Marekani yapata waziri wa ulinzi mlevi wa kupindukia.

Marekani yapata waziri wa ulinzi mlevi wa kupindukia.


View: https://youtu.be/O8sQC72prg8?si=ajCueH4E-OebH-A5


Cheki kwanza chuma inavyoshuka kwenye V8 drunk as Where We Dare To Talk Openly lazima alishushia na bangi(I know)

Cheki anavyowashika mikono hao wanaomuaga(kama hujakaza mkono anakutegua vidole huyu).

Kasongo anamcheki tu kwa pembeni.

First lady alipoona mambo mengi akajiondokea zake kuwahi ndege.

UHUNYEE ni mtu poa sana, hana time, hapo usikute alikua anaenda Russia, akaona ngoja nisukutue kwanza huku huku kenya, nikifika Urusi ni mwendo wa nyama tu.

Uhunye kweli mtu poa sana, pamoja na ulevi wake hakuwa hata na hizi pigo za utekaji na upotezaji raia kiholela anazofanya huyu Kasongo mnywa chai tu.
 
Wala hamfikii Amani Abeid Karume.
Mkapa mwenyewe alinyoosha mikono kwa Karume.
Karume yeye huwa hapigi 'Ze Laga' , yeye vitu vyake ni vile vya kuwaka yaani 'Spirits'. Ilifikia mahala watu walikuwa hawaruhisiwi kumsogelea wakiwa wameshika kiberiti.
Ahmada umelewaaaa.

Naskia kumbe ahmada mwenyewe mwenye wimbo wake ndio huyo babu Karume.

Kizee kilikua kinakandamiza hiki duuuh!!!
 
Uhuru alikunywa kupitiliza au alisukutua kikali alipokua kwenye gari kikaanza kupanda taratibu.

Anashuka akidhani yuko sawa, ile stamina ikamjulisha tu tungu limezidi, ndio chanzo cha ukakamavu pro max ili afiche kumbe ndo anaonesha.
 
Na kuna siku alilewa sana kupindukia akashindwa kujitambua ila msanii Pdidy alisema atachukua jukumu la kumrudisha nyumbani tunashukuru alienda nae
 
huku kwetu kuna wazee wa bangi kibao....
 
Ktk conformation hearing amesema alishaokoka na hiyo ni past
Hayo maneno ya kuacha tungi baada ya kuteuliwa inaweza kuwa ni story tu ya kushawishi seneti imthibitishe🤣
20250126_105721.jpg
 
Back
Top Bottom