Marekani yamtishia China: Eti Marekani itaipigania Taiwan kama China ikitaka kuichukua kwa nguvu

Marekani yamtishia China: Eti Marekani itaipigania Taiwan kama China ikitaka kuichukua kwa nguvu

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Ninachofahamu "hatishiwi nyau". Marekani kudai kuwa kama China ikiamua kuichukua Taiwan kwa nguvu, iko tayari kuipigania taiwan kijeshi ni uongo na ndoto za mchana!! Marekani haina kabisa ubavu wa kujiingiza vitani na taifa lolote lenye nguvu ya nyuklia kama China!! Kwa asili Marekani ni waoga!! Wako tayari kupiga (mahali ambapo wana uhakika watapiga), lakini hawako tayari kupigana!! Marekani haiwezi kuipiga China bali watapigana na mshindi ni dakika tisini si kabla ya hapo.

Taiwan asipokuwa makini atavimbishwa kichwa na kuingizwa mkenge na mwisho wa siku watafanywa soko la kuuzia silaha za marekani kama ilivyo UKraine leo baada ya kuingizwa mkenge na Marekani. Ukraine iliahidiwa kuingizwa NATO fasta kwa hiyo URUSI HAITOTHUBUTU kuishambulia!! Matokeo yake kweli ukraine akaingiwa na kiburi kwa ahadi ya uongo na leo hii Ukraine inaachwa mahame!!

Lengo la marekani ni kuanzisha ugomvi ili iuze silaha!! Leo hii Ukraine wanakopeshwa dola bilioni 49, waje wazilipe na riba juu!! Halafu Marekani "inachekea tumboni" (ili isikukwaze) kwa kupata soko la silaha zake! Ninawahurumia Taiwan kama watavimba kichwa na kuendelea kuchezea shurubu za mchina!! Hawatajua mchina atavumilia hadi lini kiburi hiki cha Taiwan!! Siku ya siku kitanuka na Marekani hatasogeza pua yake zaidi ya kukuuzia silaha!

=======

US ready to use force to defend Taiwan​

President Joe Biden said Washington could be directly involved in conflict should China try to take the island by force

US President Joe Biden indicated on Monday that Washington is willing to use military force to defend Taiwan if necessary. Speaking at a joint press conference with Japanese Prime Minister Fumio Kishida in Tokyo, he said the US sees the idea of China “going in” with its troops as unacceptable.

When asked if the US would become directly involved in a conflict between China and Taiwan, including through the use of military force, Biden said “Yes,” adding that “it’s a commitment we made.” The US leader has previously said Washington respects the ‘One China’ policy, by which it recognizes that there is only one China led by Beijing.

Biden, however, maintained that China has no “jurisdiction to go in and use force to take over Taiwan.” The idea that the island nation “can be taken by force is just not appropriate. It will dislocate the whole region,” the US president added.

Marekani pia wanaishawishi MOLDOVA ikubali kupoke silaha za marekani ili eti kuilinda na tishio la urusi!! Watu wajiulize mbona nchi za magharibi zimepeleka silaha nyingi sana Ukraine toka 2014 hadi sasa lakini Ukraine imeshindwa kuzuia uvamizi wa Urusi wa kujitakia yenyewe.Tunapozungumza sasa, jimbo lote la Kherson linakaliwa na urusi, na asilimia 95% ya jimbo la DONBAS lisahakaliwa!! Msaada wa silaha zinazoangamizwa kila siku hauwasaidii kitu laki watalazimika kulipa maana si msaada wa bure bali ni mkopo!!

Chonde chonde Taiwan usikubali kuingizwa mkenge na Marekani!!!
 
Unajidanganya mno ......Siku USA ikishindwa kwenye vita yeyote dunia itakuwa imeishageuzwa mavumbi muda mrefu....
Hahahaha...huu ujinga sijui ni shule gani inafundisha ila matokeo ya BRN ni hatari kwa kizazi kijacho. Wenzako hao Marekani wanawaza siku Russia akitumia EMP ni kitatokea ila unakuja na ngonjera.

Siku tutakapokuja kuwalazimisha Warusi watoe yote yaliyomo pale KAPUSTIN YAR basi ni siku ambayo kila mtu atabaki mdomo wazi.

Marekani hana ubavu wa kwenda vitani na nchi iliyopo nje ya Uarabuni au Afrika kwa sasa, kwa Sababu waarabu wamefarakana hivyo Marekani anatumia mafarakano hayo Kama silaha huku Afrika ni kwa Sababu hatuna teknolojia ya juu ya kijeshi.
 
Acheni mizaha, acheni maneno ya vijiweni, acheni uzwzwa. Nchi yenye GDP 25trillion USD unaomba kuingia nayo vitani. Jamani nani asiyejuwa ubora wa tech ya Marekani. Au mnafanya makusudi? KWELI mnakaa na kubishana juu ya uwezo wa USA.

Kwa akili ya kawaida haiwezekani kumpiga Marekani labda itokee nguvu ya Mungu tu na siyo vitech vya china, Russia na mataifa mengine.

Wachina wapo hapo Kwa sababu ya USA ndiyo maana tech Yao ni ya kuiga, yaani copy and paste
 
Acheni mizaha, acheni maneno ya vijiweni, acheni uzwzwa. Nchi yenye GDP 25trillion USD unaomba kuingia nayo vitani. Jamani nani asiyejuwa ubora wa tech ya Marekani...
Umepaniki sana tena Sana kama Marekani size yake ni Somalia mwisho hapo kwa Russia tunahesabu saa moja tu kabla ya vita kuisha labda mmarekani apigane na China
 
Unajidanganya mno ......Siku USA ikishindwa kwenye vita yeyote dunia itakuwa imeishageuzwa mavumbi muda mrefu....
Unaishi dunia ipi!! Juzi juzi tu marekani imeshindwa vita na Wataleban na kuikimbia Afghanistan hadi wakatelekeza silaha zao lukuki zikiwemo ndege na vifaru!! Wamepigana vita na Taliban kwa miaka 20 na wakashindwa vita na kukimbia!! Sasa hivi Taliban ndio wanatawala Afghanistan!!

Marekani walishindwa vita na kukimbia somalia miaka ya hivi karibuni. Askari wa marekani walikuwa wanakamatwa na kufungiwa bamba kwenye magari kisha kuburuzwa mitaani hadi wanakufa!! Marekani walikimbia!!

Miaka ya karibuni Marekani walishindwa vita nchini Syria! Walikuwa wanapigana sambamba na waasi wa serikali ya rais Asaad wa Syria.

Lengo lilikuwa ni kumwondoa madarakani rais Asaad!! Walishindwa vita baada ya Mrusi kuingilia kati nchini Syria na kuwasambaratisha wapinzani.

Juzi juzi pia Marekani ilishindwa nchin Venezuela katika harakati za kumpindua Rais Maduro wa Venezuela!!
 
Umepaniki sana tena Sana kama Marekani size yake ni Somalia mwisho hapo kwa Russia tunahesabu saa moja tu kabla ya vita kuisha labda mmarekani apigane na China
Du! Haya maana mambo mengine hayahitaji KUTUMIA akiri
 
Acheni mizaha, acheni maneno ya vijiweni, acheni uzwzwa. Nchi yenye GDP 25trillion USD unaomba kuingia nayo vitani. Jamani nani asiyejuwa ubora wa tech ya Marekani. Au mnafanya makusudi? KWELI mnakaa na kubishana juu ya uwezo wa USA. Kwa akili ya kawaida haiwezekani kumpiga Marekani labda itokee nguvu ya Mungu tu na siyo vitech vya china, Russia na mataifa mengine. Wachina wapo hapo Kwa sababu ya USA ndiyo maana tech Yao ni ya kuiga, yaani copy and paste
Duuh😳😳😁😁😁 unachekesha mkuu?
 
Unaishi dunia ipi!! Juzi juzi tu marekani imeshindwa vita na Wataleban na kuikimbia Afghanistan hadi wakatelekeza silaha zao lukuki zikiwemo ndege na vifaru!! Wamepigana vita na Taliban kwa miaka 20 na wakashindwa vita na kukimbia!! Sasa hivi Taliban ndio wanatawala Afghanistan!!

Marekani walishindwa vita na kukimbia somalia miaka ya ile ya 70!! Askari wa marekani walikuwa wanakamatwa na kufungiwa bamba kwenye magari kisha kuburuzwa mitaani hadi wanakufa!! Marekani walikimbia!!

Miaka ya karibuni Marekani walishindwa vita nchini Syria! Walikuwa wanapigana sambamba na waasi wa serikali ya rais Asaad wa Syria. Lengo lilikuwa ni kumwondoa madarakani rais Asaad!! Walishindwa vita baada ya Mrusi kuingilia kati nchini Syria na kuwasambaratisha wapinzani.

Juzi juzi pia Marekani ilishindwa nchin Venezuela katika harakati za kumpindua Rais Maduro wa Venezuela!!
Na Somali sio miaka ya 70 ni juzi tu hapa kipindi anatawala fareed haideed alikimbia na film wametengeza miaka hyo alikimbia vita vietnam hana mahara vita alishinda zaidi ya kuanzisha na kukimbia
 
Hiyo kauli SIO Mara ya kwanza Marekani kuitoa.
Taiwan anavimba sababu ya Marekani bila hivyo China ingekuwa imevamia zamani.
China ni mtu wa kutumia diplomacy way kurudisha maeneo yake refer maeneo Kama Hongkong,Macau yote yapo under china kupitia one country two systems ata Taiwan unification itakuwa hivyo one country two systems
 
Unaishi dunia ipi!! Juzi juzi tu marekani imeshindwa vita na Wataleban na kuikimbia Afghanistan hadi wakatelekeza silaha zao lukuki zikiwemo ndege na vifaru!! Wamepigana vita na Taliban kwa miaka 20 na wakashindwa vita na kukimbia!! Sasa hivi Taliban ndio wanatawala Afghanistan!!

Marekani walishindwa vita na kukimbia somalia miaka ya ile ya 70!! Askari wa marekani walikuwa wanakamatwa na kufungiwa bamba kwenye magari kisha kuburuzwa mitaani hadi wanakufa!! Marekani walikimbia!!

Miaka ya karibuni Marekani walishindwa vita nchini Syria! Walikuwa wanapigana sambamba na waasi wa serikali ya rais Asaad wa Syria. Lengo lilikuwa ni kumwondoa madarakani rais Asaad!! Walishindwa vita baada ya Mrusi kuingilia kati nchini Syria na kuwasambaratisha wapinzani.

Juzi juzi pia Marekani ilishindwa nchin Venezuela katika harakati za kumpindua Rais Maduro wa Venezuela!!
USA inasimangwa sasa
 
Ninachofahamu "hatishiwi nyau". Marekani kudai kuwa kama China ikiamua kuichukua Taiwan kwa nguvu, iko tayari kuipigania taiwan kijeshi ni uongo na ndoto za mchana!! Marekani haina kabisa ubavu wa kujiingiza vitani na taifa lolote lenye nguvu ya nyuklia kama China!! Kwa asili Marekani ni waoga!! Wako tayari kupiga (mahali ambapo wana uhakika watapiga), lakini hawako tayari kupigana!! Marekani haiwezi kuipiga China bali watapigana na mshindi ni dakika tisini si kabla ya hapo.

Taiwan asipokuwa makini atavimbishwa kichwa na kuingizwa mkenge na mwisho wa siku watafanywa soko la kuuzia silaha za marekani kama ilivyo UKraine leo baada ya kuingizwa mkenge na Marekani. Ukraine iliahidiwa kuingizwa NATO fasta kwa hiyo URUSI HAITOTHUBUTU kuishambulia!! Matokeo yake kweli ukraine akaingiwa na kiburi kwa ahadi ya uongo na leo hii Ukraine inaachwa mahame!!

Lengo la marekani ni kuanzisha ugomvi ili iuze silaha!! Leo hii Ukraine wanakopeshwa dola bilioni 49, waje wazilipe na riba juu!! Halafu Marekani "inachekea tumboni" (ili isikukwaze) kwa kupata soko la silaha zake! Ninawahurumia Taiwan kama watavimba kichwa na kuendelea kuchezea shurubu za mchina!! Hawatajua mchina atavumilia hadi lini kiburi hiki cha Taiwan!! Siku ya siku kitanuka na Marekani hatasogeza pua yake zaidi ya kukuuzia silaha!!

US ready to use force to defend Taiwan​

President Joe Biden said Washington could be directly involved in conflict should China try to take the island by force
US ready to use force to defend Taiwan

FILE PHOTO: US PResident Joe Biden. [emoji2398] Global Look Press / Keystone Press Agency
US President Joe Biden indicated on Monday that Washington is willing to use military force to defend Taiwan if necessary. Speaking at a joint press conference with Japanese Prime Minister Fumio Kishida in Tokyo, he said the US sees the idea of China “going in” with its troops as unacceptable.
When asked if the US would become directly involved in a conflict between China and Taiwan, including through the use of military force, Biden said “Yes,” adding that “it’s a commitment we made.” The US leader has previously said Washington respects the ‘One China’ policy, by which it recognizes that there is only one China led by Beijing.
Biden, however, maintained that China has no “jurisdiction to go in and use force to take over Taiwan.” The idea that the island nation “can be taken by force is just not appropriate. It will dislocate the whole region,” the US president added.

Marekani pia wanaishawishi MOLDOVA ikubali kupoke silaha za marekani ili eti kuilinda na tishio la urusi!! Watu wajiulize mbona nchi za magharibi zimepeleka silaha nyingi sana Ukraine toka 2014 hadi sasa lakini Ukraine imeshindwa kuzuia uvamizi wa Urusi wa kujitakia yenyewe.Tunapozungumza sasa, jimbo lote la Kherson linakaliwa na urusi, na asilimia 95% ya jimbo la DONBAS lisahakaliwa!! Msaada wa silaha zinazoangamizwa kila siku hauwasaidii kitu laki watalazimika kulipa maana si msaada wa bure bali ni mkopo!!

Chonde chonde Taiwan usikubali kuingizwa mkenge na Marekani!!!
duh
 
Back
Top Bottom