RTI
JF-Expert Member
- Dec 20, 2018
- 2,423
- 7,155
Acha uongo kipindi cha vita ya Iraq hakukuwepo jf,fb,waswap,instagiram,hata simu za kuteleza hazikuwepo sasa tulsemea wapi ?kabla hujaongea kitu jifikirie kwanza.Hata wakati wa Saddam mlisema hivi hivi, mwishowe mkalia Marekani muonevu.