Marekani yamuua Mkuu wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Iran katika shambulio la roketi la uwanja wa ndege wa Baghdad

Marekani yamuua Mkuu wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Iran katika shambulio la roketi la uwanja wa ndege wa Baghdad

URGENT: Israel is on high alert after US eliminated IRGC commander Soleimani - reports Israel is on High Alert After US Eliminated IRGC Commander Soleimani - Reports Sputnik on Twitter


Izrail wanaanza kuharisha huko

Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani, Iran watachukua tahadhari zote kabla ya kufanya move yoyote. Kwa shambulio hili, lazima wajikague kwanza ni kwa namna gani US ilifanikiwa kupata coordinates za alipo Soleimani wakati huo. Kwanza "wasafishe" vitengo vyao kwa haraka ndiyo "washugulikie" hili suala.
 
Huyu alikuwa ndio mchora ramani wa Iran kwa shughuli zao zote nje ya Iran, kuanzia kushambuliwa kwa Visima vya Mafuta vya Saudi Arabia mpaka kuteka meli na bila kusahau kashikashi la Ubalozi wa Marekani. Tungoje tuone Iran atafanya nini,sasa hivi kichapo kwake kipo wazi wazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo siyo USA imetoa kichapo hicho, bali ni Mosad, kwa kofia ya USA.
 
Nyie wote mnaodhani Iran anauwezo huo nawaonea huruma Sana. Nilikuwa upande wa Saddam Hussein ile miaka ya 90s, kwa mikwala aliyokuwa akipiga Saddam Hussein nilijuwa Marekani kwishney. Maskini alipigwa kama mbwa koko roho ilituuma sana. Lkn ulikuwa ni ushabiki tu usio na uhalisia.

In a long run nikajagundua kwamba marekani yupo far away kwenye Hii game ya vita technologicaly ame advance Sana. Iran ana disadvantage kubwa Sana maana amezungukwa na American military base hapo Saudia, Kuwait na nyambizi kibao baharini kwa hiyo bora wapige mkwara WA maneno tuuu halafu wakaushe.
 
Frank, kwa mtu anayefuatilia siasa za uhasama za Iran na USA, the only conclusion one can draw from this act of "aggression" of USA against Iran, is that: this is an opportune kumtia adabu USA maana sasa Iran ana sababu ya kutumia any military capability at her disposal to retaliate kutetea sovereignty ya nchi yake na jumuia ya kimataifa ikamuunga mkono! Kuna mjadala mkubwa ongoing now on CNN, kama una nafasi angalia
Sovereign ganu unayoiongelea ww mkuu kwan Mtu Alouawa akuawa akiwa wapi na IRAN Anapata Vp Haki Yakujilinda Kwa Direct

Kwa nn US Haku retaliate Wakat IRAN Alipo2ngua Drone Yake Ambayo US walidai Ilikua Katika Anga Zakimataifa


IRAN Atauliwa Wanajeshi Wake SYRIA IRAQ LEBANON Hata Hapa Kenya Kama Wapo Ila US Hataweza Kuishambulia IRAN Ndani Yamipaka Yake Hata Aambiwe Hakufiiii



US = PAPER TIGER


Soleiman Kafa Kishujaa Sanaa I Wish Namini Nisikufe Kiboya Boya Nikufe Nikiwa Napambanua Taifa Langu Adhwiimu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ameeen
Alikua Moja ya Makamanda wenye akili nyingi, mwerevu sana na mtiifu kwa serikali ya Iran yeye hasa akireport moja kwa moja kwa Mwenyewe Ayatollah...

Iran imepata pigo kubwa sana hasa....sio mchezo..katika hali ya kawaida yeye hakupaswa kuwa pale Iraq mida hii hasa kutokana na fujo hizi za karibuni..Irani na waajemi wote wanalia Duniani Kote..General Souleiman kalala mauti kama na sisi wote tutakavyolala siku moja.

Ameifia nchi yake...hajafa kwenye ulevi wala akipigania Wanawake Allah Amuweke pema...
Mungu Amsameh Alipoteleza......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo generar wa kiwango cha juu namna hiyo anatembeaje bila ya ulinzi kutoka nchi aliyo itembelea?
Jamaaa alikua ana ishi kimaficho ficho IRAQ SYRIA LEBANON Na Nchi Nyengne Hapo Mido Ist Kwahio Asingeweza Kua Na Official Kampan Sababu Alikua Anafanya Mishen Zasiri Mnooo

Jengne US Wanapo Amua Lao Hua Hawaoni Muhali Hata kuua Raia Ama Rais Wanchi Husika Ili Watimize Malengo Yao



Damu Yajamaa Haitawaacha Salama Hatakama Si Leo Kesho Ama Mwaka Huu

Najua IRAN Hawatatoa majibu kwa wakat huu na kama itatokea wametoa majibu kwa ss hayatakua muafaka kwa mtu makini kama kamanda soleiman


All In All Sisi Sote Niwake Nakwake Tutarejelea Allah Amsameh Makosa Yake Na Amsameh Alipoteleza....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji3][emoji3][emoji23][emoji16][emoji23] hehehe..
Ngoja nione lkn naamini Iran hawezi kujipima ubavu na USA! Ni yale yale ya wazir wa habari wa Sadam Husein
Muhammad Saeed al-Sahhaf anamwambia maadui tumewafyeka wote kumbe askari wa USA wako Baghdad mitaani
Dunia Ina Maajabu Sana US Akibonyezwa Mnataka Angojee Uchaguzi Mkuu Upite Ila Akichokozwa IRAN Mnataka IRAN Atoe Majibu Hapo Hapo Inashangaza Mnooo[emoji23][emoji23][emoji3][emoji16]


IRAN Majibu Yatakuja Tu Hatakama Sio Leo Kesho Ama Kesho Kutwa Ama Mwaka Huu Kwan Alisema Kuhusu Meli Ndege Nakadhalika Alifanya Hakufanya..mmm

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom