisho nilimuona macho mekundu Kama alikuwa analia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Macho mekundu halali usiku mda wote anahisi Wachechen wata mkwiba waka m bake kwa zamu bila mafuta ya alizeti
 
US war-Secretary Antony blinken alisema "Russia WAMEAMUA kutumia Chakula Kama silaha ya kivita kwa kushikilia na kuzuia mamilioni ya Tani za ngano na mafuta ya alizeti zisisafirishwe kwa nchi zinazoitegemea Ukraine moja kwa moja kwa Chakula"

Blinken mpuuzi sana[emoji1782][emoji1782]


SWALI: Je, TOTAL SANCTIONS walizo impose(US-NATO) kwa Rusia ambazo zinaumiza karibu watu wote ulimwenguni wanajifanya hawajui kuwa ni aina mbaya kabisa ya SiLAHA ZA KIVITA!!
 
Maneno hayo ya secretary wa US- Antony blinken yanakuja baada ya Russia kushikilia moja kwa moja miji ya bandari na viwanda ya Odesa na mariupol.

Russia ilizuia usafirishaji wa bidhaa za Chakula na mazao kwa kile kilichodaiwa kua Chakula na mazao hayo yamekua yakienda kwenye maghala ya nchi za maadui wa russia.

Badala yake Russia ilisema kuanzia sasa Russia ndie atakua mgawaji na msambazaji mkuu wa Chakula hicho kwa nchi marafiki, na nchi maadui akiwemo Ukraine na baadhi ya nchi za nchi za ulaya Sasa watalazimika kununua Chakula hicho kutokea KREMLIN-MOSCOW kwa pesa cash ya Kirusi,yaani RUBO.

Secretary Antony blinken alisema "Russia WAMEAMUA kutumia Chakula Kama silaha ya kivita kwa kushikilia na kuzuia mamilioni ya Tani za ngano na mafuta ya alizeti zisisafirishwe kwa nchi zinazoitegemea Ukraine moja kwa moja kwa Chakula"

"Hii haikubaliki, na huu Ni uhalifu dhid ya maisha ya binadamu. Duniani nzima pamoja na umoja wa mataifa inapaswa kusimama na kulaani vitendo hivi maana vinakwenda kuumiza hata wasiohusika Moja kwa Moja"

"Kuna wazee,akina mama na watoto walioko Ukraine,ulaya na nchi tegemezi kwa chakula Cha ukraine wanakwenda kuathirika na baa la njaa kwa sababu Russia kaamua kushikilia Chakula Kama silaha yake ya kivita. Hii haikubaliki. Huu sio ubindamu. Huu Ni uhalifu wa kivita"

Chanzo: Al Jazeera englishView attachment 2232774

Sent using Jamii Forums mobile app
They (US) are the absolute last people who should dare speak about morals or tell Rusia how to act after they totally embargo them.

Shame on them.
 
The late JPM asingepepesa macho hata kidogo kuona uchumi wa nchi yetu unaporomoka kisa kuwasujudia mabeberu.
Huyu chifu mafii wetu hizi habari hazioni ....kwanini tusinunue mafuta urusi ..
Ila huyo "chui jike"keshaamua kuwalamba miguu mabeberu hivyo hawezi kununua mafuta Urusi hata kama bei ya mafuta lita itafika elfu kumi.
 
The late JPM asingepepesa macho hata kidogo kuona uchumi wa nchi yetu unaporomoka kisa kuwasujudia mabeberu.Ila huyo "chui jike"keshaamua kuwalamba miguu mabeberu hivyo hawezi kununua mafuta Urusi hata kama bei ya mafuta lita itafika elfu kumi.
Chifu uchwara ni hasara ya taifa unaacha kutumia fulsa kisa mabeberu wanakushika makario [emoji10][emoji10] kweli tz tumepata hasara kubwa.
 
Sababu kuu mbili za kutoruhusu ngano kutoka ni hizi ambazo Urusi imerudia mara kadhaa kufafanua. Hata jana wamejibu tena.
1.Ngano mamilioni ya Tani za ngano kutoka Ukraine yalikuwa yanasafirishwa kinyemela kwenda nchi za Ulaya kufidia gharama ya msaada na silaha ambazo wamekuwa wakiisaidia Ukraine. Mrusi anasema ni uongo mkubwa na uzushi kwa nchi za magharibi kuudanganya ulimwengu kuwa ngano inaenda kwenye nchi zenye njaa ambazo zipo kusini, Afrika na Asia wakati zinakwenda Ulaya na wenye uhitaji wa hizo ngano haziwafikii. Lengo kuu ni kufidia gharama za wanayoiita ni msaada kwa Ukraine.
Ukweli ni kuwa ngano ya Ukraine ilikuwa ikiporwa tuu na haya mataifa bila kulipa chochote.

2.Urusi imesema bandari zote za Ukraine huko black sea zilitegwa mabomu mengi sana ya chini ya bahari.. Na baadhi ya mikanda ya mabomu yale ilikatika na yamesambaa black sea yote kuelekea hadi Mediterranean.. Kumbuka hadi uturuki walianza kuyavua.. Hivyo hakuna meli ya kiraia inayoweza kusogea au kutia nanga kwenye bandari hizo. Meli zaidi ya 75 zimezuiliwa na Ukraine yenyewe zisisogee maeneo hayo(meli za mizigo).
Suala la kuisafisha bandari na bahari lina endelea ingawa Odessa bado kabisa.

2.Urusi ina mamilioni ya Tani za ngano kuliko Ukraine na imezuia kusafirishwa nje ya nchi mpaka kuanzia mwezi juni au September baada ya mavuno tena. Urusi inasema inahakikisha usalama wa chakula wa watu wake kwanza.
Lakini imekataa kata kata ngano yake isiuzwe kwa mataifa adui.
Vikwazo walivyowekewa vinazuia makampuni mengi ya meli kusafirishwa bidhaa kutoka urusi kwenda nchi nyingine ila wametoa unafuu kwa meli zinazopeleka bidhaa Ulaya na Marekani tuu.. Eg gas, oil, nafaka na ngano. Urusi imekataa huo upuuzi ndio Maana inasema waondoe kwanza baadhi ya vikwazo ambavyo vinawatesa nchi maskini wasipate ahueni kutoka urusi Bali wao tuu.

Muhimu muhimu zaidi ni MBOLEA. DUNIA IKIWEMO MAREKANI WANATEGEMEA MBOLEA KUTOKA URUSI NA MISIMU YA KILIMO NDIO IMEANZA.. MEDVEDEV KASISITIZA MBOLEA YA URUSI INAYOTEGEMEWA DUNIA NZIMA HAITOTOKA KWENDA KWA NCHI ADUI KAMWE. NA AKASEMA HIZO NCHI BILA MBOLEA YA URUSI HAWAWEZI KULIMA AU KUZALISHA CHOCHOTE ZAIDI YA JUISI YA MAGUGU.

KUMBUKA TANZANIA TUNATEGEMEA MBOLEA YA URUSI PAMOJA NA NGANO KWA ZAIDI YA ASILIMIA 70.hatuna mgogoro na urusi ila Marekani na Ulaya wanaziwekea sana vizuizi na vipingamizi kampuni za usafirishaji zozote zinazotoa bidhaa kutoka urusi.
Mabeberu wanatutesa sana
 
Maneno hayo ya secretary wa US- Antony blinken yanakuja baada ya Russia kushikilia moja kwa moja miji ya bandari na viwanda ya Odesa na mariupol.

Russia ilizuia usafirishaji wa bidhaa za Chakula na mazao kwa kile kilichodaiwa kua Chakula na mazao hayo yamekua yakienda kwenye maghala ya nchi za maadui wa russia.

Badala yake Russia ilisema kuanzia sasa Russia ndie atakua mgawaji na msambazaji mkuu wa Chakula hicho kwa nchi marafiki, na nchi maadui akiwemo Ukraine na baadhi ya nchi za nchi za ulaya Sasa watalazimika kununua Chakula hicho kutokea KREMLIN-MOSCOW kwa pesa cash ya Kirusi,yaani RUBO.

Secretary Antony blinken alisema "Russia WAMEAMUA kutumia Chakula Kama silaha ya kivita kwa kushikilia na kuzuia mamilioni ya Tani za ngano na mafuta ya alizeti zisisafirishwe kwa nchi zinazoitegemea Ukraine moja kwa moja kwa Chakula"

"Hii haikubaliki, na huu Ni uhalifu dhid ya maisha ya binadamu. Duniani nzima pamoja na umoja wa mataifa inapaswa kusimama na kulaani vitendo hivi maana vinakwenda kuumiza hata wasiohusika Moja kwa Moja"

"Kuna wazee,akina mama na watoto walioko Ukraine,ulaya na nchi tegemezi kwa chakula Cha ukraine wanakwenda kuathirika na baa la njaa kwa sababu Russia kaamua kushikilia Chakula Kama silaha yake ya kivita. Hii haikubaliki. Huu sio ubindamu. Huu Ni uhalifu wa kivita"

Chanzo: Al Jazeera english

View attachment 2232774

Sent using Jamii Forums mobile app
Marekani ni waajabu!! Wao wanapotumia vikwazo vya kibiashara kama silaha ni sawa!! Lakini mwingine akiweka vikwazo anavyoviweza inakuwa noma!! Asubiri tu sindani iingie vizuri!!
 
Huyu chifu mafii wetu hizi habari hazioni ....kwanini tusinunue mafuta urusi ..
Utayapitisha wapi mkuu?

Utalipa kwa cash ama? Mana huko swift jamaa kabigwa block

Halafu usisahau kuwa india, china na yule mapanki ni mataifa makubwa na yana uwezo kijeshi na kiuchumi. So yana ubavu wa kutunishiana misuli na marekani.

Sasa akina sisi huku loh
 
Hawa wazungu washenzi wanaona kuwa wao ndiyo wana haki ya kuburuza watu wanavyotaka
Putin aendelee kukaza mpaka kieleweke
Wale warusi waliofilisiwa mali zao na kuwekewa vikwazo wana hatia gani kama kweli wanajali zaidi raia wasio na hatia

Wangejali zaidi maisha wasingeendelea kupeleka matani ya silaha ukraine


Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji28]

Daah nacheka kama mazuri
So walitegemea kuwa Russia hawato yazuia hiyo biashara!!? .. wonders shall never ends [emoji119][emoji16]
 
... inaonesha Ukraine ni nchi muhimu sana kwa maisha ya binadamu duniani; hadi Tanzania tumeathirika na upungufu mkubwa ngano kutoka Ukraine. Dikteta siku zake zinahesabika; hawezi kuichezea dunia kwa kiwango hiki!
Kwisha habari yenu mmeshikwa pabaya manina zenu [emoji28][emoji28][emoji28]
 
Nadhani kama sikosei Ukraine ndiyo inayoongoza duniani kwa uzalishaji wa ngano ikifuatiwa na Russia! Yaani hapo Russia kashika kwenye mpini.
Vibaya sana [emoji16][emoji16]
 
Boss wa WFP (World food programe) amemuomba Putin Kama anakweli ana moyo wa kibinadamu, afungue bandari hizo.

Maana WFP inategemea kulisha watu mil.125 ambapo 50% ya chakula kinategemewa kutoka Ukraine.

Kitendo Cha Russia kuzuia chakula hicho itasababisha watu zaidi ya milioni 62.5 kufa kwa njaa.

Source: reutersView attachment 2232880

Sent using Jamii Forums mobile app
Kmmk [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji16]
 
Russia wamemjibu Katibu mkuu wa umoja wa mataifa na mkurugenzi wa WFP kwamba wakitaka bandari zifunguliwe wapate chakula,

Wajitafakari kwanza Suala vikwazo vya kiuchumi alivyowekewa Russia tangu mwanZo wa operation hii,

Ni nin wao walifanya Kama viongozi wa mihimili mikuu ya uongozi ndani ya umoja wa mataifa

Source: reutersView attachment 2232884

Sent using Jamii Forums mobile app
Safi sana [emoji28][emoji28][emoji119]
 
Back
Top Bottom