Marekani yapata waziri wa ulinzi mlevi wa kupindukia.

Marekani yapata waziri wa ulinzi mlevi wa kupindukia.

Uhuru naye alikuwa kiboko, alifungua hadi bar kabisa ikulu!🤣. Kuna wakati vitu alikuwa anafanya hadi kwenye public anaonekna kabisa tungi limepitiliza.
Yule mtu wa kijiti pia
 
Umemuumbua Baba jayaron . Mtu anayetumia muda wake kuwaza ushoga, au kiongozi kuweka mambo ya ushoga kwenye agenda zake, huwa naona ni kama mtafuta cheap populality.

Mtu serious hawezi kuhangaika na ushoga.
Haukusumbui kwasababu unauishi Mimi unanisumbua kwasababu si utaki na unanikera kwasababu unasambaa kwa nguvu za wapumbavu kama ninyi
 
Ahmada umelewaaaa.

Naskia kumbe ahmada mwenyewe mwenye wimbo wake ndio huyo babu Karume.

Kizee kilikua kinakandamiza hiki duuuh!!!
Amani,bi kidude kwenye hafla moja akaimba ahamada umelewa huku akimuelekea karume
 
Waziri wa Ulinzi mpya wa Marekani, Pete Hegseth aliyeteuliwa na Trump na kupitishwa na maseneta walio wengi wa upande mmoja tu wa Republicans ni mlevi wa kutupwa wa pombe. Huyu bwana aliyekuwa mtangazaji wa Fox News inasemwa huwa anaweza kupiga tungi kuanzia asubuhi hata anapokuwa kazini. Watu wa karibu wanaomfahamu vizuri wanasema mara nyingi muda anaokuwa tungi ni mwingi zaidi kuliko anaokuwa sober.

Wafanyakazi wenzake wanasema
Kuna wakati alikuwa anakunywa pombe mpaka inawapa wasiwasi, wakati mwingine wakiwa bar analewa mpaka inabidi abebwe kurudishwa kwake.

Baadhi ya wachambuzi wanasema huenda uteuzi huo ukawa na faida kubwa kwa dunia kwa kupelekea Marekani kutoanzisha vita kwa sababu walevi waliokubuhu mara nyingi huwa ni watu wa amani na wanaopoteza focus ya kazi mara kwa mara.

View attachment 3214336

View attachment 3214337
Mbona ameloa, au macho yangu yana matege?
 
Umewahi mshuhudia?
Mbona kwenye confirmatory hearing hakuwa anaonekana mlevi?
 
Haukusumbui kwasababu unauishi Mimi unanisumbua kwasababu si utaki na unanikera kwasababu unasambaa kwa nguvu za wapumbavu kama ninyi
Basi acha ushoga uendelee kukusumbua, mimi haunisumbui. Kwa sababu haunihusu.

Wewe endelea kuwaza ushoga hadi utakuwa shoga. Kitu ukikiwaza sana kinakuwa.

Mwishowe utatamani kuonja uone radha wanayopata mashoga.
 
Basi acha ushoga uendelee kukusumbua, mimi haunisumbui. Kwa sababu haunihusu.

Wewe endelea kuwaza ushoga hadi utakuwa shoga. Kitu ukikiwaza sana kinakuwa.

Mwishowe utatamani kuonja uone radha wanayopata mashoga.
Sawa shoga angu
 
Umewahi mshuhudia?
Mbona kwenye confirmatory hearing hakuwa anaonekana mlevi?
Sijawahi mkuu, huyo sio mfanyakazi mwenzangu, rafiki au ndugu yangu.
 
Wewe lazima uje kuwa shoga, maana akili yako imejaa ushoga tu, watu wanajadili mambo ya maana wewe unakuja kuandika ushoga tu.

Lazima uje kuwa shoga na utaolewa.
Mimi kwa umri wangu nije kua shoga?? Ajitafakari saana kijana
 
Waziri wa Ulinzi mpya wa Marekani, Pete Hegseth aliyeteuliwa na Trump na kupitishwa na maseneta walio wengi wa upande mmoja tu wa Republicans ni mlevi wa kutupwa wa pombe. Huyu bwana aliyekuwa mtangazaji wa Fox News inasemwa huwa anaweza kupiga tungi kuanzia asubuhi hata anapokuwa kazini. Watu wa karibu wanaomfahamu vizuri wanasema mara nyingi muda anaokuwa tungi ni mwingi zaidi kuliko anaokuwa sober.

Wafanyakazi wenzake wanasema
Kuna wakati alikuwa anakunywa pombe mpaka inawapa wasiwasi, wakati mwingine wakiwa bar analewa mpaka inabidi abebwe kurudishwa kwake.

Baadhi ya wachambuzi wanasema huenda uteuzi huo ukawa na faida kubwa kwa dunia kwa kupelekea Marekani kutoanzisha vita kwa sababu walevi waliokubuhu mara nyingi huwa ni watu wa amani na wanaopoteza focus ya kazi mara kwa mara.

View attachment 3214336

View attachment 3214337
Hana tofauti na john mrema au mwenyekiti aliyepita!
 
Uhuru alikunywa kupitiliza au alisukutua kikali alipokua kwenye gari kikaanza kupanda taratibu.

Anashuka akidhani yuko sawa, ile stamina ikamjulisha tu tungu limezidi, ndio chanzo cha ukakamavu pro max ili afiche kumbe ndo anaonesha.
Kwa style aliyoondoka nayo mkewe ni dhahiri alikuwa amekereka... na huko nyumbani nadhani hapakutosha.
 
Back
Top Bottom