Marekani yasema inabadilisha Vifaa, Mikakati na Mbinu za Ulinzi Mashariki ya Kati Ili Kuilinda zaidi Israel

Marekani yasema inabadilisha Vifaa, Mikakati na Mbinu za Ulinzi Mashariki ya Kati Ili Kuilinda zaidi Israel

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Marekani yasema kufuatia viashiria vya Amani kutoweka Mashariki ya Kati imelazimika kubadili Vifaa, Mikakati na Mbinu za Ulinzi Ili kulinda Israel.

Mabadiliko hayo yanahusu kupeleka vikosi hatari zaidi vya Kijeshi. Hata yanafuatia tishio la Ayatollah Khamenei anayejipanga kuishushia Kitu kizito Israel.

Chanzo: Al jazeera news
Soma pia: Ayatollah Khamenei atoa agizo zito kuwa Israel ipigwe moja Kwa moja
 
Usemi tu wa watu wavivu wa kufikiri

Kwa tarifa yako, Dunia bila Jews, hakuna taifa lenye nguvu kijeshi
Labda dunia yako wewe usituhusishe na sisi walio ibadilisha dunia walikuwa majews!? Nikola Tesla, wright brothers,James watt,n.k ,,tatizo umekalilishwa na sitory za mtaani,, marekani anamlinda Israel kulingana na mkataba aliosaini na ye..,kwamba atailinda Israel dhidi ya maadui zake mpaka mwisho,,,hebu fikiria kwanini hao wayahudi walikataa kuja uganda ambako wangeishi kwa Amani!?
 
US mwenyewe kambi zake ziliteremshiwa missiles na Iran na hakuna air defense iliweza zuia.

Kauli za US ni kujaribu kuwatisha Iran lakini kipigo kipo pale pale.
Iran ni debe tupu. Imeshindwa kumlinda rais wao akafa kizembe na helikopter ya mwaka 47.
Imeshindwa kumlinda kibaraka wao gaidi haniye mpaka ametunguliwa kizembe akiwa amelala na bodyguard wake chumbani.
 
Labda dunia yako wewe usituhusishe na sisi walio ibadilisha dunia walikuwa majews!? Nikola Tesla, wright brothers,James watt,n.k ,,tatizo umekalilishwa na sitory za mtaani,, marekani anamlinda Israel kulingana na mkataba aliosaini na ye..,kwamba atailinda Israel dhidi ya maadui zake mpaka mwisho,,,hebu fikiria kwanini hao wayahudi walikataa kuja uganda ambako wangeishi kwa Amani!?
Ardhi yao ipo pale kwenye nchi ya ahadi ndio maana wako tayari kuipigania mpaka tone la mwisho.
 
Labda dunia yako wewe usituhusishe na sisi walio ibadilisha dunia walikuwa majews!? Nikola Tesla, wright brothers,James watt,n.k ,,tatizo umekalilishwa na sitory za mtaani,, marekani anamlinda Israel kulingana na mkataba aliosaini na ye..,kwamba atailinda Israel dhidi ya maadui zake mpaka mwisho,,,hebu fikiria kwanini hao wayahudi walikataa kuja uganda ambako wangeishi kwa Amani!?
Albert Einstein the smartest physicist to ever grace this planet, whose laws helped developing nuclear weapons was a Jew. Let that sink in.
 
Labda dunia yako wewe usituhusishe na sisi walio ibadilisha dunia walikuwa majews!? Nikola Tesla, wright brothers,James watt,n.k ,,tatizo umekalilishwa na sitory za mtaani,, marekani anamlinda Israel kulingana na mkataba aliosaini na ye..,kwamba atailinda Israel dhidi ya maadui zake mpaka mwisho,,,hebu fikiria kwanini hao wayahudi walikataa kuja uganda ambako wangeishi kwa Amani!?
Narudia tena, wa kuifuta Israel hayupo, marekani hata asipoisaidia!

Myahudi anahistoria ya vita tangu vitabu vya manabii na atakuwa hivyo mpaka mwisho wa aridhi

Wa kuifuta labda wewe kobazi wa handeni, nenda kajaribu na wewe pengine unaweza kuwasaidia walioshindwa kina Hitila
 
Ila dunia Ina Mambo, kwa hiyo US anamuogopa Iran?? 😂😂😂
Wapi nimesema hivyo? Nimesema US kambi zake zilishambuliwa na akashindwa kuzuia mashambulizi iweje leo anasema atamlinda Israel?

US anaogopa matokeo ya vita kati ya Iran na Israel kwa maana ipo wazi Israel uwezo wake upo chini kijeshi kwa Iran.
 
Labda dunia yako wewe usituhusishe na sisi walio ibadilisha dunia walikuwa majews!? Nikola Tesla, wright brothers,James watt,n.k ,,tatizo umekalilishwa na sitory za mtaani,, marekani anamlinda Israel kulingana na mkataba aliosaini na ye..,kwamba atailinda Israel dhidi ya maadui zake mpaka mwisho,,,hebu fikiria kwanini hao wayahudi walikataa kuja uganda ambako wangeishi kwa Amani!?
Iatabidi Gaza ndio waje Uganda, bila ya hivyo, basi wawe Waisrael tu hakuna namna
 
Usemi tu wa watu wavivu wa kufikiri

Kwa tarifa yako, Dunia bila Jews, hakuna taifa lenye nguvu kijeshi
Sasa mbona wanashindwa kujilinda wenyewe hadi mabwana zake waingilie kati?

Israel ipo overrated na mashoga ili tu kulinda maslahi yao pale middle east.

Usiwe brainwashed na wachungaji feki huko makanisani kwamba Israel ni taifa teule wakati ni taifa la kishog a hadi jeshini.

Jitahidi uwe independent thinking utabaini kwamba Israel hakuna kitu bila mabwana zake.
 
Back
Top Bottom