Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 4,324
- 5,933
Sio kweli hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kweli hii
Unawaza ushoga tu.Only LGBT's saying that
Umemuumbua Baba jayaron . Mtu anayetumia muda wake kuwaza ushoga, au kiongozi kuweka mambo ya ushoga kwenye agenda zake, huwa naona ni kama mtafuta cheap populality.
Yule mtu wa kijiti piaUhuru naye alikuwa kiboko, alifungua hadi bar kabisa ikulu!🤣. Kuna wakati vitu alikuwa anafanya hadi kwenye public anaonekna kabisa tungi limepitiliza.
Haukusumbui kwasababu unauishi Mimi unanisumbua kwasababu si utaki na unanikera kwasababu unasambaa kwa nguvu za wapumbavu kama ninyiUmemuumbua Baba jayaron . Mtu anayetumia muda wake kuwaza ushoga, au kiongozi kuweka mambo ya ushoga kwenye agenda zake, huwa naona ni kama mtafuta cheap populality.
Mtu serious hawezi kuhangaika na ushoga.
Amani,bi kidude kwenye hafla moja akaimba ahamada umelewa huku akimuelekea karumeAhmada umelewaaaa.
Naskia kumbe ahmada mwenyewe mwenye wimbo wake ndio huyo babu Karume.
Kizee kilikua kinakandamiza hiki duuuh!!!
Serikali imejaa masela na matajiri wala ganjaTrump atakua anavuta Ganja ya Cuba au Mexico.
Wahaya wenzako ni malaya wewe unajua shoga wap na wap??Unawaza ushoga tu.
Mbona ameloa, au macho yangu yana matege?Waziri wa Ulinzi mpya wa Marekani, Pete Hegseth aliyeteuliwa na Trump na kupitishwa na maseneta walio wengi wa upande mmoja tu wa Republicans ni mlevi wa kutupwa wa pombe. Huyu bwana aliyekuwa mtangazaji wa Fox News inasemwa huwa anaweza kupiga tungi kuanzia asubuhi hata anapokuwa kazini. Watu wa karibu wanaomfahamu vizuri wanasema mara nyingi muda anaokuwa tungi ni mwingi zaidi kuliko anaokuwa sober.
Wafanyakazi wenzake wanasema
Kuna wakati alikuwa anakunywa pombe mpaka inawapa wasiwasi, wakati mwingine wakiwa bar analewa mpaka inabidi abebwe kurudishwa kwake.
Baadhi ya wachambuzi wanasema huenda uteuzi huo ukawa na faida kubwa kwa dunia kwa kupelekea Marekani kutoanzisha vita kwa sababu walevi waliokubuhu mara nyingi huwa ni watu wa amani na wanaopoteza focus ya kazi mara kwa mara.
View attachment 3214336
View attachment 3214337
Serekali ya wahuni, matajiri, wala ganja na pombe.Serikali imejaa masela na matajiri wala ganja
Basi acha ushoga uendelee kukusumbua, mimi haunisumbui. Kwa sababu haunihusu.Haukusumbui kwasababu unauishi Mimi unanisumbua kwasababu si utaki na unanikera kwasababu unasambaa kwa nguvu za wapumbavu kama ninyi
Sawa shoga anguBasi acha ushoga uendelee kukusumbua, mimi haunisumbui. Kwa sababu haunihusu.
Wewe endelea kuwaza ushoga hadi utakuwa shoga. Kitu ukikiwaza sana kinakuwa.
Mwishowe utatamani kuonja uone radha wanayopata mashoga.
Wewe lazima uje kuwa shoga, maana akili yako imejaa ushoga tu, watu wanajadili mambo ya maana wewe unakuja kuandika ushoga tu.Sawa shoga angu
Mimi kwa umri wangu nije kua shoga?? Ajitafakari saana kijanaWewe lazima uje kuwa shoga, maana akili yako imejaa ushoga tu, watu wanajadili mambo ya maana wewe unakuja kuandika ushoga tu.
Lazima uje kuwa shoga na utaolewa.
Hana tofauti na john mrema au mwenyekiti aliyepita!Waziri wa Ulinzi mpya wa Marekani, Pete Hegseth aliyeteuliwa na Trump na kupitishwa na maseneta walio wengi wa upande mmoja tu wa Republicans ni mlevi wa kutupwa wa pombe. Huyu bwana aliyekuwa mtangazaji wa Fox News inasemwa huwa anaweza kupiga tungi kuanzia asubuhi hata anapokuwa kazini. Watu wa karibu wanaomfahamu vizuri wanasema mara nyingi muda anaokuwa tungi ni mwingi zaidi kuliko anaokuwa sober.
Wafanyakazi wenzake wanasema
Kuna wakati alikuwa anakunywa pombe mpaka inawapa wasiwasi, wakati mwingine wakiwa bar analewa mpaka inabidi abebwe kurudishwa kwake.
Baadhi ya wachambuzi wanasema huenda uteuzi huo ukawa na faida kubwa kwa dunia kwa kupelekea Marekani kutoanzisha vita kwa sababu walevi waliokubuhu mara nyingi huwa ni watu wa amani na wanaopoteza focus ya kazi mara kwa mara.
View attachment 3214336
View attachment 3214337
Kwa style aliyoondoka nayo mkewe ni dhahiri alikuwa amekereka... na huko nyumbani nadhani hapakutosha.Uhuru alikunywa kupitiliza au alisukutua kikali alipokua kwenye gari kikaanza kupanda taratibu.
Anashuka akidhani yuko sawa, ile stamina ikamjulisha tu tungu limezidi, ndio chanzo cha ukakamavu pro max ili afiche kumbe ndo anaonesha.