Marekani yamuua Mkuu wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Iran katika shambulio la roketi la uwanja wa ndege wa Baghdad

Marekani yamuua Mkuu wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Iran katika shambulio la roketi la uwanja wa ndege wa Baghdad

Alikua Moja ya Makamanda wenye akili nyingi, mwerevu sana na mtiifu kwa serikali ya Iran yeye hasa akireport moja kwa moja kwa Mwenyewe Ayatollah...

Iran imepata pigo kubwa sana hasa....sio mchezo..katika hali ya kawaida yeye hakupaswa kuwa pale Iraq mida hii hasa kutokana na fujo hizi za karibuni..Irani na waajemi wote wanalia Duniani Kote..General Souleiman kalala mauti kama na sisi wote tutakavyolala siku moja.

Atakumbukwa kama Kamanda wa ukweli mwenye akili na mzalendo kwa nchi yake ya Iran na Waajemi wote.

Ameifia nchi yake...hajafa kwenye ulevi wala akipigania Wanawake Allah Amuweke pema...
Husilie sasa
 
Mwanzo wa kitu hukijui halafu unashabikia mwisho wake tafakuri zenu huwa mnazipeleka wapi?

Unafikiri ni kwa nini Quran wasiyoijua wakisoma translation yake wanasema visa vyake havina mtiririko? Umeshawahi kujiuliza hili?

Quran imeshuka kwa miaka 23! Ndiyo ikawa imekamilika. Moja ya sababu ya mtiririko wake kutofautiana ni kwa sababu aya zilikuwa zinashuka kulingana na matukio husika kwa nyakati husika zilizo tofauti.

Usinichoshe tafadhali! Sihitaji mikwaruzano na mtu! Sihitaji kuharibu Uzi wa watu.
Umenena vyema lakini ukasahau wote humu ni watu wazima usituchukulie mafala...
Kwahyo sharia law mpaka leo wanapowaua watu wanaohama uislam wameangalia "historical context?" Au wamefata maagizo ya Allah...
Kill the apostates kill the kafirs takbir!! Even the imams at answering islam know it!!
afu uku bongo mnatuletea taqqiya
 
Iran hana uwezo wa kwenda kwenye open war na USA, labda ajifiche kwenye proxy zake afanye mashambulizi ya kujificha gizani. Tofauti na hapo Iran itakuwa Libya ya pili.
Frank, kwa mtu anayefuatilia siasa za uhasama za Iran na USA, the only conclusion one can draw from this act of "aggression" of USA against Iran, is that: this is an opportune kumtia adabu USA maana sasa Iran ana sababu ya kutumia any military capability at her disposal to retaliate kutetea sovereignty ya nchi yake na jumuia ya kimataifa ikamuunga mkono! Kuna mjadala mkubwa ongoing now on CNN, kama una nafasi angalia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Assad kashikiliwa pale na Mrusi, wala hana ubavu wowote. Nakubaliana na wewe kwa sababu nyuma ya huyu mwajemi Mrusi yupo pia.
Hata Assad wa syria ilitegemewa kuwa ataanguka baada ya miezi miwili tu lkn hadi leo ni takribani miaka saba na nchi inazidi kuimarika. Usimtazame Iran, tazama walio nyuma yake.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Isingesaidia, jiulize walianza kumfuatilia akiwa wapi mpaka wanafanya maamuzi ya kutuma drone za kushambulia. Hata angetembea uchi tayari alikuwa kashawekwa kwenye target. Popote akina Yuda Iscariot huwa hawakosekani!
Angekuwa mjanja angevaa japo mabaibui then apande bajaji kuwapotezea maadui. Bahati mbaya ndio hivyo tena.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimezifatilia zile vita za waarabu walipoungana wote vs Israel...yaani kwa kipindi kile technologically walikuwa wanalingana lakini wingi wa wanajeshi,ndege za kivita,matenki n.k waarabu walikuwa navyo mara kumi ya waisrael lakini kipigo walichochezea ni cha mbwa mwitu...tena kaisrael kaliwapiga siku sita ya saba kakapumzika sabato.,,kazi ilikuwa ishaisha......
Sasa sipati picha saivi kaisrael kameshawapiga gep kitechnolojia mara 100...sijui wakipigana itakuwaje
Mkuu Israel ipo vizuri kijeshi lakini ungesoma vyema six days war uilewe ilikuwaje, Israel kwenye upande wa kukusanya information wapo vizuri na ndicho kilichowasaidia kwenye hio vita. Israel wanaamini Information Is Power so hawalali hawa jamaa usiku na mchana.

Kitu kingine watu wasichokifahamu ni kwamba upande wa kufanya maamuzi wapo faster tofauti na waarabu ambapo viongozi wao ni kama dectator(wanategemewa kufanya maamuzi kwa kila jambo) , Kwa Israel ni tofauti kabisa sio kila jambo aamue kiongozi wao mkubwa bali hata wakubwa kijeshi wanafanya maamuzi chap sana, hilo linafanya Israel iwe faster kwenye kuchukua hatua.

Inakuwa ngumu kwa Israel kuidhibiti kwa sababu Israeli inapigana kwa ajili ya uwepo wake, hatuwezi kusikia Israel imeshindwa vita kwa sababu siku ikishindwa ndio mwisho wake (watasambaa tena kama zamani), wanapigania uwepo wao, kutanga tanga miaka 2000 sio mchezo, Israel inapigana isipotee, waarabu wanaipiga Israel ipotee pale middle east.

Siku wakifanya mistake waarabu watatumia fursa vizuri kabisa kuhakikisha wana ipoteza Israel na kulipa kisasi, usije shangaa siku Israel nayo inapigwa hadi inaomba poo, unaweza rejea vita ya 2006 kati yao na hezbollah Israel ilivyo wa cost.
 
Mkuu Israel ipo vizuri kijeshi lakini ungesoma vyema six days war uilewe ilikuwaje, Israel kwenye upande wa kukusanya information wapo vizuri na ndicho kilichowasaidia kwenye hio vita. Israel wanaamini Information Is Power so hawalali hawa jamaa usiku na mchana.

Kitu kingine watu wasichokifahamu ni kwamba upande wa kufanya maamuzi wapo faster tofauti na waarabu ambapo viongozi wao ni kama dectator(wanategemewa kufanya maamuzi kwa kila jambo) , Kwa Israel ni tofauti kabisa sio kila jambo aamue kiongozi wao mkubwa bali hata wakubwa kijeshi wanafanya maamuzi chap sana, hilo linafanya Israel iwe faster kwenye kuchukua hatua.

Inakuwa ngumu kwa Israel kuidhibiti kwa sababu Israeli inapigana kwa ajili ya uwepo wake, hatuwezi kusikia Israel imeshindwa vita kwa sababu siku ikishindwa ndio mwisho wake (watasambaa tena kama zamani), wanapigania uwepo wao, kutanga tanga miaka 2000 sio mchezo, Israel inapigana isipotee, waarabu wanaipiga Israel ipotee pale middle east.

Siku wakifanya mistake waarabu watatumia fursa vizuri kabisa kuhakikisha wana ipoteza Israel na kulipa kisasi, usije shangaa siku Israel nayo inapigwa hadi inaomba poo, unaweza rejea vita ya 2006 kati yao na hezbollah Israel ilivyo wa cost.
Mimi nachojua waarabu walipigwa....kuhusu walipigwaje hayo jua wewe..
Kwani intellijensia sio uimara wa kijeshi??
Unaweza toa sababu kwanini Israel walishinda mpaka kesho kutwa lakini hata kama wangekuwa wanapigania uhai wao kama uwezo (inteligency,military,tactics) wasingekuwa navyo hata kama morali ya kupigania existence ingekuwa kubwa kiasi gani WASINGESHINDA...
Lakini ukweli ni kuwa saivi Israel kawapiga gep wengi Kwenye technology ya kivita saiv...so the next Israeli war will be total obliteration of enemies
 
Marekani na Trump wanajua wanachokifanya.Wamemuua makusudi huyo kamanda wa Iran ili Iran itaharuki na kujiingiza kwenye vita kichwakichwa.Kumbuka marekani anadai Iran wanakaribia kutengeneza silaha za nuklia.Marekani inajua kuishambulia Iran bila sababu yeyote ingelaaniwa na dunia yote na Trump angepata upinzani hata ndani ya marekani toka kwa Democratic. Sasa hivi Iran akishambulia maslahi yeyote ya marekani mashariki ya kati au popote duniani ,marekani itapata sababu ya kuishambulia Iran pamoja na vinu vyake Vya nyuklia pasipo kupingwa na dunia:
 
Umenena vyema lakini ukasahau wote humu ni watu wazima usituchukulie mafala...
Kwahyo sharia law mpaka leo wanapowaua watu wanaohama uislam wameangalia "historical context?" Au wamefata maagizo ya Allah...
Kill the apostates kill the kafirs takbir!! Even the imams at answering islam know it!!
afu uku bongo mnatuletea taqqiya
Mimi siyo juha kama hao majuha wenzako unaokutana nao kwenye mijadala ya kidini. Wewe endelea na chuki zako. Huku tulipo tunaishi poa tu licha ya utofauti wetu wa kidini. Kwa sababu tunaifahamu dini.
 
Back
Top Bottom