Marekani yapaka matope China katika suala la madeni barani Afrika

Marekani yapaka matope China katika suala la madeni barani Afrika

You're peace of shit to me..., my brother, even US you just watch on TV or movies, that it I'm sure 1 million % you just never move ur gadm ass out of Tz. I'm pretty sure for that.

Sent from my SM-S901B using JamiiForums mobile app
Hii lugha unatumia nguvu kubwa sana utaka iwe sehemu ya maisha yako lakini inakukataa mzee mama.
 
Mmh mkuu topic na CAG anadaiwa how come anadaiwa na nani
 
Its ok bastard
You're pu$$$¥
20230413_100505.jpg


Sent from my SM-S901B using JamiiForums mobile app
 
AAk
Why it's called "DEBT TRAP DIPLOMACY "

Ni kwasababu biashara zenu zinazofanyika kati ya China na mataifa mengine yanayoendelea sio ya uwazi.

China imehusika katika kuzitrap kwenye madeni nchi nyingi za Afrika kwa kuziingiza kwenye mikataba migumu yenye madeni makubwa yasiyo na uhalisia.

Makampuni mengi ya China huwa yanabidi tenda kisha kwa kutumia rushwa na kutokuwa na uwazi wanaweka gharama kubwa kitendo ambacho kinaleta mzozano.

Mfano mdogo tu juzi CAG ameilalamikia kampuni ya China ya CCECC kupewa tenda ya SGR kutoka tabora kwa gharama kubwa zaidi wakati yupo mkandarasi aliebid kwa gharama nzuri tu. CAG anahisi rushwa imeingia hapa. Na kuiomba SERIKALI ifanyie uchunguzi.

Tatizo lingine China inaziingiza nchi za Afrika kwenye madeni na kisha kuchukua maeneo yao au project zao za kimkakati kwamfano viwanja vya ndege, bandari n.k

Wekeni transparency na accountability kwenye namna mnavyozikopesha nchi zinazoendelea halafu muone kama Kuna nchi itawapigia kelele.

You're playing rough in this issue.
Hakuna anaewalazimisha viongoz WA afrika kwenda kukopa, Wala hakuna atakaekuja wasaidia kutoka ktk hayo madeni..sio mchina Wala marekani.. viongoz WA afrika jipambanieni wenyewe
 
Msiwe mnarudia rudia propaganda za Wamerikani dhidi ya Uchina, Wachina waliwahi kipora bandari zipi. na viwaja vya ndge vingapi barani Afrika?? Kumbukeni Wamerikani hawapendi kabisa ujio wa Wachina barani Afrika ndio maana wanawazushia mambo mengi Wachina using their SMS.

Kumbukeni vile vile kwamba Mabeberu bado wanalichukulia bara la Afrika kama back yard yao vile, in other words - mabeberu bado wanasumbiliwa na remnant colonial mentality.

Don't you forget kwamba Chinese have helped Africans a lot to help themselves, mababeru je, waliwahi kuiachia Tanzania vitu gani vya maandeleo unlike Chinese ambao wamejenga viwanda vingi, infrastructures nyingine muhimu ngapi mfano barabara,reli, madaraja,umeme, mitambo ya mawasiliano mfano mkonga, mahospitali,mashule,vyuo vya ufundi nk.

In short Wachina wamefanya kazi kubwa ya kujivunia barani Afrika - hata Rais wa Zambia aliwahi kukanusha habari za uongo na uzushi zinazo enezwa na mashirika ya habari ya west yakiwa na lengo la kujaribu kuiharibia sifa Uchina, wanatunga habari za kubuni tu na mara nyingi kusema mleta habari hataki jina lake, litajwe!!!
Watu kwa nini mnakuwa wanafiki wakubwa hivi..!! Hao wavimba macho amejenga viwanda gani Afrika hii tofauti na kutumalizia tembo na faru zetu.

Hizi sub standard roads wanazojenga ndio unasema ambazo zimejawa na mizani kila mkoa hadi sasa Tanzania hakuna lori inayoruhusiwa kupakia mzigo wa tani zaidi ya 27 wakati malori za semi trailer zina uwezo wa kupakia mizigo ya tani zaidi ya 40.

Walikuja na mambo ya kilaghai kuhusu ujenzi wa bandari ya Bagamoyo ili kuua bandari zetu zingine na kuiacha tu hiyo ya Bagamoyo ambayo walitaka waimiliki kwa miaka 99.

Kuna kipindi huyo rais wao dikteta Xi Jing Ping alifanya ziara hapa na wakati anaondoka alienda na meno za tembo 🐘 kibao. Walijenga kiwanda cha nguo cha Urafiki na wakakataa kabisa kukiendeleza hadi kikafa kwa kuona kwamba ustawi wake ungefanya viwanda vya China vikose soko. Wachina bure kabisa, hawafai hata bure.
 
Watu kwa nini mnakuwa wanafiki wakubwa hivi..!! Hao wavimba macho amejenga viwanda gani Afrika hii tofauti na kutumalizia tembo na faru zetu.

Hizi sub standard roads wanazojenga ndio unasema ambazo zimejawa na mizani kila mkoa hadi sasa Tanzania hakuna lori inayoruhusiwa kupakia mzigo wa tani zaidi ya 27 wakati malori za semi trailer zina uwezo wa kupakia mizigo ya tani zaidi ya 40.

Walikuja na mambo ya kilaghai kuhusu ujenzi wa bandari ya Bagamoyo ili kuua bandari zetu zingine na kuiacha tu hiyo ya Bagamoyo ambayo walitaka waimiliki kwa miaka 99.

Kuna kipindi huyo rais wao dikteta Xi Jing Ping alifanya ziara hapa na wakati anaondoka alienda na meno za tembo [emoji208] kibao. Walijenga kiwanda cha nguo cha Urafiki na wakakataa kabisa kukiendeleza hadi kikafa kwa kuona kwamba ustawi wake ungefanya viwanda vya China vikose soko. Wachina bure kabisa, hawafai hata bure.
Hapo kwenye kiwanda cha nguo cha urafiki ndipo ninapo kuunga mkono.

Wanachofanya wachina wanakufunga kwenye mikataba wakihakikisha wao ndo masolo owner na ndio wenye share nyingi then Winaslow down business wakijua fika hamjiwezi then wanawatawala

Hii mbinu wanaitumia kila mahali mpaka Ulaya ku sabotage makampuni na mashirika tofautitofauti
 
Back
Top Bottom