Zitto na
Tundu Lissu ndio muda muafaka wa kuongeza "PRESSURE" zaidi kwa watawala wetu katika kipindi hichi mataifa yote duniani yanapotoa matamko kama haya. Itisheni maandamano ya amani kila pembe ya nchi. Ili watawala wazidi kujikanyaga na kuharibu zaidi.
USA ndio ameshaongea leo sasa, kila siku zinavyokwenda mbele mmoja mmoja ataongea EU/AU/UN. Sasa either Serikali ya CCM ikubali au ikatae, halafu ione cha moto.
Watanzania tumeshapewa ruhusa na mmarekani ya kuandamana kwa amani kupiga huu "WIZI" na "KULAWITIWA KWA DEMOKRASIA".
Serikali ya CCM ikikaidi, kinachofuata ni kuwekewa vikwazo;
1) Marufuku Tanzania kuuziwa "MAFUTA (Petrol, Diesel) - Hapa zile LAND CRUISER VX ZA KIJANI na BOMBADIER lazima zipakiwe mpaka zijae kutu. Dar - Mwanza tutaenda kwa punda.
2) Marufuku Tanzania kupokea msaada wowote.
3) Marufuku kununua bidhaa yoyote tokea Tanzania.
4) Marufuku watalii kwenda Tanzania. - Hapa, nchi yetu inategemea utalii kwa zaidi ya asilimia 70% kupata fedha za kigeni.
5) Hati Za Kukamatwa viongozi wa CCM na vyombo vya usalama.
6) Kufukuzwa Mabalozi wa tanzania katika nchi nyingi.
MWISHO: Kung'olewa kwa NCHA YA UPANGA kwa Jiwe.
#Ni muda Jeshi liingilie kati na kuipindua CCM (Ya mtu mmoja), kisha kuamrisha mabadiliko ya katiba ya nchi. kwa maslahi mapana ya taifa letu. Nchi itachukua miaka 100 kurudi kama ilivyokua 2014.