Marekani yamuua Mkuu wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Iran katika shambulio la roketi la uwanja wa ndege wa Baghdad

Marekani yamuua Mkuu wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Iran katika shambulio la roketi la uwanja wa ndege wa Baghdad

BREAKING: US created dangerous situation in Middle East, must be ready for consequences - Iranian presidential aide Iran, Pentagon Confirm Death of Quds Commander Qasem Soleimani in Baghdad Airport Attack Sputnik on TwitterTulia

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni aibu sana General "mkakamavu na anaeyegemewa" kufa kizembe namna hii,hii inaonyesha kuwa Iran intelligence yake bado ipo chini sana na pia hawana maamuzi sahihi kwa wakati sahihi. Sababu baada ya issue ya Ubalozini huyu General asingepaswa kuwepo Iraq ila kwa kuwa wameishi kwa mazoea na mawazo mfu ya kuwa Marekani hatafanya chochote eti kwa sababu ya Uchaguzi sasa ndio inakula kwao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
R.I.P Quasem Suleiman. Utakumbukwa kwa mchango wako wa kuimarisha nguvu za jeshi la Iran.
Unawazaje kumuua mtu aliyefanikisha kutokomeza kwa kiasi kikubwa ISIS(Daesh), Al Nusra, Al Qaeda!? Nadhani sasa, Iran watakuwa na sababu,nia, uwezo, nguvu ya kumshughulikia aliyesabaisha madhira haya. Tusubiri tuone.
 
BREAKING: Iran's national security council is meeting to determine response to the US killing of Qassem Soleimani


Nipo online eeee, msije kusema wafuga madevu kazi yao kuuwa [emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata Mimi nasubiria kwa hamu hiyo response yao maana ndio itakata mzizi wa fitna,maana tumeshachoka maneno sasa ni muda wa vitendo tuu. Nimemis sana milio ya Tomahawks Missile.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alikua Moja ya Makamanda wenye akili nyingi, mwerevu sana na mtiifu kwa serikali ya Iran yeye hasa akireport moja kwa moja kwa Mwenyewe Ayatollah...

Iran imepata pigo kubwa sana hasa....sio mchezo..katika hali ya kawaida yeye hakupaswa kuwa pale Iraq mida hii hasa kutokana na fujo hizi za karibuni..Irani na waajemi wote wanalia Duniani Kote..General Souleiman kalala mauti kama na sisi wote tutakavyolala siku moja.

Atakumbukwa kama Kamanda wa ukweli mwenye akili na mzalendo kwa nchi yake ya Iran na Waajemi wote.

Ameifia nchi yake...hajafa kwenye ulevi wala akipigania Wanawake Allah Amuweke pema...
 
R.I.P Quasem Suleiman. Utakumbukwa kwa mchango wako wa kuimarisha nguvu za jeshi la Iran.
Unawazaje kumuua mtu aliyefanikisha kutokomeza kwa kiasi kikubwa ISIS(Daesh), Al Nusra, Al Qaeda!? Nadhani sasa, Iran watakuwa na sababu,nia, uwezo, nguvu ya kumshughulikia aliyesabaisha madhira haya. Tusubiri tuone.
Sadly, watakuwa na vyote ulivyosema isipokuwa nguvu. Hakuna kwa jinsi yeyote ile Iran iwe na nguvu zaidi ya US. Wamemlipua jamaa akabaki vipande vipande akatambuliwa kwa pete yake tu. Kama ulivyosema, tusubiri tuone.
 
Frank, kwa mtu anayefuatilia siasa za uhasama za Iran na USA, the only conclusion one can draw from this act of "aggression" of USA against Iran, is that: this is an opportune kumtia adabu USA maana sasa Iran ana sababu ya kutumia any military capability at her disposal to retaliate kutetea sovereignty ya nchi yake na jumuia ya kimataifa ikamuunga mkono! Kuna mjadala mkubwa ongoing now on CNN, kama una nafasi angalia
 
Iran ni mbwa anayebweka ndani ya fensi, ukiingia anawahi bandani
Frank, kwa mtu anayefuatilia siasa za uhasama za Iran na USA, the only conclusion one can draw from this act of "aggression" of USA against Iran, is that: this is an opportune kumtia adabu USA maana sasa Iran ana sababu ya kutumia any military capability at her disposal to retaliate kutetea sovereignty ya nchi yake na jumuia ya kimataifa ikamuunga mkono! Kuna mjadala mkubwa ongoing now on CNN, kama una nafasi angalia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom