Marekani yapitisha sheria itakayotambua ndoa za jinsia moja

nia nzuri ni ipi hapo watu wazizaliane alafu kiwepo kizazi cha ovyo ( mashoga).

au watu wazaliane na tokea umezaliwa umesikia wapi kuna mzazi ana watoto kumi kashindwa kuwalea au kuna mtoto moja kafa na njaa...

Ulipohoji wapi kuna mzazi ana watoto 10 kashindwa kuwalea ndio nimefunga kazi kabisa ama wewe ni mtoto hujakomaa akili au ni mtu mzima lakini hovyo
 
Unaongea kama umelaaniwa, nia nzuri wewe ulidondoka juu,, mpaka upo leo na kuandika upuuzi wako si kwasabau umezaliwa .tatizo binadamu akikua anasahau kila kitu na kujiona ni kiumbe imara sana tena anatamani aseme hajazaliwa .
Wewe ndie uleyelaaniwa ndio maana unahisi kila Mtu kalaaniwa, hoja hupingwa kwa hoja acha ujinga wako,

Mnazaana sana matokeo yake mnakua mzigo kwa wengine ukibisha wewe ni yai viza
 
Kuna video moja ipo mitandaoni wasukuma wamepitilizwa kituo yaani familia moja mama ana mitoto hadi kinyaa!!
Sema wewe, nikisema mimi naambiwa nina laana,

Nyumba moja ina watu 40! Hapo hakuna shule ni mwendo wa kuchunga Ng'ombe na vya kike kusonga ugali hadi vinakomaa mikono
 
Na tunaopenda kupokea misaada ya masharti nafuu kutoka USAID

Tujipange kisaikolojia kwa future ya vizaZi vyetu[emoji22].
 
Ngoja wakristo waje.
Mudy alikuwa anawaza Nini kusema mashoga adhabu Yao ni kusutwa na kupigwa na makobazi

Tafsir al-Jalalayn 4:16 .... act adultery or homosexual intercourse punish them both with insults and beatings with sandals; ..
 
Usijitoe ufahamu matako ya ngurue wewe
Mombasa pemba pwani ni wakristo wapo huko??
Washenzi wakubwa nyie tabia ya kufirana mmeanza nyie nenda zenj mnafira wasichana kisa wanaogopa kuolewa bila bikra
Pumbavu kabsaaa mijitu ya ovyooo
Punguza hasira..unadhani hayo hayajui..anayajua fika sema ndio hivyo...huwa anajitia uchizi.

#MaendeleoHayanaChama
 
Ndio mwisho wa safari yao ya ubabe na uchumi katika dunia.Mungu atajaalia vichi vidogo kuiponda ponda Marekani.
Endelea kuota..USA sio leo kuanguka.

#MaendeleoHayanaChama
 


Watu wengine ni mithili ya wanyama, wamesahau au kudharau kabisa maandiko matakatifu juu ya kadhia ya SODOMA na GOMORA!!.

Mungu hajaribiwi, tusubiri tuone.
 
Ndio mwisho wa safari yao ya ubabe na uchumi katika dunia.Mungu atajaalia vichi vidogo kuiponda ponda Marekani.
America will fall, lakini sio kwasababu ulizozitaja.
Mungu has nothing to do with it
 
Nani mwenye dunia yake?Nani mwenye viumbe vyake?
Huoni kama nia yao ni nzuri?
Mtu ana Watoto 10 halafu hawezi kuwapatia huduma muhimu halafu anataka asaidiwe kulea,
Wakati angezaa watatu angemudu gharama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…