Come27
JF-Expert Member
- Dec 1, 2012
- 7,723
- 7,408
Wapiga Ramli chonganishi washakuja sasaMind you, the leak is not that simple.
Marekani kuna upinzani mkubwa dhidi ya vita ya Ukraine.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapiga Ramli chonganishi washakuja sasaMind you, the leak is not that simple.
Marekani kuna upinzani mkubwa dhidi ya vita ya Ukraine.
Ya Snowden na yenyewe ilikuwa kubwa. Zote na Snowden zinalinganaDogo kaleta "damage" kubwa sana kwa Marekani.
Hii ni "big scandal" na yaipita ile ya Edward Snowden.
Hapo sijui Sera zao za kuajiri zikojeManaake kajiriwa akiwa na umri wa miaka 17 itawezekana kweli au hi nikamba.
Snowden akikomba docs kwa kutumia hifadhi ya usb ndogo.Ya Snowden na yenyewe ilikuwa kubwa. Zote na Snowden zinalingana
Muda utaongea tusubilieTutaibomoa na itabaki vipande vipandeView attachment 2587418
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Ndani ya Urusi pia upinzani wa vita ni mkubwa..Mind you, the leak is not that simple.
Marekani kuna upinzani mkubwa dhidi ya vita ya Ukraine.
Huku tayari kuna watu walikuwa washaivisha Urusi na Chini joho la kudukua hizi taarifa.Nimetoka kumsoma dogo, kazi aliyokuwa anafanya kwenye base ni pamoja na kupitia classified docs na lengo lake halikuwa kuvujisha alikuwa tu anajimwambafy kwenye group ambalo yeye alikuwa admin na baada ya docs kusambaa aliogopa sana na kaanza zipost toka mwaka jana ila zilikuwa hazijasambaa hadi mwaka huu.
Itakuwa kweli,maana kama wangetaka kuuza story vizuri zaidi,wangemchukua candidate ambaye ataaminika Kwa audience kirahisi!Halafu huyo dogo eti kaajiriwa 2019,awe ana access na Classified docs kirahisi hivyo bado napata maswali
Ngumu kumesa bro.Nimetoka kumsoma dogo, kazi aliyokuwa anafanya kwenye base ni pamoja na kupitia classified docs na lengo lake halikuwa kuvujisha alikuwa tu anajimwambafy kwenye group ambalo yeye alikuwa admin na baada ya docs kusambaa aliogopa sana na kaanza zipost toka mwaka jana ila zilikuwa hazijasambaa hadi mwaka huu.
Lengo nini?TAHADHARI.
si rahisi taarifa kuvuja kiasia hiki
HUU NI MPANGO WA MAREKANI NIMEMSIKIA MCHAMBUZI WA MASWALA YA KIDIPLOMASIA WA KUTOKA UINGEREZA AKISEMA MAREKANI ANAJARIBU KULISHA TAARIFA ZA UONGO KWA DUNIA
KUNA MPANGO WANAUPANGA NA TUTAKUJA KUONA MATOKEO BAADA YA MUDA
-ALISEMA KUWA MAREKANI ANAJARIBU KUTULISHA FALSE INFO
IT WAS ALL PLANNED
hata mimi ningemripoti huyo Jack hajitambui ndo shida wa watoto wadogo kuwa na access na mambo nyeti ya nchi""Kumatwa kwa Jack kwafuatia taarifa alozotoa kijana mwingine ambae walikuwa wakicheza pamoja mchezo wa computer na kuona Jack akisambaza taarifa hizo""
Marafiki sio.
Always SNITCHING.
#YNWA
Marekan ni nchi huru unakosoa na huafanywi lolote labda uguse maisha binafs ya kiongoz, sio China na Urusi unauawa mchana kweupen, Jehanam kuleMind you, the leak is not that simple.
Marekani kuna upinzani mkubwa dhidi ya vita ya Ukraine.
Marekan watu wapo huru sio Putin alisweka watu elf 3 ili kuendeleza vita Ukraine ila USA iliona raia wameandamana walitoa jeshi lao Vietnam , na serikal inabid iwe hvHuo ni ukweli ambao hawataki kuusema wazi.
Nakubaliana na hilo 100%.TAHADHARI.
si rahisi taarifa kuvuja kiasia hiki
HUU NI MPANGO WA MAREKANI NIMEMSIKIA MCHAMBUZI WA MASWALA YA KIDIPLOMASIA WA KUTOKA UINGEREZA AKISEMA MAREKANI ANAJARIBU KULISHA TAARIFA ZA UONGO KWA DUNIA
KUNA MPANGO WANAUPANGA NA TUTAKUJA KUONA MATOKEO BAADA YA MUDA
-ALISEMA KUWA MAREKANI ANAJARIBU KUTULISHA FALSE INFO
IT WAS ALL PLANNED