Marekani yamkamata alievujisha taarifa za siri za kijasusi

Umeona mbali sana na kama vile kumaliza corona duniani vikaanza vita vya Russia na Ukraine, na Sasa wamepata sababu ya nitokee au tukio lingine litakalopewa airtime ya kutosha na vita kuisha
 
Afungwe maisha huyo...

Naipenda U.S.A sababu sisi weusi walau tunathaminiwa tunapozamia huko hadi ajira tunapa....haya wahuni wa upande mwingine ruksa kutoa povu [emoji1783][emoji1783]
Afungwr Maisha USA inatubeba sana weusi tukienda kuhemia huko
 
Wapiga Ramli chonganishi washakuja sasa
Intel iko juu ya uwezo wako kufikiri bro.
Ndio maana wanaitwa Intelligence wanao operate kati giza, Secret Service.
Soma habari zote katika media zote, usipoweza kudadavua utatoka patupu everytime.
 
Kawezaje kufika kweny Anga Za kijasusi kijana mdogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…