Mmarekan bado ana run duniaSi wanunue Urusi, China na Korea ya Kaskazini marafiki zao?
Blaming USA and Israel is not new for Iran , using helicopter in bad weather and mountains area is always dangerous accept your fault .Si wanunue Urusi, China na Korea ya Kaskazini marafiki zao?
Helcopta ni Made in USA aina ya Bell.Made in 1979.. Spare kwa sababu ya Vikwazo vya USA walikuwa awawezi pata. Uhenda waliuziwa spear za Black market watu wakaweka Stuxnet like Virus , time imefika wakachomoa BetriKatika hali ya kushangaza waziri wa mambo ya nje wa zamani wa Iran Javad Zarif ameilalamikia Marekani kwa ajali ya Helikopta iliyosababisha kifo cha Rais wao Ebrahim Raisi.
Javad anasema ajali hii ni matokeo ya vikwazo vya muda mrefu vya Marekani ambavyo vinawazuia kupata ndege/helicopter na vipuri vyake na kwamba tukio la ajali hii litasajiliwa kama uhalifu mwingine wa Marekani dhidi ya raia wa Iran.
Kumbe huwa tanadanganywa sana humu tunapoambiwa Iran ni wakali wa teknolojia "tech" ilihali hata vipuri vya ndege na helicopter vimewashinda.
Waarabu na wazaramo wanafanana Kwa kila kituHa ha ha! Urusi ni mzalishaji mkubwa ndege na helicopter. Kwanini hawakutumia za Urusi? Hawa jamaa kwa malalamiko kama mke mwenza; uswahili hadi kwenye mambo serious.
Nashangaa inakuaje wanatumia vitu vya makafiriWanawachukia marekani ila wanatumia vitu vya wamarekani
Iran could have spend all the time they use in manufacturing bombs to research on how to produce their own aircraft.Helcopta ni Made in USA aina ya Bell.Made in 1979.. Spare kwa sababu ya Vikwazo vya USA walikuwa awawezi pata. Uhenda waliuziwa spear za Black market watu wakaweka Stuxnet like Virus , time imefika wakachomoa Betri
Ila pia wana ujinga fulani, hizo akili za kutengeneza drones za kurusha toka Iran hadi Israel si wangezitumia kufanya mambo ya maana, ni kama vile Kiduku wa Korea Kaskazini alivyojikita kutengeneza na kulipua mabomu na makombora baharini huku raia wake wengi wanakufa njaa na wamejaa minyoo.Vikwazo ni silaha inayoharibu taratibu mno si sawa kuwadharau wanayoitumia.
Hivi jamen huwa wanasema mchina ako na teknolojia kubwa sana ya kumshinda US, si huwa tunaambiwa Urusi pia ni nguli wa teknolojia na pia N.Korea sasa si wangeagiza tu hivyo vipuri kwan wangempa mchina angeshindwa kuvipiga copies, aises itoshe tu sasa kusema US yupo mbele sana tena mbele ya muda hakuna wa kumshinda kwa sasa kwa hiyo ubishi umeshaamuliwaKatika hali ya kushangaza waziri wa mambo ya nje wa zamani wa Iran Javad Zarif ameilalamikia Marekani kwa ajali ya Helikopta iliyosababisha kifo cha Rais wao Ebrahim Raisi.
Javad anasema ajali hii ni matokeo ya vikwazo vya muda mrefu vya Marekani ambavyo vinawazuia kupata ndege/helicopter na vipuri vyake na kwamba tukio la ajali hii litasajiliwa kama uhalifu mwingine wa Marekani dhidi ya raia wa Iran.
Kumbe huwa tanadanganywa sana humu tunapoambiwa Iran ni wakali wa teknolojia "tech" ilihali hata vipuri vya ndege na helicopter vimewashinda.
Ukitaka kumuua mbwa mpe jina baya rally all fhe nationa and common people vs marekani unascore much moreKatika hali ya kushangaza waziri wa mambo ya nje wa zamani wa Iran Javad Zarif ameilalamikia Marekani kwa ajali ya Helikopta iliyosababisha kifo cha Rais wao Ebrahim Raisi.
Javad anasema ajali hii ni matokeo ya vikwazo vya muda mrefu vya Marekani ambavyo vinawazuia kupata ndege/helicopter na vipuri vyake na kwamba tukio la ajali hii litasajiliwa kama uhalifu mwingine wa Marekani dhidi ya raia wa Iran.
Kumbe huwa tanadanganywa sana humu tunapoambiwa Iran ni wakali wa teknolojia "tech" ilihali hata vipuri vya ndege na helicopter vimewashinda.