macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Inawezekana. Lakini pia inawezekana ni mbinu tu za kijajusi. Achana kabisa na ujasusi!Mkuu hii ni serious.
Ni genuine.
Imeharibu kila kitu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawezekana. Lakini pia inawezekana ni mbinu tu za kijajusi. Achana kabisa na ujasusi!Mkuu hii ni serious.
Ni genuine.
Imeharibu kila kitu.
Kavujisha docs 300 ila assange alivujisha 700000Dogo kaleta "damage" kubwa sana kwa Marekani.
Hii ni "big scandal" na yaipita ile ya Edward Snowden.
Ni kweli alizitoa pale (kwenye group).Nimetoka kumsoma dogo, kazi aliyokuwa anafanya kwenye base ni pamoja na kupitia classified docs na lengo lake halikuwa kuvujisha alikuwa tu anajimwambafy kwenye group ambalo yeye alikuwa admin na baada ya docs kusambaa aliogopa sana na kaanza zipost toka mwaka jana ila zilikuwa hazijasambaa hadi mwaka huu.
Assange alikuwa aliuziwa au kupewa na alieiba hizo nyaraka na si kwamba ni yeye alikuwa akidukua mitambo na kuingia front.Kavujisha docs 300 ila assange alivujisha 700000
Wanatuchora tu hao,i don't trust themJack Teixeira kijana mwenye umri wa miaka 21 ambae ni mwanajeshi katika jeshi la anga la Air National Guad ambalo lipo katika mji wa Masachusetts.
Kijana huyo tayari yupo mikononi mwa FBI na atafikishwa mahakamani kujibu mashtaka ya Espionage.
Jack amekamatwa mchana huu nyumbani kwake kwenye kitongoji cha Swansea ambapo ameonakana akiwa amefungwa pingu.
Kukamatwa kwa Jack kwafuatia taarifa alozotoa kijana mwingine ambae walikuwa wakicheza pamoja mchezo wa computer na kuona Jack akisambaza taarifa hizo.
Hadi sasa imefahamika kuwa taaarifa hizo zilitokea katika mchezo wa computer yaani "online game" na zilikuwa katika vipande vipande yaani "slides", zikielezea mipango yote ya majeshi ya Ukraine dhidi ya Russia kuanzia mwishoni mwa mwezi March mwaka huu.
Lakini uthibitisho kuwa taarifa hizo ni za kweli bado haujawa wazi ingawa zaonesha udhaifu mkubwa wa majeshi ya Ukraine na matumizi ya hovyo ya silaha jambo linopelekea kumaliza akiba ya silaha walokuwa wakipewa na nchi za NATO.
Pia taarifa hizo zaonyesha idadi kubwa ya majeshi maalum yaani "special forces" kutoka nchi za NATO vikiwemo vikosi vya UK ambao Russia yawachukulia kuwa ndo wachagizaji wakuu wa vita hiyo.
Uvujaji wa taarifa hizo umewastua maofisa wengi wa serikali ya Marekani akiwemo mkuu wa Pentagona ambae nae amesema hafahamu imekuwaje na kudai kuwa taarifa hizo zilikuwa mahala fulani mtandaoni na "hata hata yule aliekuwa amezipata kwa wakati huo hajulikani", amedai waziri wa Ulinzi Llyod Austin.
Shirika la habari la AP lilidai kuwa taarifa hizo za siri huenda zilianikwa katika ukumbi wa mazungumzo au "Chart Room" utumiwao na wachezaji michezo ya computer ujulikano kama Discord na haijulikani idadi halisi ya taarifa hizo na yasadikiwa kuwa ni mamia kwa mamia.
Jack na wenzie wapatao 20 waliunda kikundi chao hichi cha kucheza game online wakati wa Pandemic na wakawa wameshibana.
Wanazuga, kuzuga.Kwa maana kwamba?
🏊🏊🏊🏊🏊🏂🏂🏂🏂🏂
Saqa mkuu, Tutaona na kusikia mengi.Mkuu FBI wapo nyumbani kwa dogo wamepiga kambi.
Waziangalia computer, na pia wale wote marafiki zake wa kundi lao walojiita "Thug Shaker Central".
Nyaraka muhimu zilikuwa mikononi mwa kijana mdogo kabisa......zaidi ya uzembe huo.Jack Teixeira kijana mwenye umri wa miaka 21 ambae ni mwanajeshi katika jeshi la anga la Air National Guad ambalo lipo katika mji wa Masachusetts.
Kijana huyo tayari yupo mikononi mwa FBI na atafikishwa mahakamani kujibu mashtaka ya Espionage.
Jack amekamatwa mchana huu nyumbani kwake kwenye kitongoji cha Swansea ambapo ameonakana akiwa amefungwa pingu.
Kukamatwa kwa Jack kwafuatia taarifa alozotoa kijana mwingine ambae walikuwa wakicheza pamoja mchezo wa computer na kuona Jack akisambaza taarifa hizo.
Hadi sasa imefahamika kuwa taaarifa hizo zilitokea katika mchezo wa computer yaani "online game" na zilikuwa katika vipande vipande yaani "slides", zikielezea mipango yote ya majeshi ya Ukraine dhidi ya Russia kuanzia mwishoni mwa mwezi March mwaka huu.
Lakini uthibitisho kuwa taarifa hizo ni za kweli bado haujawa wazi ingawa zaonesha udhaifu mkubwa wa majeshi ya Ukraine na matumizi ya hovyo ya silaha jambo linopelekea kumaliza akiba ya silaha walokuwa wakipewa na nchi za NATO.
Pia taarifa hizo zaonyesha idadi kubwa ya majeshi maalum yaani "special forces" kutoka nchi za NATO vikiwemo vikosi vya UK ambao Russia yawachukulia kuwa ndo wachagizaji wakuu wa vita hiyo.
Uvujaji wa taarifa hizo umewastua maofisa wengi wa serikali ya Marekani akiwemo mkuu wa Pentagona ambae nae amesema hafahamu imekuwaje na kudai kuwa taarifa hizo zilikuwa mahala fulani mtandaoni na "hata hata yule aliekuwa amezipata kwa wakati huo hajulikani", amedai waziri wa Ulinzi Llyod Austin.
Shirika la habari la AP lilidai kuwa taarifa hizo za siri huenda zilianikwa katika ukumbi wa mazungumzo au "Chart Room" utumiwao na wachezaji michezo ya computer ujulikano kama Discord na haijulikani idadi halisi ya taarifa hizo na yasadikiwa kuwa ni mamia kwa mamia.
Jack na wenzie wapatao 20 waliunda kikundi chao hichi cha kucheza game online wakati wa Pandemic na wakawa wameshibana.
Yaweza kuwa vyovyote vile lakini lazima iwe established dogo amewezaje kupata hizi documents.Huku kuvuja inaweza ikawa mbambamba tu.
Kuna kitendawili hapo.Nyaraka muhimu zilikuwa mikononi mwa kijana mdogo kabisa......zaidi ya uzembe huo.
Tutaibomoa iyo US yakoAfungwe maisha huyo...
Naipenda U.S.A sababu sisi weusi walau tunathaminiwa tunapozamia huko hadi ajira tunapa....haya wahuni wa upande mwingine ruksa kutoa povu [emoji1783][emoji1783]
Hawa jamaa janja janja nyingi sana hawaamiki.Yaweza kuwa vyovyote vile lakini lazima iwe established dogo amewezaje kupata hizi documents.
Kumbuka katumia muda kupiga picha za docs na si kwamba amechukua docs halisi.
Sasa ni mara ngapi alikuwa afanya hivyo na nani alikuwa nae na mambo mengine
Unadhani Urusi ni TISS iliyo jaa UVCCM?Urusi wawe makini huo ni mtego. Wajiulize ni siri gani za fbi ambazo hata mtu mjinga mjinga tu azijue na azisambaze. Kiurahisi namna hiyo.