Marekani yamuua Mkuu wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Iran katika shambulio la roketi la uwanja wa ndege wa Baghdad

Basi ingelikua washaivamia so wanaogopa nn?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi umesoma ulicho amdika hapo au umekurupuka
Jeshi la marekani limetoa taarifa kwamba tarehe hiyo lilifanya "precision preventive strikes" katika targets tano ndani ya Iran na Iraq.

nadhani umekuwa overwhelmed na mauaji ya General Qasemi, sasa hata ukumbuki what happened a couple of days ago.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
D. D. D. D. D huyo marekani leo ana ubinaadamu wa kuhofia kina mama na watoto au taifa la Kiislam? Sema anaogopa respond [emoji23] [emoji23] Atari sana mkuu
Ubinadamu! Casualties wanakuwa akina Mama na watoto kama Syria maisha ya watu yanapotea bure ndo maana wanapiga kimya kusubiri hiyo retaliation iwe kisingizio cha kuanza kwa vita

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haaa kwa watu kama ww ccm itatawala milele .
 
Nafikiri kiingereza kina kukata chenga. Hapo kwenye sentence.. "will be" ni wakati ujao...? Wala si kwamba eti ndio wamefanya.
Ni kwamba wamesema watajibu? How? Ndio tusubiri
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Check hapo detailed power structure na strategy ya wairan ujue who is who article hiyo achana na story za face book Chapter One: Tehran’s strategic intent
hao wairan ni wajinga sana, hicho kidude kilichomshambulia General kilikuwa angani pamoja na hiyo ndege sasa walishindwaje kumanage situation ya kakitu kuwa angani jirani na ndege iliyobeba mtu sensitive namna hiyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…