Marekani yapaka matope China katika suala la madeni barani Afrika

You're peace of shit to me..., my brother, even US you just watch on TV or movies, that it I'm sure 1 million % you just never move ur gadm ass out of Tz. I'm pretty sure for that.

Sent from my SM-S901B using JamiiForums mobile app
Hii lugha unatumia nguvu kubwa sana utaka iwe sehemu ya maisha yako lakini inakukataa mzee mama.
 
Mmh mkuu topic na CAG anadaiwa how come anadaiwa na nani
 
AAk
Hakuna anaewalazimisha viongoz WA afrika kwenda kukopa, Wala hakuna atakaekuja wasaidia kutoka ktk hayo madeni..sio mchina Wala marekani.. viongoz WA afrika jipambanieni wenyewe
 
Watu kwa nini mnakuwa wanafiki wakubwa hivi..!! Hao wavimba macho amejenga viwanda gani Afrika hii tofauti na kutumalizia tembo na faru zetu.

Hizi sub standard roads wanazojenga ndio unasema ambazo zimejawa na mizani kila mkoa hadi sasa Tanzania hakuna lori inayoruhusiwa kupakia mzigo wa tani zaidi ya 27 wakati malori za semi trailer zina uwezo wa kupakia mizigo ya tani zaidi ya 40.

Walikuja na mambo ya kilaghai kuhusu ujenzi wa bandari ya Bagamoyo ili kuua bandari zetu zingine na kuiacha tu hiyo ya Bagamoyo ambayo walitaka waimiliki kwa miaka 99.

Kuna kipindi huyo rais wao dikteta Xi Jing Ping alifanya ziara hapa na wakati anaondoka alienda na meno za tembo 🐘 kibao. Walijenga kiwanda cha nguo cha Urafiki na wakakataa kabisa kukiendeleza hadi kikafa kwa kuona kwamba ustawi wake ungefanya viwanda vya China vikose soko. Wachina bure kabisa, hawafai hata bure.
 
Hapo kwenye kiwanda cha nguo cha urafiki ndipo ninapo kuunga mkono.

Wanachofanya wachina wanakufunga kwenye mikataba wakihakikisha wao ndo masolo owner na ndio wenye share nyingi then Winaslow down business wakijua fika hamjiwezi then wanawatawala

Hii mbinu wanaitumia kila mahali mpaka Ulaya ku sabotage makampuni na mashirika tofautitofauti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…