Marekani yakosoa na kutilia mashaka mwenendo mzima wa uchaguzi mkuu 2020 Tanzania

Marekani yakosoa na kutilia mashaka mwenendo mzima wa uchaguzi mkuu 2020 Tanzania

Kwa tamko hili Marekani anaweza tangaza vikwazo kwa tanzania au baadhi ya watanzania kwa siku sijazo
 
Ngoma imeisha hii, hata hao USA wameshakaa kibra , hizi ni press release za kuwaondolea aibu tu hamna kikubwa watakachofanya zaidi ya mgogoro wa kama mwaka mmoja then maisha yataendelea, 2015 pia walibweka kwa inshu ya zenji ila hadi 2017 maisha yakaendelea kama kawaida.
 
Afadhali,ni vema pia balozi wa E.U nae atoe tamko ili kuwafariji makamanda.maana mpaka sasa wabasubiri matamko yawafariji.
 
Dunia nzima imeona, Tanzania hapakuwa na uchaguzi ulikuwa ni upuuzi tu.
 
Kwa tamko hili Marekani anaweza tangaza vikwazo kwa tanzania au baadhi ya watanzania kwa siku sijazo
Atangaze tu si ndio ushindi wa CDM huu, ila amepewa middle finger na watanzania next time atakuwa makini kabla ya kuingilia chaguzi za Tz.
 
Watanzania tushaamua, wiki ijayo D.trump anamtandika sleepy Biden fasta tu, ...
Hawa ni wapuuzi na wajinga kabisa

Kuna vituko sana hivi mtu kuwapa nchi chadema halafu maisha yaanze upya

Nani atakubali upuuz
 
Ngoma imeisha hii, hata hao USA wameshakaa kibra , hizi ni press release za kuwaondolea aibu tu hamna kikubwa watakachofanya zaidi ya mgogoro wa kama mwaka mmoja then maisha yataendelea, 2015 pia walibweka kwa inshu ya zenji ila hadi 2017 maisha yakaendelea kama kawaida.
Afadhali,ni vema pia balozi wa E.U nae atoe tamko ili kuwafariji makamanda.maana mpaka sasa wabasubiri matamko yawafariji.
Hao mabeberu ndio wafadhili wenu kwenye miradi, nyie jichekesheni tu kama midoli.
 
Mission failed, walitaka wamuweke kibaraka wao, sasa wamechemka, na tumeondoa mazalia yote ya vibaraka wa mababeru, sasa wakajipange upya.
 
Wametimiza wajibu wao kwa tangazo hilo, hakuna zaidi ya hapo.

Kama lipo la ziada, sio kutoka kwao; ni kutoka kwetu.

Lakini hali inavyojionyesha, hakuna la ziada hapa. Maisha na yaendelee kama tulivyoyazoea.
 
Serikali ya Marekani (USA) kupitia ubalozi wake hapa Tanzania imetoa taarifa yake kuhusu mwenendo mzima wa uchaguzi mkuu wa Tanzania kwa kuukosoa na kutilia mashaka namna ulivyoendeshwa. Pia imetoa angalizo la hatari za mzozo unaoelekea kwenda kuibuka.

Tamko rasmi (Kiswahili na kiingereza) lipo hapa chini.




Wao wahangaike na uchaguzi wao huko Marekani. Watz tumeshaamua tayari.
 
Serikali ya Marekani (USA) kupitia ubalozi wake hapa Tanzania imetoa taarifa yake kuhusu mwenendo mzima wa uchaguzi mkuu wa Tanzania kwa kuukosoa na kutilia mashaka namna ulivyoendeshwa. Pia imetoa angalizo la hatari za mzozo unaoelekea kwenda kuibuka.

Tamko rasmi (Kiswahili na kiingereza) lipo hapa chini.




Mahakama zipo kufuatilia watu kurudia kupiga kura. Sheria zipo atoe huo ushahidi na USA watumie pesa zao kwenda mahakamani. Aache ulofa wake aangalie Trumpet anavyofanya USA.
 
Bila Marekani/mabeberu hawa madikteta wa Kirundi wangekuwa wanatuua hadharani. Bora sasa wanakuteka na kukuulia mafichoni
 
Kwa tamko hili Marekani anaweza tangaza vikwazo kwa tanzania au baadhi ya watanzania kwa siku sijazo
Who cares, USA iangalie mambo yake, hawawezi kuwa wanatangatanga nchi za wengine wakati yakwao hawayawezi.
 
Back
Top Bottom