Hata wewe kama ndio ungekua RAIS wa MAREKANIMarekani sasa aipige Kremlin mambo yaishe.
USSR ambayo ilikuwa imara sana ilibomolewa na vijana wa CIA ndio itakuwa kremlin inayotawaliwa na mtu mmoja?Hata wewe kama ndio ungekua RAIS wa MAREKANI
Usingejaribu kujichimbia kaburi lako mwenyewe nakujizika!!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiufupi,... inaonesha Ukraine ni nchi muhimu sana kwa maisha ya binadamu duniani; hadi Tanzania tumeathirika na upungufu mkubwa ngano kutoka Ukraine. Dikteta siku zake zinahesabika; hawezi kuichezea dunia kwa kiwango hiki!
Ukiona hivyo ujue kipigo kimemwingia Barabara 😄😄😄Hakuna rais kilaza kama huyu kmmke, nchi kashaiharibu thn analeta ujinga wake
Je hakuliona hilo tokea mwanzo[emoji116][emoji116][emoji116]
Ukraine conflict can only be resolved through "diplomacy", Ukrainian President Volodymyr Zelenskyy says amid deadlock in negotiations between Kiev and Moscow https://t.co/NOkV2Ta6oi
Kwenye ngano:... inaonesha Ukraine ni nchi muhimu sana kwa maisha ya binadamu duniani; hadi Tanzania tumeathirika na upungufu mkubwa ngano kutoka Ukraine. Dikteta siku zake zinahesabika; hawezi kuichezea dunia kwa kiwango hiki!
Tena kremlin ilojaa mafisadi, na wale wazee wa ussr ndo putin amewapa ulaji na watoto wao.USSR ambayo ilikuwa imara sana ilibomolewa na vijana wa CIA ndio itakuwa kremlin inayotawaliwa na mtu mmoja?
Keshawapa ujumbe tayariKwa Sasa Putin anapokea simu ya katibu wa UN tu
Adui yako mwombee njaaa,ndo mana mwezi august au September Putin anataka kuongea na Afrika kama sikosei kumbe alishaliona hili la njaaa kitaambo.Mapigo anayopiga Putin,ni yale mapigo yasiyoruhusiwa michezoni ila vitani tu.Yaani mapigo yakumlaza kaburini adui.Putin piga hizo mbwa koko mpaka zirudiwe na akili.
Kwasababu KREMLIN sio USSRUSSR ambayo ilikuwa imara sana ilibomolewa na vijana wa CIA ndio itakuwa kremlin inayotawaliwa na mtu mmoja?
NATO Si waende wakaigomboe bandari halafu wafungulie dunia ipate chakula.
... very interesting! Hadi mahindi Ukraine ambayo kieneo ni ndogo inaipiku Tanzania? Sijui tunakosea wapi!Kwenye ngano:
-ukraine anachangia 11.5% kwenye soko la dunia
-russia anachagia 16.8% kwenye soko la dunia.
Kiujumla Hawa wawili TU, wanachangia zaidi ya 28% ya ngano yote duniani.
Ukija kwenye mahindi,
-ukraine tu anachangia 17% ya mahindi yote kwenye soko la dunia.
Chanzo: DW-ujerumaniView attachment 2232903
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbabe wa show.Putin ni balaa.Yani kichwa kimoja kinasumbua mataifa yote ya ulaya pamoja na marekani kweli putin ni genius
Ha ha ha ....hawana jeuri iyo,NATO Si waende wakaigomboe bandari halafu wafungulie dunia ipate chakula.