Marekani yamuua Mkuu wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Iran katika shambulio la roketi la uwanja wa ndege wa Baghdad

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16] Walipitisha 2011 Waajemi Wakabahatisha

Wakapitisha na 2019 Pia Wakabahatisha


Waache Wahenge Wairan Wao Watabahatisha 2 ....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hahhaaa "mahabara" au sio...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I think zipo independent na CIA,ila zinategemeana na zipo chini ya director of national intelligence.

Zingine zimo humu:JF zina kukusanya /:gather, kuchambua na kuhifadhi taarifa za kila aina zitazosaidia maslahi ya taifa kubwa kwa sasa au baadaye. Mikono, masikio , macho na teknolojia ya taifa hili kubwa haichoki wala kulala ktk kukusanya taarifa ktk kona zote za ulimwengu huu.
 
Mkuu, nimegundua watu hawaelewi kabisa Iran ni nani, hata kama anaweza kupigwa na marekani lkn sio kirahisi kama wanavyodhani. Iran ni Taifa kubwa kiuchumi na kimaendeleo na kiviwanda. Hawataanguka overnight kama watu wanavyodhani. Dunia inawazungumzia sana kila siku kwasababu wanao msuli unaoonekana

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Huyu Ayatollah kachanyikiwa kweli kweli......Kaamua kusambaza picha ikimuonesha Qassim Soleman akipokewa na Mjukuu mwa mtume Imam Hussein huko Peponi kwa allah, ila cha Kushangaza wale Mabikira 72 hajawaweka.
 
Yaani kama vile US yenyewe haiui raia huko Syria,Afganistan,Iraq.

Unafiki bana.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe kama umeweza kubishana na Washngton post then mimi ni nani mpk unielewe?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee!!!.
kumbe jamaa alikuwa n mtu mkubwa sana Iran!!.
Mi nilikuwa namchukulia kama akina Musuguri, Mwamnyange Etc.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa wairan wamepata pigo,na tatizo la mageneral wa Iran ni kupenda kuwa Frontline tofauti na mageneral wa nchi Kama Israel wanashinda wamejificha ndani,au mageneral wa marekani ambao hata Iraq hutembelea kea kushitukiza Tena usiku wa manane
[emoji23] [emoji23] [emoji23]..
Nina kukubali sana katika hii nyanja.

na hapo bado ujaanza kuchambua yale madude akina Rocket ranger, warhead etc

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Urais wa DT unawatesa sana demo..
nimeshangaa sana, et ili tukio nalo limeingizwa kwenye siasa!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…