Marekani yaishutumu Urusi kutumia Chakula Kama silaha ya kivita Ukraine

sipat picha Putin akifer ujinga wake huu , dunia itakuja kumuona km rais kituko kuwai kutokea na dunia itasahau yote mazur aliyoyafanya kwa Urusi
[emoji706][emoji706][emoji706] garbage
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] hii vita Raha tutaona mengi mwaka huu
 
Yaani hawa Mbwa wameanza kutoa mlio wa njaa [emoji23][emoji23] Putin hakuna kutoa hata punje ya chakula
Vita wanapigania Russia na Ukraine, halafu njaa Ina wakumba wao , [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…