Marekani yamuua Mkuu wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Iran katika shambulio la roketi la uwanja wa ndege wa Baghdad

Hili tukio kwa kiasi kikubwa limezima yale matukio mengine ya mashambulizi ya hivi karibuni yaliyotekelezwa na Iran kwa namna moja ama nyingine.

Ni pigo kubwa kwa Iran na hawana budi kujitafakari upya.

Wamagharibi wana msemo wao; Revenge is a Dish Best Served Cold!
 
Jeshi la marekani limetoa taarifa kwamba tarehe hiyo lilifanya "precision preventive strikes" katika targets tano ndani ya Iran na Iraq.

nadhani umekuwa overwhelmed na mauaji ya General Qasemi, sasa hata ukumbuki what happened a couple of days ago.
Wewe jamaa ni Syria na Iraq sio ndani ya Iran

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah... Umeandika nn hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Qassem Soleimani killed in US drone strike on Baghdad airport late Thursday
  • Quds general was seen as second-most powerful man in Iran and future leader
  • He fought against Iraq during invasion of Iran in 1980, became commander of a division before he was 30, and promoted to Quds commander in 2002
  • Soleimani helped Shia militias kill hundreds of US troops with IEDs, backed Assad as he slaughtered civilians, and oversaw killing of protesters in Iraq
Source-Daily mail oneline magazine Uk.
 
Nakisia General kauliwa alikuwa kaenda chooni kutoa kubwa...
 
IRAN Anapata Wapi Haki Yakuingia Vitani Wakati Soleiman Kauliwa Nje Ya Mipaka Ya IRAN Ila US Alikuwa Kapata Kila Kigezo Maana Ndege Yake Ilitunguliwa Ndani Yamipaka Ya IRAN
Nyie jamaa mnachekesha sana. Unawezaje kulinganisha drone na komandoo generali bobezi na la kutegemewa na nchi kama Qassem?
Nb:Kuuliwa Kwa Soleiman Imenistua Sana Ila Jibu Linakuja Sema Sio Kwa Ss wala Soon Ila Laja...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…