Yap. Kwa tukio zito kama lile tena likihusisha jeshi na matumizi ya silaha kali idhini ya amiri jeshi mkuu lazima ipatikane.Hii habali nzima nimependa sehemu moja tu
KAUWAWA KWA AMRI YA RAIS
Duj
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, marekebisho.Alikua Moja ya Makamanda wenye akili nyingi, mwerevu sana na mtiifu kwa serikali ya Iran yeye hasa akireport moja kwa moja kwa Mwenyewe Ayatollah...
Iran imepata pigo kubwa sana hasa....sio mchezo..katika hali ya kawaida yeye hakupaswa kuwa pale Iraq mida hii hasa kutokana na fujo hizi za karibuni..Irani na waajemi wote wanalia Duniani Kote..General Souleiman kalala mauti kama na sisi wote tutakavyolala siku moja.
Ameifia nchi yake...hajafa kwenye ulevi wala akipigania Wanawake Allah Amuweke pema...
Umeelewa habari au umekurupuka kujibu?America will not leave Iraq today or tomorrow.
Wakuu yule General wa Iran ameuawa nchini Iraq,haya ndio malipo ya Marekani kwa Iran kwa fujo za UbaloziniView attachment 1310645View attachment 1310646
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninakuthibitishia leo tarehe 03 January 2020 kwamba wewe ndio umekurupuka.Umeelewa habari au umekurupuka kujibu?
Stori za vijiweni zina raha yake. Wewe ni mtaalam conspiracy theory mkuu. Hiyo ni theory na itabaki kuwa theory. Uhalisia ni kuwa Gen Qasim kauawa na alikiri kumuua ni marekani. Sasa marekani anahusika au hahusiki, hiyo ni kazi ya intelligence agencies, mengine yote ni porojo tu kwa sasaAahahah! hizo ni janja zao! Militarism strategies, kuhadaa ulimwengu mkuu! akili za kuambiwa?
Ni kama Mrusi anavo mtanguliza Iran ktk hili! kwani aliyetoboa siri ya Mosad kushambulia ni nani? but Mrusi amemshauri Iran alikubali km lilivo tangazwa, ili kuonyesha Dunia kwamba wana kinyongo na ku concetrate kwa USA,
Impactations itakuwa kwa Israel amabayo ndo mlengwa, na wayahudi wanalijua hili fika, wanajipa muda
Trump ametumiwa tu kusema
Ww jamaa unachekesha sana, katika hayo mataifa hakuna aliwahi kumshambulia mwenzie ndani ya nchi yake. Wanachofanya ni kuviziana tu na kuchomana visu mgongoni.Wewe unaongelea drones? ukitaka kujua America ni vichaa duniani lipua meli yao ya kivita,si ipo hapo Gulf kila siku,Mbona Iran hajawahi hata kuirushia kombora?They know it! au mwambie akashambulie a US city alafu uje utupe mrejesho hapa!
Tarehe 29 USA kashambulia ndani ya Iran.Ww jamaa unachekesha sana, katika hayo mataifa hakuna aliwahi kumshambulia mwenzie ndani ya nchi yake. Wanachofanya ni kuviziana tu na kuchomana visu mgongoni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Vuta subra soon kitanuka huko, Us ataondoka mwenyewe Iraq akitaka asitake
Sent using Jamii Forums mobile app
ELIMU,ELIMU,ELIMU.Ninakuthibitishia leo tarehe 03 January 2020 kwamba wewe ndio umekurupuka.
Huyu jamaaa alikuwa anajifanya bandidu wamembandua. Marekani akikutaka hakukosi, hata kama atachukua mudaQasem Soleimani, Jenerali wa vikosi vya kikurdi vinavyoungwa mkono na Iran, ameuawa na vikosi vya Marekani nchini Iraq. Pentagon imethibitisha kuwa aliuawa kufuatia "amri ya rais".
Hayo yamejiri kufuatia ripoti ya mashambulio katika uwanja wa kimataifa wa ndege wa Baghdad, ambayo ilisema watu kadhaa wameuawa.
Waziri wa mambo ya nje wa Iran, Javad Zarif, ametaja hatua hiyo kuwa "hatari na uchokozi wa kishenzi".
Gen. Soleimani alikuwa mtu mashuhuri kwa utawala wa Iran. Kikosi chake cha Kikurdi kilikuwa kinaripoti moja kwa moja kwa kiongozi mkuu wa kidini wa Iran Ayatollah Ali Khamenei na alisifiwa kama shujaa wa kitaifa.
Rais wa Marekani Donald Trump aliandika kwenye ukurasa wake wa Twitter picha ya bendera ya Marekani baada ya kutangazwa kuuawa kwa jenerali hiyo.
Ripoti za vyombo vya habari vya Marekani zinasema kuwa Jenerali Soleimani na maafisa wa waasi wanaoungwa mkono na Iran nwalikuwa wakiondoka katika uwanja wa ndege wa Baghdad kwa kutumia magari mawili wakati waliposhambuliwa na ndege za Marekani zisizokuwa na rubani karibu na eneo kuweka mizigo.
Kamanda huyo aliripotiwa kusafiri kutoka Lebanon au Syria. makombora kadhaa yaliripotiwa kushambulia msafara wao, ambapo karibu watu watano wanaaminiwa kuawa.
Taarifa iliyotolewa na Pentagon ilisema: "Kufuatia agizo la rais, vikosi vya jeshi la Marekani vilichukua hatua ya kuwalinda wafanyikazi wake nje ya nchi kwa kumuua Qasem Soleimani,"
"Hatua hii ililenga kudhibiti mipango ya Iran ya mashabulio ya siku zijazo. Marekani itaendelea kuchukua hatua madhubuti kuwalinda watu wetu na maslahi yetu kote duniani," ripoti hiyo iliendelea kusema.
Shambulio hilo la ndege zisizo na rubani linakuja baada ya siku kadhaa za maandamano ambapo waandamaanaji waliokuwa wakishambulia ubalozi wa Marekani mjini Baghdad kukabiliana na vikosi vya Marekani katika eneo hilo.
Pentagon inasema jenerali Soleimani aliidhinisha mashambulio dhidi ya ubalozi wa Marekani.
Qasem Soleimani ni nani?
- Tangu mwaka Since 1998, Meja Jenerali Qasem Soleimani ameongoza vikosi vya kikurdi nchini Iran- kengo maalum cha jeshi la Iran (Revolutionary Guards) ambacho huendesha opareshani zake nje ya nchi.
- Alikuwa kiungo muhimu katika mapambano ya kimkakati mashariki ya kati kupitia vikosi vya Kikurdi, ambavyo vinaendesha oparesheni yake kwa ushirikiano na jeshi la ulinzi la Iran.
- Meja jenerali Qasem Soleimani, na vikosi vyake vinafanya kazi chini ya kiongozi mkuu wa kidini, Ayatollah Ali Khamanei, badala ya kufuata muundo wa kawaida wa kijeshi wa Iran.
- Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Mike Pompeo alitaja jeshi la ulinzi la Iran Revolutionary Guards na washirika wake vikosi vua Kikurdi kama shirika la kigeni la ugaidi mwezi April mwaka jana.
Brother!Kwa jibu hili inatosha tu kusema kuwa huna uelewa wa kinachoendelea.Full stop.Tarehe 29 USA kashambulia ndani ya Iran.
Hata hivyo walimchelewesha huyo general alipaswa aliwe kichwa mapema zaidiQasem Soleimani, Jenerali wa vikosi vya kikurdi vinavyoungwa mkono na Iran, ameuawa na vikosi vya Marekani nchini Iraq. Pentagon imethibitisha kuwa aliuawa kufuatia "amri ya rais".
Hayo yamejiri kufuatia ripoti ya mashambulio katika uwanja wa kimataifa wa ndege wa Baghdad, ambayo ilisema watu kadhaa wameuawa.
Waziri wa mambo ya nje wa Iran, Javad Zarif, ametaja hatua hiyo kuwa "hatari na uchokozi wa kishenzi".
Gen. Soleimani alikuwa mtu mashuhuri kwa utawala wa Iran. Kikosi chake cha Kikurdi kilikuwa kinaripoti moja kwa moja kwa kiongozi mkuu wa kidini wa Iran Ayatollah Ali Khamenei na alisifiwa kama shujaa wa kitaifa.
Rais wa Marekani Donald Trump aliandika kwenye ukurasa wake wa Twitter picha ya bendera ya Marekani baada ya kutangazwa kuuawa kwa jenerali hiyo.
Ripoti za vyombo vya habari vya Marekani zinasema kuwa Jenerali Soleimani na maafisa wa waasi wanaoungwa mkono na Iran nwalikuwa wakiondoka katika uwanja wa ndege wa Baghdad kwa kutumia magari mawili wakati waliposhambuliwa na ndege za Marekani zisizokuwa na rubani karibu na eneo kuweka mizigo.
Kamanda huyo aliripotiwa kusafiri kutoka Lebanon au Syria. makombora kadhaa yaliripotiwa kushambulia msafara wao, ambapo karibu watu watano wanaaminiwa kuawa.
Taarifa iliyotolewa na Pentagon ilisema: "Kufuatia agizo la rais, vikosi vya jeshi la Marekani vilichukua hatua ya kuwalinda wafanyikazi wake nje ya nchi kwa kumuua Qasem Soleimani,"
"Hatua hii ililenga kudhibiti mipango ya Iran ya mashabulio ya siku zijazo. Marekani itaendelea kuchukua hatua madhubuti kuwalinda watu wetu na maslahi yetu kote duniani," ripoti hiyo iliendelea kusema.
Shambulio hilo la ndege zisizo na rubani linakuja baada ya siku kadhaa za maandamano ambapo waandamaanaji waliokuwa wakishambulia ubalozi wa Marekani mjini Baghdad kukabiliana na vikosi vya Marekani katika eneo hilo.
Pentagon inasema jenerali Soleimani aliidhinisha mashambulio dhidi ya ubalozi wa Marekani.
Qasem Soleimani ni nani?
- Tangu mwaka Since 1998, Meja Jenerali Qasem Soleimani ameongoza vikosi vya kikurdi nchini Iran- kengo maalum cha jeshi la Iran (Revolutionary Guards) ambacho huendesha opareshani zake nje ya nchi.
- Alikuwa kiungo muhimu katika mapambano ya kimkakati mashariki ya kati kupitia vikosi vya Kikurdi, ambavyo vinaendesha oparesheni yake kwa ushirikiano na jeshi la ulinzi la Iran.
- Meja jenerali Qasem Soleimani, na vikosi vyake vinafanya kazi chini ya kiongozi mkuu wa kidini, Ayatollah Ali Khamanei, badala ya kufuata muundo wa kawaida wa kijeshi wa Iran.
- Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Mike Pompeo alitaja jeshi la ulinzi la Iran Revolutionary Guards na washirika wake vikosi vua Kikurdi kama shirika la kigeni la ugaidi mwezi April mwaka jana.
Mkuu hapo umeongopa mkuu. Gen Qasim sio equivalent to JCS wa marekani. Gen Qasim ni kamanda wa Quds Force, kikosi cha Iran kinachohusika na Ops mbalimbali za Siri na wazi za nje ya mipaka yao. Hata rank ya chief of staff yaweza kuwa alikuwa hajafika mkuu.Sovereignty?Brother huyo jamaa ni equivalent to US chairman of joint chief of Staffs,sasa wamsubirie wamuue Joint chief of Staffs wa Marekani akiwa taifa lingine uone hyo sovereignity kama inafanya kazi ama lah,Iran won't dare.
Hata hivyo walimchelewesha huyo general alipaswa aliwe kichwa mapema zaidiQasem Soleimani, Jenerali wa vikosi vya kikurdi vinavyoungwa mkono na Iran, ameuawa na vikosi vya Marekani nchini Iraq. Pentagon imethibitisha kuwa aliuawa kufuatia "amri ya rais".
Hayo yamejiri kufuatia ripoti ya mashambulio katika uwanja wa kimataifa wa ndege wa Baghdad, ambayo ilisema watu kadhaa wameuawa.
Waziri wa mambo ya nje wa Iran, Javad Zarif, ametaja hatua hiyo kuwa "hatari na uchokozi wa kishenzi".
Gen. Soleimani alikuwa mtu mashuhuri kwa utawala wa Iran. Kikosi chake cha Kikurdi kilikuwa kinaripoti moja kwa moja kwa kiongozi mkuu wa kidini wa Iran Ayatollah Ali Khamenei na alisifiwa kama shujaa wa kitaifa.
Rais wa Marekani Donald Trump aliandika kwenye ukurasa wake wa Twitter picha ya bendera ya Marekani baada ya kutangazwa kuuawa kwa jenerali hiyo.
Ripoti za vyombo vya habari vya Marekani zinasema kuwa Jenerali Soleimani na maafisa wa waasi wanaoungwa mkono na Iran nwalikuwa wakiondoka katika uwanja wa ndege wa Baghdad kwa kutumia magari mawili wakati waliposhambuliwa na ndege za Marekani zisizokuwa na rubani karibu na eneo kuweka mizigo.
Kamanda huyo aliripotiwa kusafiri kutoka Lebanon au Syria. makombora kadhaa yaliripotiwa kushambulia msafara wao, ambapo karibu watu watano wanaaminiwa kuawa.
Taarifa iliyotolewa na Pentagon ilisema: "Kufuatia agizo la rais, vikosi vya jeshi la Marekani vilichukua hatua ya kuwalinda wafanyikazi wake nje ya nchi kwa kumuua Qasem Soleimani,"
"Hatua hii ililenga kudhibiti mipango ya Iran ya mashabulio ya siku zijazo. Marekani itaendelea kuchukua hatua madhubuti kuwalinda watu wetu na maslahi yetu kote duniani," ripoti hiyo iliendelea kusema.
Shambulio hilo la ndege zisizo na rubani linakuja baada ya siku kadhaa za maandamano ambapo waandamaanaji waliokuwa wakishambulia ubalozi wa Marekani mjini Baghdad kukabiliana na vikosi vya Marekani katika eneo hilo.
Pentagon inasema jenerali Soleimani aliidhinisha mashambulio dhidi ya ubalozi wa Marekani.
Qasem Soleimani ni nani?
- Tangu mwaka Since 1998, Meja Jenerali Qasem Soleimani ameongoza vikosi vya kikurdi nchini Iran- kengo maalum cha jeshi la Iran (Revolutionary Guards) ambacho huendesha opareshani zake nje ya nchi.
- Alikuwa kiungo muhimu katika mapambano ya kimkakati mashariki ya kati kupitia vikosi vya Kikurdi, ambavyo vinaendesha oparesheni yake kwa ushirikiano na jeshi la ulinzi la Iran.
- Meja jenerali Qasem Soleimani, na vikosi vyake vinafanya kazi chini ya kiongozi mkuu wa kidini, Ayatollah Ali Khamanei, badala ya kufuata muundo wa kawaida wa kijeshi wa Iran.
- Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Mike Pompeo alitaja jeshi la ulinzi la Iran Revolutionary Guards na washirika wake vikosi vua Kikurdi kama shirika la kigeni la ugaidi mwezi April mwaka jana.
Jeshi la marekani limetoa taarifa kwamba tarehe hiyo lilifanya "precision preventive strikes" katika targets tano ndani ya Iran na Iraq.Brother! jibu hili,inatosha kusema huna uelewa wa kinachoendelea.Full stop.
mimi alikuwa kwenye military targets zangu siku nyingi sana toka 2014 wakati wa the battle for Koban hapo syria.Hata hivyo walimchelewesha huyo general alipaswa aliwe kichwa mapema zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Lowassa wa pili, ukiulizwa Elimu, Elimu, Elimu maana yake nini na wewe utasema "nimesema kama alivyosema Lowassa, ELIMU, ELIMU, ELIMU" you don't know.ELIMU,ELIMU,ELIMU.