Marekani yamuua Mkuu wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Iran katika shambulio la roketi la uwanja wa ndege wa Baghdad

Marekani yamuua Mkuu wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Iran katika shambulio la roketi la uwanja wa ndege wa Baghdad

HIYO NDIO AMERICA BWANA IMESEMA WAZI SISI NDO TUMEMUUA UMEKASIRIKA INGIA MZIGONI UONE....IRAN MAKELELE TU HANA UBAVU WA VITA NA AMERICA UKWELI UKO HIVYO

Sent using Jamii Forums mobile app
Naam; kilichokuwa kinasubiriwa na Pentago ni sifnature ya Trump tu sio zaidi wala pungufu. Commander in Chief alipotoa tu idhini generali kule kageuzwa mishikaki fasta. Ha ha ha. Ila uhuni waliofanya Iran kucoordinate vurugu ubalozi a Marekani huko Baghdad ulistahili.kujibiwa kwa onyo kali.
 
Lakini pia kumbuka hata Iran imeshaifanyia matukio mengi marekani ambayo yangeipa sababu ya kuanzisha vita na Iran lakini wakanywea kwa sababu walipima madhara gani yanaweza kutokea.
Kwa hiyo hata Iran ni razima ipime kwanza ni madhara gani itakayo yapata iwapo itaishambulia moja kwa moja marekani ndipo wafanye maamuzi sahihi.
Lamsingi ni kuomba vita kati ya mataifa hayo visitokee maana hata sisi tusio husika tutakiona cha Moto.
Redline ya trump ni pale raia wa marekani angeuwawa au kujeruhiwa,na sasa Iran kafanya hilo
 
Lakini pia kumbuka hata Iran imesha ifanyia marekani matukio ambayo yangeifanya marekani iingie vitani na Iran lakini marekani akanywea.
Ukweli ni kuwa hakuna mwenye hamu ya vita baina yao. Wote wanapigana mikwara tu, wanajua vyema athari za vita baina yao zitakavokuwa na matokeo mabaya kwa uchumi wao na mataifa mengine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwan Alokiri Kushambulia Nani Mkuu ?!
Yaani wewe unajua kama Mossad wakati wahusika walishajitaja [emoji12][emoji14][emoji14]

Sent using Jamii Forums mobile app
Aahahah! hizo ni janja zao! Militarism strategies, kuhadaa ulimwengu mkuu! akili za kuambiwa?

Ni kama Mrusi anavo mtanguliza Iran ktk hili! kwani aliyetoboa siri ya Mosad kushambulia ni nani? but Mrusi amemshauri Iran alikubali km lilivo tangazwa, ili kuonyesha Dunia kwamba wana kinyongo na ku concetrate kwa USA,

Impactations itakuwa kwa Israel amabayo ndo mlengwa, na wayahudi wanalijua hili fika, wanajipa muda

Trump ametumiwa tu kusema
 
Wamezingua sana Iran intelligence
Ni aibu sana General "mkakamavu na anaeyegemewa" kufa kizembe namna hii,hii inaonyesha kuwa Iran intelligence yake bado ipo chini sana na pia hawana maamuzi sahihi kwa wakati sahihi. Sababu baada ya issue ya Ubalozini huyu General asingepaswa kuwepo Iraq ila kwa kuwa wameishi kwa mazoea na mawazo mfu ya kuwa Marekani hatafanya chochote eti kwa sababu ya Uchaguzi sasa ndio inakula kwao.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amen
Alikua Moja ya Makamanda wenye akili nyingi, mwerevu sana na mtiifu kwa serikali ya Iran yeye hasa akireport moja kwa moja kwa Mwenyewe Ayatollah...

Iran imepata pigo kubwa sana hasa....sio mchezo..katika hali ya kawaida yeye hakupaswa kuwa pale Iraq mida hii hasa kutokana na fujo hizi za karibuni..Irani na waajemi wote wanalia Duniani Kote..General Souleiman kalala mauti kama na sisi wote tutakavyolala siku moja.

Ameifia nchi yake...hajafa kwenye ulevi wala akipigania Wanawake Allah Amuweke pema...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3]Walipo2nguliwa drone yao walishindwaje kudhibitisha

US wakawaida Mnooo...

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe unaongelea drones? ukitaka kujua America ni vichaa duniani lipua meli yao ya kivita,si ipo hapo Gulf kila siku,Mbona Iran hajawahi hata kuirushia kombora?They know it! au mwambie akashambulie a US city alafu uje utupe mrejesho hapa!
 
Haya mambo hayahitaji hasira. Kuanzisha vita uvamiwe ndani ya mipaka yako au sababu nyenginezo nzito kama hiyo. Hata kwa Amerika ilitokea, wanajeshi wake pamoja na boti/meli yao ya kijeshi walitekwa na Iran. Swali la kujiuliza mbona Amerika hakutangaza vita na Iran?

Fikiri kwa mapana.
Hapa hakuna vita itakayotokea kwasababu Gen Qasem kauawa nje ya mipaka ya nchi yake. Hakuna soveregnty ya Iran iliyovunjwa, hivyo Iran hana legitimacy ya kurudisha mapigo ya moja kwa moja. So, hapo Iran atatafuta nayeye namna ya kumchoma marekani kisu cha mgongoni ambapo na marekani naye atakosa legitimacy ya kumvamia Iran.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inaonekana una cheo kikubwa saana hapo CIA
Aahahah! hizo ni janja zao! Militarism strategies, kuhadaa ulimwengu mkuu! akili za kuambiwa?

Ni kama Mrusi anavo mtanguliza Iran ktk hili! kwani aliyetoboa siri ya Mosad kushambulia ni nani? but Mrusi amemshauri Iran alikubali km lilivo tangazwa, ili kuonyesha Dunia kwamba wana kinyongo na ku concetrate kwa USA,

Impactations itakuwa kwa Israel amabayo ndo mlengwa, na wayahudi wanalijua hili fika, wanajipa muda

Trump ametumiwa tu kusema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Frank, kwa mtu anayefuatilia siasa za uhasama za Iran na USA, the only conclusion one can draw from this act of "aggression" of USA against Iran, is that: this is an opportune kumtia adabu USA maana sasa Iran ana sababu ya kutumia any military capability at her disposal to retaliate kutetea sovereignty ya nchi yake na jumuia ya kimataifa ikamuunga mkono! Kuna mjadala mkubwa ongoing now on CNN, kama una nafasi angalia
Hapo umechemka, hakuna soveregnty ya Iran iliyoingiliwa. Qasim kauawa nje ya mipaka ya Iran. Ilichofanya marekani ni kumchoma kisu cha mgongoni Iran. Amin nakwambia, Iran sio wajinga hawatajibu mashumbulizi kijinga, baadala yake na wao watatafuta fursa ya kumchoma kisu cha mgongoni marekani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watu comments za humu zinaonyesha jinsi hizi taarifa zimewauma, yaani wana uzalendo kwa Iran kushinda hata nchi yao Tanzania, hehehe!! Piga kenge hao, kwa hili nampa hongera mzee Trump, usicheke na hawa vikaragosi, kuna huyo kiongoz wao Ali Khamenei, akae akijua na yeye hapo alipo atapokea salamu tu, aendelee kubwatuka.
 
Hapa hakuna vita itakayotokea kwasababu Gen Qasem kauawa nje ya mipaka ya nchi yake. Hakuna suveregnty ya Iran iliyovunjwa, hivyo Iran hana legitimacy ya kurudisha mapigo ya moja kwa moja. So, hapo Iran atatafuta nayeye namna ya kumchoma marekani kisu cha mgongoni ambapo na marekani naye atakosa legitimacy ya kumvamia Iran.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sovereignty?Brother huyo jamaa ni equivalent to US chairman of joint chief of Staffs,sasa wamsubirie wamuue Joint chief of Staffs wa Marekani akiwa taifa lingine uone hyo sovereignity kama inafanya kazi ama lah,Iran won't dare.
 
Hehehe Mkuu
Kuwa Upande wa Saddam Miaka Tajwa Hapo Ya 90s Sio Ishu Wala nn

Ishu Nikwamba Hata Afrika Mashariki Ilikua naufahamu Wakwamba Jamaa Nisuala Lamuda 2 kama ilivyotokea kwa LIBYA Unategemea Nn Inapotokea Unagombna Na Rafiki Yako Ambae Alikua Anakupa Pesa Yakula Alikua Anakupa Madili Yakupata Pesa Alokua Anakutambulisha Kwawatu Ili Upate Pesa Na Ikiwezekana Hata Mke Ulonae Jamaa Alikufanzia Mipango Yeye !?..
IRAQ Alokua Anauziwa Silaha Karibu Asilimua 90s% Kutoka Kwahao Hao Watu Walomgeuka Ulitegemea Yakwamba Atashinda Hio Vita Ulikua Unakosea Sana MkuuNakama Ulikua Unawaza Kama IRAN Anauwezo Wakumpiga US Pia Unakosea Sana Ila Kama Itatokea Vita Ikapiganwa Baina Ya IRAN na US Amini Yakwamba Itakua Vitakubwa Kuwahi Kupiganwa Na US Toka Baada Ya Vita Ya Dunia Maana Ujue Kabsa Hio Vita Itapiganwa Mashariki Yakati Nzima Ndani Ya Mipaka Ya IRAN Mpaka Nje Yamipaka Yake Mpaka Ndani Yamipaka Ya IRAN Nakama IRAN Atapigana Na US Hata Kama Vita Itadumu Kwa Masaa 24 Tu Nakumalizika Iwe IRAN Kapigwa Na Hatamaniki Basi Ujue US Atahamisha Majeshi Yake Yote Mashariki Yakati Maana Mashariki Yakati Ndio Itakua Haidhibitiki Tena


Mwisho Kabisa Hakuna Vita Itapiganwa Ndani Ya IRAN Sababu Hata IRAN Hawez Ishambulua IRAN Ndani Yamipaka Yake Jambo Ambalo Litakua Ni Direct Provocation Kwa US Dhidi Ya IRAN...

US Wanaweza Wakawaua Wairan Popote Walipo Hatahapo Nchini Kwako Nsipo Pajua Ila US Hawez Kushubutu Kurusha Hata Jiwe Ndani Ya Mipaka Ya IRAN

Haya Yote Sababu US Kaona Vikwazo Dhidi Ya IRAN Havina Natija Kwahio Sasa Anahangaika Tuu [emoji23][emoji16][emoji16][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
Uchambuzi makini. Si Iran wala US mwenye hamu ya vita. Huo ni ukweli mchungu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom