STRUGGLE MAN
JF-Expert Member
- May 31, 2018
- 8,633
- 16,586
Basi ingelikua washaivamia so wanaogopa nn?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiongozi hawa jamaa wanaodhani Iran ni superior wanajidanganya sana. Mmarekani na Israel want monitor kila kinachoendelea hapo Iran. Sites zote za nuclear enrichment sijui yalipo makombora yao, ndege zao wanajua ziko wapi na uwezo wao wote unajulikana. Israel ina mamluki wake ndani ya jeshi LA Iran kwa hiyo Acha mmarekani Israel akiamua kusambaratisha jeshi la irani ni 24hrs mchezo umekwisha.mark my words!
Sent using Jamii Forums mobile app