never-ending battle
Senior Member
- Jun 22, 2024
- 168
- 123
Mambo ya kuwa mabaya sana akija Trump
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini kwa upande mwingine, Trump naye ni mtu wa hovyo sana, hajastaarabika kabisa.Unafikiri Kisasi cha Trump kwa Wairan hususan Ayatollah Ali Khamenei kitakuwaje?
Credit: BBC
Sabato Njema 😃
Hatari na Nusu 🐼Acha sasa awatwange kisawasawa.
Atapigwa mpk atoe damuUnafikiri Kisasi cha Trump kwa Wairan hususan Ayatollah Ali Khamenei kitakuwaje?
Credit: BBC
Sabato Njema 😃
Fix za mchana....Unafikiri Kisasi cha Trump kwa Wairan hususan Ayatollah Ali Khamenei kitakuwaje?
Credit: BBC
Sabato Njema 😃
Kwa hivyo marekani aliempiga ya sikio alikua muislam? Akiswali msikiti ganiUnafikiri Kisasi cha Trump kwa Wairan hususan Ayatollah Ali Khamenei kitakuwaje?
Credit: BBC
Sabato Njema 😃
😂😂😂😂Kwa hivyo marekani aliempiga ya sikio alikua muislam? Akiswali msikiti gani
Ukitaka kumuua mbwa mpe jina baya.Unafikiri Kisasi cha Trump kwa Wairan hususan Ayatollah Ali Khamenei kitakuwaje?
Credit: BBC
Sabato Njema 😃
Haya 😄Upuuzi mtupu
Usidanganyike ndugu...Nilijuwa tu ni external infruence ndani ya Marekani hakuna mzungu mjinga wa kufanya vile!!
Iran inaenda kuwa Kama iraq