Marekani yasema Iran ndo ilitaka kumuua Trump

Marekani yasema Iran ndo ilitaka kumuua Trump

Unafikiri Kisasi cha Trump kwa Wairan hususan Ayatollah Ali Khamenei kitakuwaje?

Credit: BBC

Sabato Njema 😃

Karibia nyakati zote, Iran na makundi yake, hufanya makosa yale yale. Wanakuwa waanzishaji wa mauaji, wanapodhibitiwa, wanaanza kulialia. Mwaka 1948 waarabu walianzisha vita ya kuwaangamiza Waisrael, wakatandikwa vibaya, wakapoteza maeneo, wakaanza kulialia.

Mwaka 1967 wakaamzisha vita kubwa zaidi ili kuwamaliza wayahudi wasiwepo Duniani, wakaishia kupigwa zaidi, na kupoteza maeneo zaidi. Wakaendelea kulialia.

Mwakajana wakafanya shambulizi la maangamizi, jibu la wayahudi linaendelea mpaka leo, na vilio vimekuwa maradufu.

Hiyo Iran, mwaka 1979, waislam wenye misimamo mikali ya kishetani, waliwateka maafisa wa ubalozi wa Marekani mjini Tehran, majibu yake yakawa mwanzo wa vikwazo vya kiuchumi.

Iran imekuwa mfadhali mkuu wa ugaidi Duniani, jibu la Dunia limeyafanya maisha ya Iran kuwa duni kupindukia licha ya utajiri mkubwa wa mafuta. Sasa Iran kutaka kumwua Trump, jibu watalipata.
 
Karibia nyakati zote, Iran na makundi yake, hufanya makosa yale yale. Wanakuwa waanzishaji wa mauaji, wanapodhibitiwa, wanaanza kulialia. Mwaka 1948 waarabu walianzisha vita ya kuwaangamiza Waisrael, wakatandikwa vibaya, wakapoteza maeneo, wakaanza kulialia.

Mwaka 1967 wakaamzisha vita kubwa zaidi ili kuwamaliza wayahudi wasiwepo Duniani, wakaishia kupigwa zaidi, na kupoteza maeneo zaidi. Wakaendelea kulialia.

Mwakajana wakafanya shambulizi la maangamizi, jibu la wayahudi linaendelea mpaka leo, na vilio vimekuwa maradufu.

Hiyo Iran, mwaka 1979, waislam wenye misimamo mikali ya kishetani, waliwateka maafisa wa ubalozi wa Marekani mjini Tehran, majibu yake yakawa mwanzo wa vikwazo vya kiuchumi.

Iran imekuwa mfadhali mkuu wa ugaidi Duniani, jibu la Dunia limeyafanya maisha ya Iran kuwa duni kupindukia licha ya utajiri mkubwa wa mafuta. Sasa Iran kutaka kumwua Trump, jibu watalipata.
Mjomba Bams Iran kama ingekuwa na mpango wa kuangamiza wayahudi wote duniani kama ulivyosema kwa nini isiangenza kuangamiza kwanza wayahudi walioko hapo hapo nyumbani,ikizingatiwa ipo jumuiya ya kiyahudi Iran,na isitoshe ina mwakilishi rasmi bungeni kwa mujibu wa katiba ya Iran.
Mwakilishi wa sasa jumiya hiyo ya kiyahudi bungeni ni bwana Homayayoon Sameh Yeh Najafamabadi.
Kuna kitu katika international politics hakipo kama kinavyoonekana kwa nje...au kama watu wanavyodhani.
Zama kidogo Bam, nakuamini.
 
Karibia nyakati zote, Iran na makundi yake, hufanya makosa yale yale. Wanakuwa waanzishaji wa mauaji, wanapodhibitiwa, wanaanza kulialia. Mwaka 1948 waarabu walianzisha vita ya kuwaangamiza Waisrael, wakatandikwa vibaya, wakapoteza maeneo, wakaanza kulialia.

Mwaka 1967 wakaamzisha vita kubwa zaidi ili kuwamaliza wayahudi wasiwepo Duniani, wakaishia kupigwa zaidi, na kupoteza maeneo zaidi. Wakaendelea kulialia.

Mwakajana wakafanya shambulizi la maangamizi, jibu la wayahudi linaendelea mpaka leo, na vilio vimekuwa maradufu.

Hiyo Iran, mwaka 1979, waislam wenye misimamo mikali ya kishetani, waliwateka maafisa wa ubalozi wa Marekani mjini Tehran, majibu yake yakawa mwanzo wa vikwazo vya kiuchumi.

Iran imekuwa mfadhali mkuu wa ugaidi Duniani, jibu la Dunia limeyafanya maisha ya Iran kuwa duni kupindukia licha ya utajiri mkubwa wa mafuta. Sasa Iran kutaka kumwua Trump, jibu watalipata.
Ukiacha ujinga huwa unazungumza vitu vyenye akili. Lakini nikukumbushe pia Nyau alisema Waislamu au waarabu ndio walimshawisha Hitler kuwaangamiza na Vipi nae unakubaliana nae?. Au Hitler pia alikua muarabu au mjerumani mwenye asili ya kiarabu?.

Naamini uko vizuri kuliko ujinga ulioandika, usirudie tena.
 
Acheni kuwa mambumbumbu kila muambiwacho mnakubali. Hizo ni propaganda za Secret services za marekani kutaka kujiosha kuwa siyo wahusika wa njama za kumuua Trump wakati wao ndo wahusika wakuu
Sijajua kuhusu hiyo discussion yenu hiyo (mtajuana wenyewe) ila nadhani unacho wakataza wengine kuwa wewe ndiye upo hivyo.

Wangetaka kumuua wao mpaka now angekuwa ashakufa muda mrefu sana.
 
Unafikiri Kisasi cha Trump kwa Wairan hususan Ayatollah Ali Khamenei kitakuwaje?

Credit: BBC

Sabato Njema 😃
Trump atalipa kısası kibaya sana. Atashirikiana na Nentanyahu kutafuta maisha ya Ayatollah.

Iran walichukizwa sana na Trump kwa kitendo chake cha kumuuwa yule Solemani. Ilikuwa pigo kubwa sana kwa Iran
 
Fix za mchana....
Anayeipakazia Iran na njama za kutaka kumuondoa Trump, ndiye muhusika halisi.
Kiufupi wahusika halisi hawako mbali na vyombo vyao vya usalama....hasa ukizingatia proximity ya shooter na askari wa security service....wote wakiwa juu ya paa za nyumba zilizo karibu katika namna inayoonesha shooter na security service agents walionana....,ni kama vile walisubiri kwanza afyatue risasi,ndipo wamdungue dakika hiyo hiyo.
The case of the enemy within.
Kutafuta sababu ya kuishambulia Iran kwa hoja dhaifu ni utoto wa namna ile ile ya kusema Saddam kaficha silaha za maangamizi
Trump atamuachia Putin baadhi ya majimbo ya Ukraine, kisha aishambulie Iran Russia akipiga kimya.
 
Karibia nyakati zote, Iran na makundi yake, hufanya makosa yale yale. Wanakuwa waanzishaji wa mauaji, wanapodhibitiwa, wanaanza kulialia. Mwaka 1948 waarabu walianzisha vita ya kuwaangamiza Waisrael, wakatandikwa vibaya, wakapoteza maeneo, wakaanza kulialia.

Mwaka 1967 wakaamzisha vita kubwa zaidi ili kuwamaliza wayahudi wasiwepo Duniani, wakaishia kupigwa zaidi, na kupoteza maeneo zaidi. Wakaendelea kulialia.

Mwakajana wakafanya shambulizi la maangamizi, jibu la wayahudi linaendelea mpaka leo, na vilio vimekuwa maradufu.

Hiyo Iran, mwaka 1979, waislam wenye misimamo mikali ya kishetani, waliwateka maafisa wa ubalozi wa Marekani mjini Tehran, majibu yake yakawa mwanzo wa vikwazo vya kiuchumi.

Iran imekuwa mfadhali mkuu wa ugaidi Duniani, jibu la Dunia limeyafanya maisha ya Iran kuwa duni kupindukia licha ya utajiri mkubwa wa mafuta. Sasa Iran kutaka kumwua Trump, jibu watalipata.
Halafu hujiona una akili kwel ww kafir
 
Acheni kuwa mambumbumbu kila muambiwacho mnakubali. Hizo ni propaganda za Secret services za marekani kutaka kujiosha kuwa siyo wahusika wa njama za kumuua Trump wakati wao ndo wahusika wakuu
Mchizi kutoka Mbagala Kizuiani anazijua taarifa za ndani kabisa za Secret Services ya Marekani.

Nahisi humu JF kuna pusha sio bure.
 
Irani ni level za Russia,china, German sio nchi ya kuvamia kindezi ndezi huyo tramp hawez kiuingia Iran akafaulu, walipochemka kipimdi hicho ndio basi Tena. Makundi TU aliyonayo ni very powerful ya kuweza kumtikisa Israeli Hezbollah kamfanya vibaya Israel Leo kundi la mwisho limeretreat na kuondoka Lebanon ijekua Iran? Red sea meli zaidi ya 200 zimetiwa kiberit houth mbele ya US na UK Hadi Leo wamefytua vibaya Sana mji mkuu wa yemen ije kua Iran,? Kumpiga Iran Ina maana Hezbollah, Shia Iraq, houth,Shia Syria, Hamas, Shia saudia wote hao wawe wametepeta kabisaaa ndio uingie Iran na kiduku pia usimsahau japo sina uhakika, lakina hao wengine ni vita mbaya kabisa ambayo west sidhani Kama wanaitamani
 
Hta wananchi wamarekan wanajua serikali yao ndio ilipanga kumuua Trump ..ni kilaza tuh atakubali hizi porojo
Unafikiri Kisasi cha Trump kwa Wairan hususan Ayatollah Ali Khamenei kitakuwaje?

Credit: BBC

Sabato Njema 😃
 
Fix za mchana....
Anayeipakazia Iran na njama za kutaka kumuondoa Trump, ndiye muhusika halisi.
Kiufupi wahusika halisi hawako mbali na vyombo vyao vya usalama....hasa ukizingatia proximity ya shooter na askari wa security service....wote wakiwa juu ya paa za nyumba zilizo karibu katika namna inayoonesha shooter na security service agents walionana....,ni kama vile walisubiri kwanza afyatue risasi,ndipo wamdungue dakika hiyo hiyo.
The case of the enemy within.
Kutafuta sababu ya kuishambulia Iran kwa hoja dhaifu ni utoto wa namna ile ile ya kusema Saddam kaficha silaha za maangamizi
kumbuka mchambuzi mbobevu wa siasa za kimataifa ni eng. hon. yohana mbatizaji
 
Nilijuwa tu ni external infruence ndani ya Marekani hakuna mzungu mjinga wa kufanya vile!!

Iran inaenda kuwa Kama iraq
Inaonekana ulivyo nyuma ya habari.

Yule mzungu aliyetaka kumuua Trump hahusishwi na taarifa hii


Hii habari inamuhusu mtu anayeitwa farhed shakeri muIran aliyetaka kupewa kazi ya kumuua Trump.


vipi huyo mzungu ni mjinga au sio mjinga tena maana kafanya bila
external influence?
.
 
Biden alijua hii vita hatoiweza inahitaji ubabe na ukatili sana kama anavyofanya nyau kule gaza na lebanon, wakatengeneza sababu ya kuipiga iran kwa kusingizia jaribio la kumuua trump ili biden ajitoe alafu trump apewe uhalali. hakika trumpo ana kisasi kikali sana atampa putin robo ya ardhi ya ukraine ili apate uhalali wa kumshikisha ayatollah ukuta wakisaidiana na israel.
 
Back
Top Bottom