Hehehe Mkuu
Kuwa Upande wa Saddam Miaka Tajwa Hapo Ya 90s Sio Ishu Wala nn
Ishu Nikwamba Hata Afrika Mashariki Ilikua naufahamu Wakwamba Jamaa Nisuala Lamuda 2 kama ilivyotokea kwa LIBYA Unategemea Nn Inapotokea Unagombna Na Rafiki Yako Ambae Alikua Anakupa Pesa Yakula Alikua Anakupa Madili Yakupata Pesa Alokua Anakutambulisha Kwawatu Ili Upate Pesa Na Ikiwezekana Hata Mke Ulonae Jamaa Alikufanzia Mipango Yeye !?..
IRAQ Alokua Anauziwa Silaha Karibu Asilimua 90s% Kutoka Kwahao Hao Watu Walomgeuka Ulitegemea Yakwamba Atashinda Hio Vita Ulikua Unakosea Sana MkuuNakama Ulikua Unawaza Kama IRAN Anauwezo Wakumpiga US Pia Unakosea Sana Ila Kama Itatokea Vita Ikapiganwa Baina Ya IRAN na US Amini Yakwamba Itakua Vitakubwa Kuwahi Kupiganwa Na US Toka Baada Ya Vita Ya Dunia Maana Ujue Kabsa Hio Vita Itapiganwa Mashariki Yakati Nzima Ndani Ya Mipaka Ya IRAN Mpaka Nje Yamipaka Yake Mpaka Ndani Yamipaka Ya IRAN Nakama IRAN Atapigana Na US Hata Kama Vita Itadumu Kwa Masaa 24 Tu Nakumalizika Iwe IRAN Kapigwa Na Hatamaniki Basi Ujue US Atahamisha Majeshi Yake Yote Mashariki Yakati Maana Mashariki Yakati Ndio Itakua Haidhibitiki Tena
Mwisho Kabisa Hakuna Vita Itapiganwa Ndani Ya IRAN Sababu Hata IRAN Hawez Ishambulua IRAN Ndani Yamipaka Yake Jambo Ambalo Litakua Ni Direct Provocation Kwa US Dhidi Ya IRAN...
US Wanaweza Wakawaua Wairan Popote Walipo Hatahapo Nchini Kwako Nsipo Pajua Ila US Hawez Kushubutu Kurusha Hata Jiwe Ndani Ya Mipaka Ya IRAN
Haya Yote Sababu US Kaona Vikwazo Dhidi Ya IRAN Havina Natija Kwahio Sasa Anahangaika Tuu [emoji23][emoji16][emoji16][emoji3]
Sent using
Jamii Forums mobile app