never-ending battle
Senior Member
- Jun 22, 2024
- 168
- 123
Lakini kwa upande mwingine, Trump naye ni mtu wa hovyo sana, hajastaarabika kabisa.Unafikiri Kisasi cha Trump kwa Wairan hususan Ayatollah Ali Khamenei kitakuwaje?
Credit: BBC
Sabato Njema π
Hatari na Nusu πΌAcha sasa awatwange kisawasawa.
Atapigwa mpk atoe damuUnafikiri Kisasi cha Trump kwa Wairan hususan Ayatollah Ali Khamenei kitakuwaje?
Credit: BBC
Sabato Njema π
Fix za mchana....Unafikiri Kisasi cha Trump kwa Wairan hususan Ayatollah Ali Khamenei kitakuwaje?
Credit: BBC
Sabato Njema π
Kwa hivyo marekani aliempiga ya sikio alikua muislam? Akiswali msikiti ganiUnafikiri Kisasi cha Trump kwa Wairan hususan Ayatollah Ali Khamenei kitakuwaje?
Credit: BBC
Sabato Njema π
ππππKwa hivyo marekani aliempiga ya sikio alikua muislam? Akiswali msikiti gani
Ukitaka kumuua mbwa mpe jina baya.Unafikiri Kisasi cha Trump kwa Wairan hususan Ayatollah Ali Khamenei kitakuwaje?
Credit: BBC
Sabato Njema π
Haya πUpuuzi mtupu
Usidanganyike ndugu...Nilijuwa tu ni external infruence ndani ya Marekani hakuna mzungu mjinga wa kufanya vile!!
Iran inaenda kuwa Kama iraq