Tafakari zaidi, Kule Rohingya US alisema nini? Palestina wanauliwa kila uchwao na Israel amesema nini? Ujue tu, popote unapoona US amelaani jambo fulani ujue kuna maslahi yake hayako sawa!Bado kuna waislamu watasema Marekani wanawachukia waislamu
Tafakari zaidi, Kule Rohingya US alisema nini? Palestina wanauliwa kila uchwao na Israel amesema nini? Ujue tu, popote unapoona US amelaani jambo fulani ujue kuna maslahi yake hayako sawa!
papuchiUnajua Muhammad bin Abdullah amewaahidi vingi sana waumin wa kiislam
Unalijua hilo?
Kwahiyo wewe unaona sawa wanayofanyiwa waislam wa uighur na serikali ya Beijing?!China yuko byzy na Maendeleo ya nchi yake, hio unayoona Us anatetea Uislam ni Unafki mkubwa coz yy mwenyewe ana damu za Waislam mikononi mwake so atateteaje Waislam wakati anawachukia na kuwauwa kila siku?
U.S. imposes sanctions on Myanmar military leaders over Rohingya abusesTafakari zaidi, Kule Rohingya US alisema nini? Palestina wanauliwa kila uchwao na Israel amesema nini? Ujue tu, popote unapoona US amelaani jambo fulani ujue kuna maslahi yake hayako sawa!
MfanoNchi kibao tu
Kwahiyo wewe unaona sawa wanayofanyiwa waislam wa uighur na serikali ya Beijing?!
Wewe ndo umecomment hivi kwa sababu ya chuki zako binafsi kwa marekani, waislam wa China wametetewa unalalamika, na je marekani ingeunga mkono anachokifanya China kwa waislam ungefanyaje?!Hizo zinaitwa politics, yaani ni kama babaishabwege, Marekani anafanya kila anachoona kina MASLAHI kwake na sio MASLAHI ya yyte, ata akiwekea vikwazo China dhidi ya hivyo haiondoi ukweli kuwa Us ndio alieuwa Waislam wengi sana duniani na ndie anaechukia Waislam,pia inawezekana anataka kaengeza ushawishi M/East kwa kuonekana eti anatetea Waislam kumbe ni politics ya vita ya kibiashara [emoji23]
RussiaMfano
Ni wanafiki wewe huelewi.Bado kuna waislamu watasema Marekani wanawachukia waislamu
Na mi nimemjibu kama wewe.Huo ni muendelezo wa uhasama wa vita yao ya kibiashara,mtu anatafutiwa njia ya kuwekewa vikwazo tu,wenye akili ndogo kama zako ndio watakaowaza kama ulivyowaza wewe.
Acha wafe wamepita mstari mwekunduNi kwa ajili ya hao waislamu au ni kwa chuki dhidi ya China? Au ni muendelezo wa uhasama kwenye vita vya kibiashara? kwani waislamu wanateseka huko China pekee? Wakati kundi la Ant-balaka linaua waislamu huko Central African Republic alichukua hatua gani? Waislamu wanao uawa huku Palestina na kwingineko amechukua hatua gani?