johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Marekani yasema kufuatia viashiria vya Amani kutoweka Mashariki ya Kati imelazimika kubadili Vifaa, Mikakati na Mbinu za Ulinzi Ili kulinda Israel.
Mabadiliko hayo yanahusu kupeleka vikosi hatari zaidi vya Kijeshi. Hata yanafuatia tishio la Ayatollah Khamenei anayejipanga kuishushia Kitu kizito Israel.
Chanzo: Al jazeera news
Soma pia: Ayatollah Khamenei atoa agizo zito kuwa Israel ipigwe moja Kwa moja
Mabadiliko hayo yanahusu kupeleka vikosi hatari zaidi vya Kijeshi. Hata yanafuatia tishio la Ayatollah Khamenei anayejipanga kuishushia Kitu kizito Israel.
Chanzo: Al jazeera news
Soma pia: Ayatollah Khamenei atoa agizo zito kuwa Israel ipigwe moja Kwa moja