Marekani yapata waziri wa ulinzi mlevi wa kupindukia.

Marekani yapata waziri wa ulinzi mlevi wa kupindukia.

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Waziri wa Ulinzi mpya wa Marekani, Pete Hegseth aliyeteuliwa na Trump na kupitishwa na maseneta walio wengi wa upande mmoja tu wa Republicans ni mlevi wa kutupwa wa pombe. Huyu bwana aliyekuwa mtangazaji wa Fox News inasemwa huwa anaweza kupiga tungi kuanzia asubuhi hata anapokuwa kazini. Watu wa karibu wanaomfahamu vizuri wanasema mara nyingi muda anaokuwa tungi ni mwingi zaidi kuliko anaokuwa sober.

Wafanyakazi wenzake wanasema
Kuna wakati alikuwa anakunywa pombe mpaka inawapa wasiwasi, wakati mwingine wakiwa bar analewa mpaka inabidi abebwe kurudishwa kwake.

Baadhi ya wachambuzi wanasema huenda uteuzi huo ukawa na faida kubwa kwa dunia kwa kupelekea Marekani kutoanzisha vita kwa sababu walevi waliokubuhu mara nyingi huwa ni watu wa amani na wanaopoteza focus ya kazi mara kwa mara.

20250126_073446.jpg


20250126_073518.jpg
 
Waziri wa Ulinzi mpya wa Marekani, Pete Hegseth aliyeteuliwa na Trump na kupitishwa na maseneta walio wengi wa upande mmoja tu wa Republicans ni mlevi wa kutupwa wa pombe. Huyu bwana aliyekuwa mtangazaji wa Fox News inasemwa huwa anaweza kupiga tungi kuanzia asubuhi hata anapokuwa kazini.

Baadhi ya wachambuzi wanasema huenda uteuzi huo ukawa na faida kubwa kwa dunia kwa kupelekea Marekani kutoanzisha vita kwa sababu walevi waliokubuhu mara nyingi huwa ni watu wa amani na wanaopoteza focus ya kazi mara kwa mara.

View attachment 3214336

View attachment 3214337
Mlevi asiyelewa huyo siyo mlevi
 
Uhuru naye alikuwa kiboko, alifungua hadi bar kabisa ikulu!🤣. Kuna wakati vitu alikuwa anafanya hadi kwenye public anaonekna kabisa tungi limepitiliza.

Cheki kwanza chuma inavyoshuka kwenye V8 drunk as 🤣 hapo lazima alishushia na bangi(I know)

Mpambe wa rais alichelewa kidogo jamaa likataka kufungua mlango lenyewe, ikabidi MAFWELE awahi fasta kufungua(protocol ikavunjwa)

Cheki anavyowashika mikono hao wanaomuaga(kama hujakaza mkono anakutegua vidole huyu).

Kasongo anamcheki tu kwa pembeni.

First lady alipoona mambo mengi akajiondokea zake kuwahi ndege.

UHUNYEE ni mtu poa sana, hana time, hapo usikute alikua anaenda Russia, akaona ngoja nisukutue kwanza huku huku kenya, nikifika Urusi ni mwendo wa nyama tu.

View: https://youtu.be/O8sQC72prg8?si=ajCueH4E-OebH-A5
 
Wala hamfikii Amani Abeid Karume.
Mkapa mwenyewe alinyoosha mikono kwa Karume.
Karume yeye huwa hapigi 'Ze Laga' , yeye vitu vyake ni vile vya kuwaka yaani 'Spirits'. Ilifikia mahala watu walikuwa hawaruhisiwi kumsogelea wakiwa wameshika kiberiti.
Hii familia inaonekana watu wa vyombo sana, niliwahi kumsikia yule mdogo wake ambaye ni Balozi anasema yeye anakunywa tu ila sio mlevi🤣, anasema kazi yake ya ubalozi sio rahisi kutokunywa anapo socialize na mabalozi.
 
Back
Top Bottom